Ardhi University ,Sua, IFM na Mzumbe!!

Ardhi University ,Sua, IFM na Mzumbe!!

yaan vyuo vyote hvyo nilikuwa navionaga vya kijanjaaa kumbe wanatabia tu kama ya TCU NA HESLB
 
Msiogope yatatema 2,cc presha zote msuli wa muccobs BAF,Wadau imekeaje hiyo?
 
Naona mwaka huu hawana nafasi za undergraduates...haha let's keep on waiting guys
 
nina braza angu kasoma pale mpaka anamalza ba-af walikuwa wanafunz 10 tu kati ya 80 ambao hawajawah ku sup!
Ka vp we jipange msuli kwa sana
 
Back
Top Bottom