Asisome..ni majanga hii kozi..labda kama babake ana kampun hapo sawa.hiv
jamaa kanys boya kweli ni aina ya watanzania ambao hawajui na wanajitia wanajua...dogo huyu anakukatisha tamaa tu hajui chochote kuhusu BE kwa kifupi kijana kozi ipo marketable saàaaaaaaaana
kwanza iinapatikana au inatolewa chuo kikuu ardhi na nairobi africa mashariki na kati
hapa tanzania hakuna diploma wala certificates ya BE ni bachelor tu na ipo ardhi pekee
kwa mwaka ardhi inatoa graduates not more than 150 graduates you can see au marketable it is hawana competition kabisaaaaaa
haya tukija kwenye ajira tambua ukigraduate unaitwa guantity surveyor(gs) yani unatathimini gharama za ujenzi.....tanzania kuna makampuni kibao kweli ya ujenzi kama umepga zako gpa nzuri kuanzia 3.5 nakuhakikishia hautazunguka na baasha kabsa watu wanaanza kupiga madili kuanzia mwaka watatu na uzuri hata kwenye makampuni ya wachina wanakuja na techinical team yao lakini QS lazma awe mbongo ili kufanya negotiation na consultations na kubring up quarries zinazojitokeza kweny site kwani hawajui kizungu kabsa na wajua kiswahili cha kubahatisha na hapo ndio inapokuja haja ya kuwaajiri watz
haya ukija kwenye mpunga au salary aisee hawa jamaa wanakula pesa sana tambua kwenye ujenzi wa majengo gs analipwa 7%ya gharama yote ya ujenzi(consultant qs) wajuvi wataelew hapa haya piga hesabu kama jengo linagharimu bilioni 3 unapata ngapi
kwa kifupi kwenye construction industry ukianza na babalao Arhitect civil engineer quantity surveyor tanzania bado inaitaji san na ni rahisi saaaaana kujiajiri Ardhi pale watu wanauza ramani bdo wanabukua