hi peaple......na mimi nasubir hizo hizo
dah tunasubir mpaka matumbo yatuuma
Msiogope yatatema 2,cc presha zote msuli wa muccobs BAF,Wadau imekeaje hiyo?
pale mucobs msuli noma zaid ya hata sekondary mbaya zaid jinc wanavyo calculate GPA utalia
mmmmnn Kama ni Hiyo tarehe Nadhani Watautoa na Mkopo moja kwa moja...
kaka vp lkn products zao mtaani ?
market yao sokon n nzur sana mucobs n tawi la SUA......