Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,341
habari wakuu.ninapenda kujua ama ushauri kuhusiana na kupangilia viwanja.
nina eneo lenye ekari zaidi ya 100 na ninataka kulikata vipande vipande/plots kama 300 hadi 400.
napenda kujua sheria ya ardhi inaniruhusu ikiwa eneo langu lina hati miliki?na kama hairuhusu ni nani anayetakiwa
nimwite aje alikate/kuligawa?
nina eneo lenye ekari zaidi ya 100 na ninataka kulikata vipande vipande/plots kama 300 hadi 400.
napenda kujua sheria ya ardhi inaniruhusu ikiwa eneo langu lina hati miliki?na kama hairuhusu ni nani anayetakiwa
nimwite aje alikate/kuligawa?