Elections 2015 Apson Mwang'onda afanya vikao vya kuchangisha fedha Oysterbay ili Lowasa ahamie CHADEMA

Huu ni wakati wa kusikia mambo mengi sana ila mwisho wa siku hakuna jipya litakalotokea maana kama Lowassa kapigwa chini huko kwenye chama cha aistegemee kutoka kwenye muungano wa vyama hivi vinne labda amtafute ZZK na chama chake ACT.
Hahahahahahahaaaaaaa! Kwenye siasa kila kitu kinawezekana
 

Mkuu, anachofanya Lizaboni ni ku provide kile ambacho vitani kinaitwa fire cover. Fire cover hufanyika pale mwenzenu anapojitolea au anapotakiwa kwenda upande waliopo adui zenu au anaporudi. Lengo la Fire cover ni kuaminisha maadui adui zenu kwamba mnamshambulia yule anayekimbia (yaani mwenzenu) au munashambulia maadui ili wakose nafasi ya kumdhuru mwenzenu.
Hivyo, binafsi ninawakubali sana Lizaboni na Chabruma kwa namna ambayo wamekua wakitoa fire cover kwa muda wote kwa lengo la kumlinda Mzee Apson kitu kilichosaidia upande mwingine kujenga trust kwa jamaa na kumuwezesha kujikita ndani zaidi.
Other wise, bila hizo fire cover akina Lowasa wangesham red Apson kitambo sana
 
Last edited by a moderator:
Bilioni 252 CAG Alishazitolea maelezo ndugu,ukipenda siasa ifuatilie na kuisoma siyo kukurupuka tu na story za kwenye shoe shine
 
Jamani Lowasa akiteuliwa na chama chochote hawezi kupitishwa na Tume ya Kuchaguzi kwa kuwa alishaanza kampeni mapema kabla ya muda wake. Safari yake yote ya kutafuta wadhamini alifanya mikutano ya wazi ya kujiombea kura kwa wananchi wakati muda wa kampeni bado
 
Lowasa anahangaika tu
 

Hivi SSIT Mnashindwa Na Mnachelewa Nini Kum Imran Kombe Na Huyu Mzee? Anawashindeni Nini? Mnamwogopea Nini? Huyu Mzee Baba Jimmy Anaitakia Nini Tanzania? Mzee Amekaa KINAFIKI Na KIFUJOFUJO Tu Halafu Anashindwa Hata Kujishtukia. Magufuli Tafadhali Ukiingia Tu Madarakani Anza Na TAKATAKA Hii Kwani Ni Kirusi Kisichotakiwa KULELEWA Tanzania. Nimemdharau KULIKOTUKUKA Huyu Mzee!
 
Naona umeamua kutoa ya moyoni. Mie simo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…