sidhani kama unalo lisema lna ukwel,me tangu huu mfumo mpya wa tcu uanze kutumika nimekuwa kila mwaka nawafanyia applications ndugu zangu walioko huko bush,kuna ambao walikua na na dv 3.14 za HGE na wakapata bcom ya udom so ukiangalia hapo suala la maths sio kigezo kinachotumika.ila kwa mwaka huu nimebaki kushangaa coz,niliemfanyia appl ni mtu aliyesoma HGE na kapata dv 1.8,ameomba udsm,sua,mzumbe na udom.udsm na sua ambavyo ndo vyuo vyenye competition kubwa kawa eligible bt udom ambayo huchukua wanafunz hata wale wenye pass ndogo kawa not eligible.kwa hyo me naona kama kuna usanii flani hao tcu wanataka kuufanya hapo.