robbyr
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 129
- 221
Picha: My Camera
"Hatuna dunia nyingine. Lazima tuitunze na kuihifadhi." – Wangari Maathai
Kuna mdau aliandika hapa kuwa mmeamua kupamba jiji la Dar kwa chupa za plastiki. Sasa hii hapa ni Kilimanjaro na ni picha ya eneo moja
Kama elimu yaijatukomboa fikra zetu basi hata sheria na kanuni zimeshindwa.
Huu uchafuzi unadhirisha kabisa athari ndogo ya maarifa yanayopatikana katika elimu yetu.
Ushauri: Serikali iweke sheria chupa ziuzwe gharama kidogo kama shilingi 100 au 70 kwa moja ili ziweze kurudi viwandani. Bakheresa na Mo wasiwaze faida tu na pia serikali isiwaze kodi tu kwani kwa madhara ya muda mrefu tutaumia sana.
Ndugu wananchi na sisi ni lini tutaacha uchafuuuu?