Trimmer
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 2,443
- 4,007
Tunakoelekea hata hiyo imani yenyewe itabaki na wafuasi wachache sana,,Kwani imani yake au dini yake inaruhusu hii kitu hebu mnieleweshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakoelekea hata hiyo imani yenyewe itabaki na wafuasi wachache sana,,Kwani imani yake au dini yake inaruhusu hii kitu hebu mnieleweshe
Tunakoelekea hata hiyo imani yenyewe itabaki na wafuasi wachache sana,,
Yesu yup maana afrikaans hatihusiani ya yesuUpumbavu tu! Yesu alifundisha hivyo?
Samahani mkuu,kabla ya ujio wa Yesu (mafundisho) wafu walizikwaje?Upumbavu tu! Yesu alifundisha hivyo?
Kwani imani yake au dini yake inaruhusu hii kitu hebu mnieleweshe
Mwili wa Desmond Tutu kuchomwa Moto
Kufuatia kifo cha Askofu Mkuu (Mstaafu) Desmond Tutu. Imefahamika mwili wake utachomwa moto na majivu yake kuhifadhiwa kwenye Kanisa Kuu (Cathedral) la St. George's, Capetown. Raha ya Daima umuangazie. NB: Tunaomba Prof Mkuu akatuwakilishe msibani ili akaelezee historia ya Askofu toka mwaka...www.jamiiforums.com
Lakini pia ukibase kwenye maandiko bila kuzingatia mtindo/utaratibu/mazingira ya dunia unakuwa umekariri bila kuelewaSwali zuri Sana hili ,,wakristo wengi huwa against kitabu anachokiamini.
They are basing much on spiritual arena rather than practical...yaan unayaamin maandishi halafu huyafuati...inachanganya Sana hi.
Si kila jambo lazima imani yako ikuruhusuKwani imani yake au dini yake inaruhusu hii kitu hebu mnieleweshe
Si kila jambo lazima imani yako ikuruhusu
Tutafanya dunia kuwa ngumu
Yesu hakuwahi fundisha taratibu za mazishiUpumbavu tu! Yesu alifundisha hivyo?
Yesu hakuwahi fundisha taratibu za mazishiUpumbavu tu! Yesu alifundisha hivyo?
Kuchoma moto ni baadhi ya imani Tu.Hapo hujajibu bali umenipa link tu nyingine
Swali ni je Christians wanakubali cremation
Mbona wanaamini kufufuka siku ya mwisho ?
Anyway Asante kwa link hiyo pia