Ardhi University(ARU) - Special Thread

Ardhi University(ARU) - Special Thread

ARU wana coz ya development planning or project management kama zpo wanahitajika watu wa sifa gan?
 
Vipi kuhusu program ya real estate?; soko katika ajira
 
Vipi kuhusu program ya real estate?; soko katika ajira

Degree zote za ARU, soko la ajira lipo na unaanza kula matunda ya degree yako hata kabla ya kuhitimu miaka yako 4 au 5 ya degree, unachopaswa kufahamu ni kwamba course za hapa ni za vitendo zaidi na kuwa uwajibikaji wako ndio utakaokuwezesha kujinadi katika hayo masoko ya ajira.
 
Vipi mkuu mbona hizo kozi za apo ardhi huwa hazijai ni kw nn?

Minimum entry qualification credits ni 4.0 points. Sasa wewe una 2.5 points kwanini msijazane huko vyuo vya watu binafsi na masdhirika ya kidini, unakuja ARU kufanya nini!?
 
wadogo zangu mnaopenda kujiunga na chuo hiki nawakarbshen sana waweza kuniuliza swali lolote kuhusu chuo chetu utajibiwa bila shaka KARBUN CHUO KIKUU ARDHI DAR ES SALAAM

m nataka kusoma lmv nipe rpot zake
 
Karibuni kupata majibu ya maswali yenu mbalimbali kuhusu Ardhi Unversity...

============================
============================

Ardhi_university_Logo.png

Ardhi University (ARU) is a public university in Dar es Salaam, Tanzania.[SUP] [/SUP] It was established 28 March 2007, though it has been offering training for more than 60 years in different status. It is situated on Observation Hill close to University of Dar es Salaam, in which it was a constituent college from 1996-2007, when it was known as University College of Lands and Architectural Studies-UCLAS. Prior being part of University of Dar es Salaam, Ardhi University was known as Ardhi Institute with history extending to mid-1950s.[SUP]
[/SUP]
Today, academic activities at the university are generated in six schools: of Architecture and Design; of Construction Economics and Management; of Geo spatial Sciences and Technology; of Real Estates Studies; of Urban and Regional Planning; and of Environmental Sciences and Technology. The number of academic staff with doctoral degrees has increased from three in 1996 to 43 in 2008.

Chanzo: Wikipedia
 
Course ya Interior Design,inahusiana na nini?
Vipi soko lake la ajira serikalini.?
 
Interior ipo upande wa architecture bt for interior designing... Kwa uelewa kidog ni nilionao japo sisomi hiyo koz ni kwamb ina deal how interior system ya any building iweje.general archtects wao ni nje na ndan pia...kwa idea kidogo hyo.ajira sijui..cha msingi kila koz kina ajira
 
Mahitaji gani muhimu yanahitajika iwapo nitachaguliwa kujiunga na ARDHI University
 
Vp mkuu nikichaguliwa bsc.in land valuation and management nitapat how much % of loan? Na vp hiyo coz ipo vizuri nikiisoma?
 
Vp mkuu nikichaguliwa bsc.in land valuation and management nitapat how much % of loan? Na vp hiyo coz ipo vizuri nikiisoma?

Mkuu kwenye mambo ya loan yapo kama bahati nasibu,ukipwa 70% shukuru,ukipewa 100% ruka ruka
 
Back
Top Bottom