Elections 2015 Apson Mwang'onda, nzi aliyejaribu kubaka demokrasia ya CCM na Tanzania bila ya mafanikio

Elections 2015 Apson Mwang'onda, nzi aliyejaribu kubaka demokrasia ya CCM na Tanzania bila ya mafanikio

Mkuu, kwa upande wako unaona Apson alikuwa sahihi kuhonga wajumbe wa NEC, CC na MM ili tu Lowasa awe Rais? Pia unaona kuwa Apson alikuwa sahihi kuajiri vijana wa IT ili wahack mfumo wa Tume?

Sina ushahidi huo,ndio.nasikia kwako,
 
Inawezekana aliyemteua alikuwa na dhamira njema. Ila watu wanabadirika. Ni kama Mkapa alipomteua Sumaye kuwa Waziri Mkuu lakini sasa anasema kuwa CCM haijafanya lolote kwa miaka 50
Pia ni kama kikwete alieamua kumbeba Kingunge na kukaa naye ikulu miaka yote kwa fadhila tuu, leo katoka anasema utumbo mtupu. Yeye ndie alikuwa chanzo cha tanzania kutoendelea basi kama ni hivyo. Watu kama hawa ambao wanakiri hawa ku perform ingekuwa vizuri tukawashitaki! Tutengeneze mfumo kwa ajili ya watu kama hawa. Wamekula na kujilimbikizia mali kwa pesa ya walipakodi miaka yote tangu TANU hivihivi leo wanakiri hadharani hawaja perform. Ni ajabu na kweli
 
Na Ndiyo WAKAJIFUNZE Ni Kwanini TANZANIA Ni Ya 2 Ktk UJASUSI Barani AFRICA Na Ni Ya 10 Ktk UJASUSI ULIOTUKUKA Duniani. Mkuu LIZABONI Nitoe Breaking News Ya UKAWA Iliyotokea Sasa au Na Wewe UMESHAIPATA Nikuache Uitoe? Wanajifanya KUWAFICHA Watu Waliowadanganya ILA Kuna Kitu Huko Kimetokea Jana Usiku Na Kingine Kimemalizika Kutokea Muda Si Punde Na Najua Kwa UTUNDU Na UELEDI Wako Na Wewe UMESHAKINYAKA Mkuu au Bado? Siku 7 au 21 Zijazo Hutokuja Tena KUUSIKIA Huo Muungano Wao Kwa Hiki Kilichotokea Jana Na Hivi Punde Na Kuna Bonge La FUKUTO Huko Sasa. Hakika CCM Ni Habari Nyingine!
Hapana Mkuu. Sijaipata kwa ukamilifu wake. Nimepata dondoo tu za baadhi ya mambo. Kwa moyo mkunjufu nakuachia wewe kazi hiyo. Naahidi kutoa ushirikiano kwa lolote litakalojitokeza
 
hizi mada za lizaboni zinakuwa kweli ni kiboko.
lakini huyo apson kama kweli amefanya kosa kubwa sana
 
Pia ni kama kikwete alieamua kumbeba Kingunge na kukaa naye ikulu miaka yote kwa fadhila tuu, leo katoka anasema utumbo mtupu. Yeye ndie alikuwa chanzo cha tanzania kutoendelea basi kama ni hivyo. Watu kama hawa ambao wanakiri hawa ku perform ingekuwa vizuri tukawashitaki! Tutengeneze mfumo kwa ajili ya watu kama hawa. Wamekula na kujilimbikizia mali kwa pesa ya walipakodi miaka yote tangu TANU hivihivi leo wanakiri hadharani hawaja perform. Ni ajabu na kweli
Magufuli atakula sahani moja na hawa. Si tumkwa vile wamekimbia CCM bali kutokana na ufisadi wao
 
ilikuwa ni vita kubwa dhidi ya hao majambazi, ndio maana Jana Magufuli aliongea Kwa uchungu sema hakuweka wazi walichokuwa wanapambana nacho
 
hizi mada za lizaboni zinakuwa kweli ni kiboko.
lakini huyo apson kama kweli amefanya kosa kubwa sana
Kwa mataifa mengine, Apson angenyongwa. Ila hapa Tanzania tuna mfumo wa kuleana na kulindana. Nadhani Magufuli atakuwa wa mfano na atarekebisha hali hii
 
Tuendelee Kumuombea Magufuli Mungu ampe nguvu ya Kupeleka mbele hili Taifa la Tanzania ....Si rahisi hata kidogo kupambana maana kama usemavyo watu wanakuchekea Mchana usiku wanapanga mapambano kukuangusha ....siku zote Ukiwa Muadilifu na Mchapa kazi lazima uundiwe Mizengwe sana tu sijui Watanzania tukoje ???Binafsi nakuongeza kwenye sala zangu Baba
 
ilikuwa ni vita kubwa dhidi ya hao majambazi, ndio maana Jana Magufuli aliongea Kwa uchungu sema hakuweka wazi walichokuwa wanapambana nacho
Hakika. Na mapambano yalikuwa makubwa sana kuliko watu walivyokuwa wanaona. Tumshukuru Mungu tumefika hapa kwa amani. Lowasa na genge lake si watu kabisa. Ni zaidi ya wanyama. Tena huyu Apson ndo kabisaaaa!
 
Hapana Mkuu. Sijaipata kwa ukamilifu wake. Nimepata dondoo tu za baadhi ya mambo. Kwa moyo mkunjufu nakuachia wewe kazi hiyo. Naahidi kutoa ushirikiano kwa lolote litakalojitokeza

Tupeni madini hayo, bilashaka UKAWA itakuwa imesambaratika
 
Tuendelee Kumuombea Magufuli Mungu ampe nguvu ya Kupeleka mbele hili Taifa la Tanzania ....Si rahisi hata kidogo kupambana maana kama usemavyo watu wanakuchekea Mchana usiku wanapanga mapambano kukuangusha ....siku zote Ukiwa Muadilifu na Mchapa kazi lazima uundiwe Mizengwe sana tu sijui Watanzania tukoje ???Binafsi nakuongeza kwenye sala zangu Baba
Sote tumpe ushirikiano Magufuli ili atekeleze majukumu yake ipasavyo. Pia sote tumuombee ili Mungu ampe ulinzi wa kutosha
 
Na Ndiyo WAKAJIFUNZE Ni Kwanini TANZANIA Ni Ya 2 Ktk UJASUSI Barani AFRICA Na Ni Ya 10 Ktk UJASUSI ULIOTUKUKA Duniani. Mkuu LIZABONI Nitoe Breaking News Ya UKAWA Iliyotokea Sasa au Na Wewe UMESHAIPATA Nikuache Uitoe? Wanajifanya KUWAFICHA Watu Waliowadanganya ILA Kuna Kitu Huko Kimetokea Jana Usiku Na Kingine Kimemalizika Kutokea Muda Si Punde Na Najua Kwa UTUNDU Na UELEDI Wako Na Wewe UMESHAKINYAKA Mkuu au Bado? Siku 7 au 21 Zijazo Hutokuja Tena KUUSIKIA Huo Muungano Wao Kwa Hiki Kilichotokea Jana Na Hivi Punde Na Kuna Bonge La FUKUTO Huko Sasa. Hakika CCM Ni Habari Nyingine!

mkuu GENTAMYCINE ebu tupe hayo mautamu nakuaminia kwa ujasusi wako uliotukuka
 
Last edited by a moderator:
Magufuli anza na Apson Mwang'onda kwenye mapambano yako dhidi ya ufisadi. Hakika tutakupa ushirikiano stahiki

Kumbuka maasifa usalama hawastaafu pengine alikuwa kwenye kazi yake kujiweka karibu na cdm/ukawa ili kuchukua data muhimu na kuzipeleka sehem husika!
 
Kumbuka maasifa usalama hawastaafu pengine alikuwa kwenye kazi yake kujiweka karibu na cdm/ukawa ili kuchukua data muhimu na kuzipeleka sehem husika!
Kwa hili napingana na wewe. Mtu anaweza kuwa Afisa Usalama lakini akawa na interest zake kwa mgombea mmoja. Ndivyo alivyofanya Apson. Alielekeza nguvu zake kwa Lowasa tu na akawa anawachafua wengine
 
Mkuu GENTAMYCINE ataweka humu kila kitu. Tuwe na subira

Lizaboni kama hizi taarifa zina ukweli najiunga na ccm mara moja kupambana na hawa wezi! Nawasiwasi mkubwa sana hili genge ndiyo lilisababisha JK kuonekana na sura mbaya kwenye uongozi wake! Sasa Rais Magufuli akiapishwa lazma hii mijizi ikimbie nchi! Nakionea sana huruma yule kizee Kinguge sijui kitakimbilia wapi!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu GENTAMYCINE ataweka humu kila kitu. Tuwe na subira

Lizaboni mshawishi GENTAMYCINE atuwekee huo uhondo ili hata vijana wanaoshabikia bila kujua sasa leo wajue.

Halafu mkuu sijakutambua jinsia yako maana unanivutia na udadavuaji wako wa mambo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom