Arab Contractors na Elsewedy Electric Kukabidhiwa Rasmi Eneo la Rufiji (PHPP) Kesho

Arab Contractors na Elsewedy Electric Kukabidhiwa Rasmi Eneo la Rufiji (PHPP) Kesho

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Kesho ni siku rasmi ya Wizara ya Nishati kuwakabidhi makampuni Arab Contractors na Elswedy Electrics eneo la Striegler's Goege kwaajili ya ujenzi wa bwawa la umeme litakalotoa MW 2115 kuanza rasmi

1550058154757.png

PIA SOMA

TUHUMA ZA UFISADI NA HUJUMA

HISTORIA
 
Kwani Unateseka..!!!!😎😎😎😎😎😎😎
Kila siku anazindua lakini kila siku graph yake inashuka.

Leo hii watanzania wala hawana habari na dreamliner wala Bombardier bali wanawaza ajira, mishahara duni, inflation, shida za maji, mikopo elimu ya juu, utekaji, mauji,shambulio la Lissu, mateso ya wakulima wa korosho,n.k.
 
Kesho ni siku rasmi ya Wizara ya Nishati kuwakabidhi makampuni Arab Contractors na Elswedy Electrics eneo la Striegler's Goege kwaajili ya ujenzi wa bwawa la umeme litakalotoa MW 2115 kuanza rasmi
View attachment 1021305
Mkumbuke kuwa jana Wamisri Simba waliwafunga, hivyo bado wana hasira [emoji23][emoji23][emoji23]

3x² + 5 + 4x³ - x² + 2x³ + 9
 
Kila siku anazindua lakini kila siku graph yake inashuka.

Leo hii watanzania wala hawana habari na dreamliner wala Bombardier bali wanawaza ajira, mishahara duni, inflation, shida za maji, mikopo elimu ya juu, utekaji, mauji,shambulio la Lissu, mateso ya wakulima wa korosho,n.k.
kila siku wanatoa povu ila mambo bado yanaenda wamefika kujikomba hadi kwa wazungu ila JPM mziki ni ule ule
 
kila siku wanatoa povu ila mambo bado yanaenda wamefika kujikomba hadi kwa wazungu ila JPM mziki ni ule ule
Mziki upi? Hatutaki watu wasiothamini uhai na utu wa watu wengine.

Hatutataki watu wasiojali shida na mateso ya watu wengine.

Hatutaki watu wasiothamini ustawai wa maisha ya watu huku wakithamini ustwai wa vitu maana hata kina Hitler na wakoloni pia walileta maendeleo ya vitu ila walipuuza utu wa watu na leo hawakumbukiwi kwa maendeleo ya vitu bali kwa matendo yao yasiyo ya kiutu.
 
Back
Top Bottom