MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
Daah sio poa aisee
Sema nini, nshaelewa. Kweli nyumbani ni nyumbani tu.
Angalizo: Tuwe makini sana tunapoingia kwenye nyumba za watu, office za watu, majengo ya watu, mashamba ya watu, mitaa ya watu, Wilaya za watu, miji ya watu , mikoa ya watu, Nchi za watu.
Daah, yaani sio poa kabisa wanangu!
Sema nini, nshaelewa. Kweli nyumbani ni nyumbani tu.
Angalizo: Tuwe makini sana tunapoingia kwenye nyumba za watu, office za watu, majengo ya watu, mashamba ya watu, mitaa ya watu, Wilaya za watu, miji ya watu , mikoa ya watu, Nchi za watu.
Daah, yaani sio poa kabisa wanangu!