Arab Contractors na Elsewedy Electric Kukabidhiwa Rasmi Eneo la Rufiji (PHPP) Kesho

Arab Contractors na Elsewedy Electric Kukabidhiwa Rasmi Eneo la Rufiji (PHPP) Kesho

Nimekusoma kaka hapo mimi nilitaka kukuelezea kwa nini niliwa doubt waarabu? Kwa sababu najua research zimewaterm kama watu gani yaani waaarabu wazuri kwa biashara sio craft.ila africa zero kote kote craft na biashara pia hatuziwezi angalia hata mfano hapa nchini wenye business entities kubwa wote ni race za kiarabu.
Mengi muweke pembeni kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaanh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho ni siku rasmi ya Wizara ya Nishati kuwakabidhi makampuni Arab Contractors na Elswedy Electrics eneo la Striegler's Goege kwaajili ya ujenzi wa bwawa la umeme litakalotoa MW 2115 kuanza rasmi
View attachment 1021305
HONGERA SANA SANA RAIS Dr.John Pombe MAGUFULI,Naomba uhakikishe Mradi huu unakamilika kwa wakati ikiwezekana hata kabla ya wakati,ni Project ambayo utaacha kumbukumbu ya vizazi na vizazi,na ni kitu kinachoonekana,na kinawagusa watanzania wengi 90%.Ikibidi wafanye Usiku na Mchana wamalize kabla ya wakati hata BONUS UWAPE. INAWAGUSA WANANCHI WA VIPATO VYOTE.
 
Kila siku anazindua lakini kila siku graph yake inashuka.

Leo hii watanzania wala hawana habari na dreamliner wala Bombardier bali wanawaza ajira, mishahara duni, inflation, shida za maji, mikopo elimu ya juu, utekaji, mauji,shambulio la Lissu, mateso ya wakulima wa korosho,n.k.
Wewe ndo unawaza hayo wenzio walaaa hatuyawazi maana tushajiongeza.

Mwanaume mzima unakaa unawaza kuajiriwa! Kusubiri uongezewe mshahara bila kazi ulofanya hata ikija serikali ya mbinguni utabaki hivyo hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HONGERA SANA SANA RAIS Dr.John Pombe MAGUFULI,Naomba uhakikishe Mradi huu unakamilika kwa wakati ikiwezekana hata kabla ya wakati,ni Project ambayo utaacha kumbukumbu ya vizazi na vizazi,na ni kitu kinachoonekana,na kinawagusa watanzania wengi 90%.Ikibidi wafanye Usiku na Mchana wamalize kabla ya wakati hata BONUS UWAPE. INAWAGUSA WANANCHI WA VIPATO VYOTE.
Mazingira je?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mziki upi? Hatutaki watu wasiothamini uhai na utu wa watu wengine.

Hatutataki watu wasiojali shida na mateso ya watu wengine.

Hatutaki watu wasiothamini ustawai wa maisha ya watu huku wakithamini ustwai wa vitu maana hata kina Hitler na wakoloni pia walileta maendeleo ya vitu ila walipuuza utu wa watu na leo hawakumbukiwi kwa maendeleo ya vitu bali kwa matendo yao yasiyo ya kiutu.
pambana na hali yako
 
Mziki upi? Hatutaki watu wasiothamini uhai na utu wa watu wengine.

Hatutataki watu wasiojali shida na mateso ya watu wengine.

Hatutaki watu wasiothamini ustawai wa maisha ya watu huku wakithamini ustwai wa vitu maana hata kina Hitler na wakoloni pia walileta maendeleo ya vitu ila walipuuza utu wa watu na leo hawakumbukiwi kwa maendeleo ya vitu bali kwa matendo yao yasiyo ya kiutu.
images.jpeg-23.jpg
 
Mziki upi? Hatutaki watu wasiothamini uhai na utu wa watu wengine.

Hatutataki watu wasiojali shida na mateso ya watu wengine.

Hatutaki watu wasiothamini ustawai wa maisha ya watu huku wakithamini ustwai wa vitu maana hata kina Hitler na wakoloni pia walileta maendeleo ya vitu ila walipuuza utu wa watu na leo hawakumbukiwi kwa maendeleo ya vitu bali kwa matendo yao yasiyo ya kiutu.
Hakuna maisha ya watu pasipo uwepo wa vitu. Hao wanachangia bajeti yetu kwa zaidi ya asilimia 50 walianza kuimarisha vitu ndipo wakawa na uwezo wa kuboresha maisha ya watu.

Jiulize mwaka 1884 wazungu waliweza kuijua ramani nzima ya afrika kama sio kwa mchango wa maendeleo ya vitu?.

Maendeleo yako wewe unatafuta wewe na ndugu zako, wanaokuongoza wanaweka misingi ya wewe kuweza kupiga hatua ya kimaisha.
 
Endeleeni kuuza nchi
RICHMOND
ESCROW
IPTL
ARAB CONTRACTORS
NEXT.......
TANESCO IKO SHIDA
NANI ALITULOGA?
Kila anayekuja anakamata yake
UFISADI IN A MOVE
Let's wait n see!
 
Mziki upi? Hatutaki watu wasiothamini uhai na utu wa watu wengine.

Hatutataki watu wasiojali shida na mateso ya watu wengine.

Hatutaki watu wasiothamini ustawai wa maisha ya watu huku wakithamini ustwai wa vitu maana hata kina Hitler na wakoloni pia walileta maendeleo ya vitu ila walipuuza utu wa watu na leo hawakumbukiwi kwa maendeleo ya vitu bali kwa matendo yao yasiyo ya kiutu.
Dada maendeleo yanaletwa na vitu, hata wewe kwa mumueo ulivutiwa na vitu ndio maana ukamkubali kuolewa nae.

Hivyo vitu ninavyiongelea hapa ndio vitega uchumi vya kukufanya uende chooni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom