pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Kama wanaona 'wakubwa' waliopitsha mikataba hii walipitisha kwa rushwa na hongo kwanini nao wasichukue rushwa na hongo ili iwe 'potelea mbali'? Ni tafakuri tu wajameniKuna mchezo Mara nyingi hufanyika Tanzania na Duniani kwa ujumla ambapo mawakali wa mshitakiwa kuchukua rushwa kutoka malalamikaji.