Ardhi university

wat bout regional dvlpmnt planing ajira yake ipo jaman maana nawaswas sana

Kwa waliochaguliwa kujiunga na masomo ya Elimu ya Juu Via TCU,wamepewa fursa tena ya kuchagua chuo kingine (ikiwa hujardhika na chuo ulichopangwa) katika course ulizo omba kama ilivyo katika profile yako hivo ikiwa umepangwa Udom basi waweza badilisha ukasoma IFM endapo tu hiyo course ipo ktk chuo unachopenda kuhamia, mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 16/9/2013
 
samahan ningependa kujua mwaka wa kwanza wanatakiwa kuriport lin

Kwa waliochaguliwa kujiunga na masomo ya Elimu ya Juu Via TCU,wamepewa fursa tena ya kuchagua chuo kingine (ikiwa hujardhika na chuo ulichopangwa) katika course ulizo omba kama ilivyo katika profile yako hivo ikiwa umepangwa Udom basi waweza badilisha ukasoma IFM endapo tu hiyo course ipo ktk chuo unachopenda kuhamia, mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 16/9/2013
 
Bs. of science in building economics
ni koz ambayo ina husu nini wadau?
Na soko la ajira liko upande gani hasa?
NAOMBA MSAADA WENU.

...........
Hiyo kwa kiswahili tunaiita fani ya ukadiriaji majenzi utadeal na cost za ujenzi ......IPO poa sana
karibu
 
Umesahau course ya wagumu geomatics,geoinformatics,environmental engineering,municipal and industrial service engineering..nk..ambazo zipo ardhi tu hakuna sehemu nyengine
Hizo sio za wagumu wewe nenda hapo ARU uliza SCHOOL OF REAL ESTATE utapata story yake!!!
 
Hizo sio za wagumu wewe nenda hapo ARU uliza SCHOOL OF REAL ESTATE utapata story yake!!!

PFM,LMV na REFI unafananisha na mziki wa geomatics..wakati SRES hata HKL anasoma...kama hujui ulizia..huwezi kufananisha engineering na hizo ngwini zako..
 
hongera xana kijana kwa kupata one among d best enginrn courses, world wide.... coz hawa proffesionals wanahitajika xana kwny ulimwengu wa xaxa hv
 
yah ni chuo kizuri sana.kwa wale tuliomaliza mwaka 2005 ni mashahidi.ila kuna baadhi ya kozi ni balaa.mfano geomatics,architecture na environmental eng.
 
Hongereni vijana ,mkasome sasa sio kwenda kuuza sura eti mi nasoma kozi ya wagumu.
 
aru hakunaga jwamani ipo siku 2tataftana labda kama haufikirii kuwa na kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…