Ardhi kuna rushwa rushwa rushwa narudia tena rushwa sijui kama Jerry Silaa unajua

Ardhi kuna rushwa rushwa rushwa narudia tena rushwa sijui kama Jerry Silaa unajua

Na sasa waziri Jerry Mla rushwa anakwenda kuinogesha rushwa hapo Ardhi kwa wala rushwa wenzake.
Ni vizuri tumuache Jerry afanye kazi tumpime kwa matokeo.
Kumtuhumu moja kwa moja hivi bila kuweka hata uelekeo wa uthibitisho siyo sawa wala haki.
Tuhuma za rushwa ni nzito sana kwa kiongozi wa uma.
Kama kuna ushahidi, sawa.
 
Ni vizuri tumuache Jerry afanye kazi tumpime kwa matokeo.
Kumtuhumu moja kwa moja hivi bila kuweka hata uelekeo wa uthibitisho siyo sawa wala haki.
Tuhuma za rushwa ni nzito sana kwa kiongozi wa uma.
Kama kuna ushahidi, sawa.
Wewe Chawa Jerry alikuwa Diwani, akàwa Meya wa Manispaa ya Ilala tunamjuwa vizuri sana.

Nashangaa sana watu kama Jerry wanateuliwa uwaziri sijui kwa sifa zipi? au kwakuwa wabunge wengi wa Ccm ni empty set bungeni?

Kama kuna sifa ya ziada aliyonayo labda ni degree ndicho anachowazidi hao kina Kibajaj.
 
Ukienda kushughulikia jambo lako wizara ya ardhi huwezi amini kama Tanzania Ina mpango wowote wa kupambana na rushwa.
Mambo yamekuwa hivyo baada ya Ile spidi ya awamu Ile kuondoka , lakini madhali Mama kapata taarifa hizi toka kwako mambo yatabadilika, ni MTU WA Haki Yule Mama, labda silaha amuangushe
 
Wewe Chawa Jerry alikuwa Diwani, akàwa Meya wa Manispaa ya Ilala tunamjuwa vizuri sana.

Nashangaa sana kama Jerry wanateuliwa uwaziri kwa sofa zipi? au kwakuwa wabunge wengi wa Ccm ni empty set bungeni?

Kama kuna sifa ya ziada aliyonayo labda ni degree ndicho anachowazidi hao kina Kibajaj.
Kwanza kabisa mimi siyo chawa, ni binadamu mwenye akili nzuri na huru.
Sipendi kufuata mkumbo bila kutumia akili na pia kuhukumu watu bila ushahidi. Najiweka kwenye nafasi yako as well as ya Jerry halafu natoa comment huru. Nikipata chembe ya ushahidi dhidi ya Jerry simtetei hata kidogo, naungana na wewe kumshghulikia.
Tukitoa tuhuma za jumla jumla tu, hatulisaidii taifa, kwa kuwa hatubadilishi chochote.
Tuungane, tutoe tuhuma zenye ushahidi ili tusonge mbele, bila hivyo itaonekana ni majungu tu, na itakuwa mazoea.
 
Yanii LUKUVI pekee ndo aliiweza ile wizara.
 
Ukienda kushughulikia jambo lako wizara ya ardhi huwezi amini kama Tanzania Ina mpango wowote wa kupambana na rushwa.
Ili uzime moto wa nyika unatakiwa kuwasha moto. Je ili kudhibiti rushwa ya ardhi ni lazima ukabidhi jukumu la kudhibiti kwa mla rushwa?

Huyo waziri hana maadili yoyote ya kupigiwa mfano na kuigwa na yeyote yule ni kudhihaki tu wananchi na kuendeleza dhuluma.
 
Kweli mkuu,nilienda pale ardhi kufuatilia hati ya nyumba ya mzee wangu ambayo ofa yake ilikuwa imezuiliwa na baba mdogo aliyetaka kutapeli jumba la baba yangu.

Duh nilichoka,kila sehemu pesa hadi napata hati nilitumia M3 jumla na rushikaja kwenye kufungua kesi ya kumfukuza mzeee mdogo kwenye nyumba,kusajili tu kesi jamaa wananiambia bila rushwa ya laki 5 hatuwezi sajili mapema kesi yako,labda ukae hata miezi miwili Ndo isajiliwe,hatari sana ofisi za ardhi
 
atajifunzia kula humo humo, mpeni miezi 6 kisha mkague account zake 😀
 
Back
Top Bottom