wilbert peter
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 244
- 221
Kamanda pole sana bwana wanenda kujenga[emoji6]Mziki upi? Hatutaki watu wasiothamini uhai na utu wa watu wengine.
Hatutataki watu wasiojali shida na mateso ya watu wengine.
Hatutaki watu wasiothamini ustawai wa maisha ya watu huku wakithamini ustwai wa vitu maana hata kina Hitler na wakoloni pia walileta maendeleo ya vitu ila walipuuza utu wa watu na leo hawakumbukiwi kwa maendeleo ya vitu bali kwa matendo yao yasiyo ya kiutu.
Kamanda pole sana tulia dawa ikuingieMpendasifa lazima atahutubia live
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] in john heche voiceRichmond nyingine hiyo!!
Naona mko vyema hadi mmeamua krudisha kodi ya kichwa. hongereniChadomo huwaoni hapa
Hayo ni makabidhiano na siyo sherehemnafanya sherehe ya kukabidhi eneo la ujenzi je umeme ukiwaka mtafanya nini?
Na hili bwana wanaojenga raia wa kichina+wazungu....waarabu ndo wenye tenda wajenzi ni raia wa kizungu na kichinaSina imani na waarabu wao wenyewe a lot of heavy project huko wanazitekeleza kwa kutumia wataalam wa kizungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
2020 mumepata kura nyingi basi milion 1.5Mziki upi? Hatutaki watu wasiothamini uhai na utu wa watu wengine.
Hatutataki watu wasiojali shida na mateso ya watu wengine.
Hatutaki watu wasiothamini ustawai wa maisha ya watu huku wakithamini ustwai wa vitu maana hata kina Hitler na wakoloni pia walileta maendeleo ya vitu ila walipuuza utu wa watu na leo hawakumbukiwi kwa maendeleo ya vitu bali kwa matendo yao yasiyo ya kiutu.
Asante kwa ufafanuzi nikajua wao ndo watakuwa washika nyundo na misumali aisee.Na hili bwana wanaojenga raia wa kichina+wazungu....waarabu ndo wenye tenda wajenzi ni raia wa kizungu na kichina
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu wao wasimamizi tu ila wajenzi ni wataalamu wa kizungu na kichina...kama ilivyo kwa bwawa linalojengwa Ethiopia mchina ndo msimamizi ila wataalamu ni wazungu na wachina wenyeweAsante kwa ufafanuzi nikajua wao ndo watakuwa washika nyundo na misumali aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Point[emoji122] [emoji122]Wakitangaza kazi tushtuane wajameni
"Typed with my thumbs."
Tutampa Tundu Lissu Urais. Urais wa Stigila Goji lakini.mnafanya sherehe ya kukabidhi eneo la ujenzi je umeme ukiwaka mtafanya nini?
Niliogopeshwa sana kwa sababu nachojua Waarabu kwenye rank ya IQ kutokana na race na muonekano waarabu wanashika nafasi ya pili kutoka mwisho wakati huo WEUSI AU WAAFRIKA TUPO NAMBA MOJA KAMA KAWAIDA YETU.Hapana mkuu wao wasimamizi tu ila wajenzi ni wataalamu wa kizungu na kichina...kama ilivyo kwa bwawa linalojengwa Ethiopia mchina ndo msimamizi ila wataalamu ni wazungu na wachina wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutawaita mkaonemnafanya sherehe ya kukabidhi eneo la ujenzi je umeme ukiwaka mtafanya nini?
Yaanh mkuu lakini ukweli ni kuwa waarabu ni wasimamizi wa tenda wajenzi ni hao RAIA wa kizungu na kichina...mji yao ya kifahari ya falme za kiarabu imejengwa na maengineering wa kizungu na kichina ila tenda ni za kampuni za kiarabu..Niliogopeshwa sana kwa sababu nachojua Waarabu kwenye rank ya IQ kutokana na race na muonekano waarabu wanashika nafasi ya pili kutoka mwisho wakati huo WEUSI AU WAAFRIKA TUPO NAMBA MOJA KAMA KAWAIDA YETU.
RACE YENYE MADISHI WENGI
1.AFRICA/WEUSI
2.WAARABU
Sent using Jamii Forums mobile app
mnafanya sherehe ya kukabidhi eneo la ujenzi je umeme ukiwaka mtafanya nini?
Nimekusoma kaka hapo mimi nilitaka kukuelezea kwa nini niliwa doubt waarabu? Kwa sababu najua research zimewaterm kama watu gani yaani waaarabu wazuri kwa biashara sio craft.ila africa zero kote kote craft na biashara pia hatuziwezi angalia hata mfano hapa nchini wenye business entities kubwa wote ni race za kiarabu.Yaanh mkuu lakini ukweli ni kuwa waarabu ni wasimamizi wa tenda wajenzi ni hao RAIA wa kizungu na kichina...mji yao ya kifahari ya falme za kiarabu imejengwa na maengineering wa kizungu na kichina ila tenda ni za kampuni za kiarabu..
Sent using Jamii Forums mobile app