Arab Contractors wakabidhiwa Billion 688.6 kama malipo ya awali mradi wa umeme wa maporomoko ya mto Rufiji

Hiyo picha ya uongo watu wametoka juzi ni nyumba za mjerumani wanazirekibisha TB A Ili hao waarabu wakae mambo Bado kabisa
Huo ni mchoro acha mchecheto. Hata mleta uzi kasema wamelipwa hajasema ujenzi umefikia hapo. Kaweka picha ya archtect
 
Mzee kuna mambo amefanya na kiukweli anastaili hongera ila hoja ya watumishi wa kwenye maslai tumeumia sana.
Sasa hivi ndio madaraja watumishi baadhi wanapanda.
Tulitegemea sana bodi ya mishahara ingeweza kuja na suluhu ila naona imepotezewa
Kupanda madaraja na mishahara husika ilipwe, sio mtumishi anapanda daraja lakini nyongeza inaendelea kulimbikizwa tu. Na kuna tofauti kubwa ya mishahara kati ya watumishi. Salary harmonisation lazima ifanyike. Ajabu ni kwamba watumishi mumekaa kimya hamjitete mnasubiri kufikiriwa na serikali.
 
badilisha kichwa cha bandiko. andila Uharibifu Stiegler's Gorge waanza
 
Mkuu hii aliyolipwa ni advance payment na ni karibia 10% ya gharama ya mradi mzima.
 
Si kweli, una ajendabya siri.
Acha mzee wa Kazi Magufuli apige kazi.
Ni kweili, hili ni jambo kubwa sana katika historia ya nchi yetu lakini uzi toka jana una posti 40 tuu, huoni tatizo? Watu hawataki kusikia mazuri ya nchi yetu, wamenuna, wamezira, hawataki kuona Magu akifanikiwa. Hawa watu wawapi hawa?
 
Kwani kwenye ununuzi wa ndege zimelipwa shilingi ngapi?
 
Ni kweili, hili ni jambo kubwa sana katika historia ya nchi yetu lakini uzi toka jana una posti 40 tuu, huoni tatizo? Watu hawataki kusikia mazuri ya nchi yetu, wamenuna, wamezira, hawataki kuona Magu akifanikiwa. Hawa watu wawapi hawa?
Mkuu si kwamba watu hawataki, kuna suala la uelewa impact ya venture hii.
 
Mchawi utamjua kwa ghubu lake
 
Wapi alisema ni pesa za mkopo, watoa mikopo walikataa kumpa kwasababu ya mazingira , wewe habari za mkopo umezitoa wapi?
 
Wapi alisema ni pesa za mkopo, watoa mikopo walikataa kumpa kwasababu ya mazingira , wewe habari za mkopo umezitoa wapi?

Ni hivi, mkopo kwa hiyo project ni lazima, vinginevyo hawezi kumaliza ndani ya miezi 36 kwa fedha za ndani fullstop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…