Arafat Haji: Yanga haitocheza mechi nyingine ya Derby zaidi ya hii ya March 8 katika msimu wa 2024/2025

Arafat Haji: Yanga haitocheza mechi nyingine ya Derby zaidi ya hii ya March 8 katika msimu wa 2024/2025

"Mpaka Bodi ya Ligi ieleze imetumia kanuni gani kuahirisha mchezo na kuruhusu mchezo wa Pamba jiji kuendelea, kunyang'anya alama JKT Queens na Biashara utd"
Kanuni ya wataalam wa tunguli kikubwa tukio la leo wamefanikiwa kulikwepesha....hayo ya mbele hayana umuhimu aidha mechi iwekwe tarehe nyingine au watu wapewe point ila kitaalam kwa leo kuna mtu kaumia
 
Ndugu Wananchi kwa dhati ya moyo wangu niwapongeze kwa kufika uwanjani kutoka kona zote nchini, mliosafiri kwa anga, mliosafiri kwa magari, mliopanda Pikipiki, mliopanda boti hadi Watembea kwa miguu, yote ni kwa ajili ya Yanga Afrika, huu sio tu upendo bali mahaba ya kulevya kwa klabu hii bora zaidi nchini.

Ndugu Wananchi poleni mno kwa kadhia ya leo, sisi kama Viongozi mliotupa dhamana kusimamia hii chapa kwa niaba yenu tumepigana, tumehakikisha mawazo yenu, matakwa yenu na sauti yenu inasikika kwa sauti ya juu sana, kwa kuheshimu mpira wa miguu na kuheshimu uthubutu wenu tuliandaa na kuleta timu uwanjani tayari kwa kushindana ila yaliyotokea yametokea.

Ndugu Wananchi, poleni kwa kupoteza muda wenu, kwa kupoteza fedha zenu kwa ajili ya mechi hii kubwa na ya kihistoria, ninyi ni sisi na maumivu haya ni yetu sote kama ambavyo tumeimba pamoja, tumelia pamoja basi hata sasa mpaka milele tupo pamoja, hilo likae vyema kwenye kumbukumbu kuwa sisi ni Yanga.

WACHEZAJI na Benchi la Ufundi, asanteni kwa heshima mliowapa Wapenzi wa soka nchini bila kujali timu zao, mmehakikisha mpira wa miguu umeshinda, kuna wakati sio suala la Mshahara wala posho bali heshima kwa nembo ya Kijani na Njano, Asanteni Vijana kwa kufika na angalau Mashabiki wameweza kuwaona na kuwalaki.

WANANCHI, mechi yetu dhidi ya Mtani wetu SIMBA imeisha leo hii kwa msimu wa 2024/25 raundi ya pili na ieleweke vyema hakutakuwa na mechi nyingine sehemu nyingine, siku nyingine na tarehe nyingine yoyote ya kuihusu Yanga dhidi ya Simba kwa Ligi kuu, iwekwe sawa kwenye kumbukumbu na ikolezwe vyema kwa wino kuwa its done and dusted, sisi tunasonga mbele na ratiba zingine.

Hii ndio sauti yenu moja, kamba moja ya DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO na tutashikilia hapo hapo Wananchi, niwatakie safari njema Wananchi wote kurejea makwenu, Mungu awalinde, awatunze mkaungane tena na familia zenu, tutakutana tena wakati mwingine panapo majaaliwa In shaa Allah.
View attachment 3264063
Mie nadhan angeanza kukataa pale jumba jeupe pale waliposhibishwa ubwabwa na kupewa amri ktk sakata la Fei kubwa
 
Pande zote tatu yaani hao pacha na aliye katikati yao tokea 1998 niliachaga kuwaini hata kwa 1 second na nikaachaga kushaabikia kabumbu.
Bora kubaki kushaabikia soccer tu.

Binafisi nimefurahi walivyowakomesha wenye kieleele cha kusafiri kutoka mbali eti kwa ajili ya hiyo game.
 
View attachment 3264127Kwani pale tff kuna watu wanajua sheria au kumejaa vilaza?!
Zingatia hapa...

1741483678649.png
 
Ndugu Wananchi kwa dhati ya moyo wangu niwapongeze kwa kufika uwanjani kutoka kona zote nchini, mliosafiri kwa anga, mliosafiri kwa magari, mliopanda Pikipiki, mliopanda boti hadi Watembea kwa miguu, yote ni kwa ajili ya Yanga Afrika, huu sio tu upendo bali mahaba ya kulevya kwa klabu hii bora zaidi nchini.

Ndugu Wananchi poleni mno kwa kadhia ya leo, sisi kama Viongozi mliotupa dhamana kusimamia hii chapa kwa niaba yenu tumepigana, tumehakikisha mawazo yenu, matakwa yenu na sauti yenu inasikika kwa sauti ya juu sana, kwa kuheshimu mpira wa miguu na kuheshimu uthubutu wenu tuliandaa na kuleta timu uwanjani tayari kwa kushindana ila yaliyotokea yametokea.

Ndugu Wananchi, poleni kwa kupoteza muda wenu, kwa kupoteza fedha zenu kwa ajili ya mechi hii kubwa na ya kihistoria, ninyi ni sisi na maumivu haya ni yetu sote kama ambavyo tumeimba pamoja, tumelia pamoja basi hata sasa mpaka milele tupo pamoja, hilo likae vyema kwenye kumbukumbu kuwa sisi ni Yanga.

WACHEZAJI na Benchi la Ufundi, asanteni kwa heshima mliowapa Wapenzi wa soka nchini bila kujali timu zao, mmehakikisha mpira wa miguu umeshinda, kuna wakati sio suala la Mshahara wala posho bali heshima kwa nembo ya Kijani na Njano, Asanteni Vijana kwa kufika na angalau Mashabiki wameweza kuwaona na kuwalaki.

WANANCHI, mechi yetu dhidi ya Mtani wetu SIMBA imeisha leo hii kwa msimu wa 2024/25 raundi ya pili na ieleweke vyema hakutakuwa na mechi nyingine sehemu nyingine, siku nyingine na tarehe nyingine yoyote ya kuihusu Yanga dhidi ya Simba kwa Ligi kuu, iwekwe sawa kwenye kumbukumbu na ikolezwe vyema kwa wino kuwa its done and dusted, sisi tunasonga mbele na ratiba zingine.

Hii ndio sauti yenu moja, kamba moja ya DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO na tutashikilia hapo hapo Wananchi, niwatakie safari njema Wananchi wote kurejea makwenu, Mungu awalinde, awatunze mkaungane tena na familia zenu, tutakutana tena wakati mwingine panapo majaaliwa In shaa Allah.
View attachment 3264063
Yaani
Bodi ya Ligi awe Utopolo
Mwamuzi wa kati Uto
Waamuzi namba 1 na 2 Uto
Kamisaa Uto
Halafu MC uto

Kweli Yanga ni Utopolo, hakuna mwenye akili isipokuwa wawili tu na sijui kwanini hawawastui.

Ngoja tusubiri tarehe mpya ipangwe na mshikilie hizo ngonjera zenu kwamba mmemaliza mechi ya derby. Mtayakana maneno yenu vyura nyie mnaropoka tu kama mko kwenye madimbwi.
 
Unajua Manara akili hana 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka, eti vizee vyote vifupi, mbuzi wanalia mee meee.
🤣😂😃 naogopa kusema mtani.

Ila tu ukishakuwa Utopolo akili zinaruka ndio maana HANA AKILI.

Hama, hamia Ubaya Ubwela mtani upate akili 😂😂
 
Ndugu Wananchi kwa dhati ya moyo wangu niwapongeze kwa kufika uwanjani kutoka kona zote nchini, mliosafiri kwa anga, mliosafiri kwa magari, mliopanda Pikipiki, mliopanda boti hadi Watembea kwa miguu, yote ni kwa ajili ya Yanga Afrika, huu sio tu upendo bali mahaba ya kulevya kwa klabu hii bora zaidi nchini.

Ndugu Wananchi poleni mno kwa kadhia ya leo, sisi kama Viongozi mliotupa dhamana kusimamia hii chapa kwa niaba yenu tumepigana, tumehakikisha mawazo yenu, matakwa yenu na sauti yenu inasikika kwa sauti ya juu sana, kwa kuheshimu mpira wa miguu na kuheshimu uthubutu wenu tuliandaa na kuleta timu uwanjani tayari kwa kushindana ila yaliyotokea yametokea.

Ndugu Wananchi, poleni kwa kupoteza muda wenu, kwa kupoteza fedha zenu kwa ajili ya mechi hii kubwa na ya kihistoria, ninyi ni sisi na maumivu haya ni yetu sote kama ambavyo tumeimba pamoja, tumelia pamoja basi hata sasa mpaka milele tupo pamoja, hilo likae vyema kwenye kumbukumbu kuwa sisi ni Yanga.

WACHEZAJI na Benchi la Ufundi, asanteni kwa heshima mliowapa Wapenzi wa soka nchini bila kujali timu zao, mmehakikisha mpira wa miguu umeshinda, kuna wakati sio suala la Mshahara wala posho bali heshima kwa nembo ya Kijani na Njano, Asanteni Vijana kwa kufika na angalau Mashabiki wameweza kuwaona na kuwalaki.

WANANCHI, mechi yetu dhidi ya Mtani wetu SIMBA imeisha leo hii kwa msimu wa 2024/25 raundi ya pili na ieleweke vyema hakutakuwa na mechi nyingine sehemu nyingine, siku nyingine na tarehe nyingine yoyote ya kuihusu Yanga dhidi ya Simba kwa Ligi kuu, iwekwe sawa kwenye kumbukumbu na ikolezwe vyema kwa wino kuwa its done and dusted, sisi tunasonga mbele na ratiba zingine.

Hii ndio sauti yenu moja, kamba moja ya DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO na tutashikilia hapo hapo Wananchi, niwatakie safari njema Wananchi wote kurejea makwenu, Mungu awalinde, awatunze mkaungane tena na familia zenu, tutakutana tena wakati mwingine panapo majaaliwa In shaa Allah.
View attachment 3264063
Sasa hii derby kacheza na mabaunsa?
 
Hii mechi mtacheza tu, kama kuna shabiki wa Uto ana kibunda tuweke laki na hamsini msimu ukimalizika bila mechi kuchezwa anaondoka nayo. Hakuna namna nyingine hili suala litaisha bila hii mechi kuchezwa.

Mtapewa supu na chapati mbili mnalainika.
 
Wajinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Halafu wewe si Kuna mahali nilisoma humu kua umeokoka sijui..tangu lini mentally ill patient akaokoka..
Wewe ni matako fala wewe
 
Mama atawaambia nendeni uwanjani acheni malumbano.
Acheni utoto mwingi
 
Jambo Moja liko wazi Yanga wanastahili points zao 3 na magoli 3.
Kinyume na hapo Bodi ya ligi na TFF wajiuzulu kwanza kupatikane viongozi wapya watakao Mudu kusimamia tasnia hii Tanzania.
 
Back
Top Bottom