Aragija kuamua Simba vs Yanga jumamosi.

Aragija kuamua Simba vs Yanga jumamosi.

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Huku joto la watani wa jadi likizidi kupamba moto kuelekea nusu fainali Asfc jumamosi hii, mapema leo mwamuzi atakayechezesha mtanange huo amewekwa wazi.

Screenshot_20220525-204557.jpg
 
Yanga wajiandae kisaikolojia. Huyu ni mmoja wa wale waamuzi wa michongo walio ibeba sana simba msimu uliopita kwenye haya mashindano.

Bila shaka Karia na TFF yake wamefanya makusudi kumpa hii mechi ili kuiumiza Yanga au kuitoa mchezoni.
 
Yanga wajiandae kisaikolojia. Huyu ni mmoja wa wale waamuzi wa michongo walio ibeba sana simba msimu uliopita kwenye haya mashindano.

Bila shaka Karia na TFF yake wamefanya makusudi kuchezesha hii mechi ili kuiumiza Yanga.
Kwa kosi la YANGA hata achezeshe nani ushindi ni lazima.
 
Huyu Elly sasii kwanini lazima awekqe kwenye game za simba au yanga?hakuna waamuzi wengine?pamoja na madhaifu yake bado anaonekana ni mtu muhimu,ni nani mkubwa aliye nyuma yake?
 
Yanga wajiandae kisaikolojia. Huyu ni mmoja wa wale waamuzi wa michongo walio ibeba sana simba msimu uliopita kwenye haya mashindano.

Bila shaka Karia na TFF yake wamefanya makusudi kumpa hii mechi ili kuiumiza Yanga au kuitoa mchezoni.
Tuandamane mapema kwenda Ikulu kwa mama Kabla mambo hayajaharibika
 
Yanga wajiandae kisaikolojia. Huyu ni mmoja wa wale waamuzi wa michongo walio ibeba sana simba msimu uliopita kwenye haya mashindano.

Bila shaka Karia na TFF yake wamefanya makusudi kumpa hii mechi ili kuiumiza Yanga au kuitoa mchezoni.
Mapema hivi mnalialia?
 
Huyu Elly sasii kwanini lazima awekqe kwenye game za simba au yanga?hakuna waamuzi wengine?pamoja na madhaifu yake bado anaonekana ni mtu muhimu,ni nani mkubwa aliye nyuma yake?
kwanini wasimweke Frank Komba huyo aliyeitwa hadi AFCON? Halafu kila siku marefa wale wale wa mechi za watani wa jadi.
 
Naona comment za malalamishi fc mtakuja kupewa kombe kwa kulalamika.
 
Mi Nachojua Ata Akichezesha Matola Kisasi Cha Kule Kigoma Lazima Tulipe...Yani Lazima Tuwapasue!
 
Huku joto la watani wa jadi likizidi kupamba moto kuelekea nusu fainali Asfc jumamosi hii, mapema leo mwamuzi atakayechezesha mtanange huo amewekwa wazi.

View attachment 2238560
Simba Kwa Sasa wanajikongoja, Kocha Franco amekosa Mbinu Kabisa ya kuwa na First 11 wake, anatapatapa, Yanga Wana Kiu ya Ushindi. So Tusubiri Dakika Tisini.
 
Back
Top Bottom