Are democratic reforms at risk in Tanzania? Inside Story

Are democratic reforms at risk in Tanzania? Inside Story

Mama Samia hawezi vita chafu za kisiasa, ana hulka ya huruma na sio jeuri, pia ni mtu wa kutazama na kujali perspective ya dunia dhidi yake (Anajali jinsi gani dunia inavyomchukulia), hii tishatisha na kukamata watu ni kuamsha vita ya kisiasa ambayo hatoiweza.

Magufuli hakuwa na hulka ya huruma na alikua jeuri kweli kweli, na alikua hajali dunia inamchukulia vipi na inamsema vipi, ila alikimbizwa mchaka mchaka wa 4G na wanasiasa/viongozi wa dini/haki za binaadamu mpaka ikabidi risasi na watu wasiojulikana watumike.

Unapo pambana au kuanzisha vita chafu za kisiasa, lazima;

1) Uwe na roho mbaya.

2) Uwe Muongo.

3) Uwe tayari kuua na kuteka, bila kujali familia zao watakazo acha nyuma.

4) Uwe muonevu.

5) Uwe huna kujutia.

6) Uwe fisadi (Kununua wanasiasa kwa rushwa, vitisho).

7) Uwe bingwa wa kujitoa ufahamu (Hamnazo).

8) Uwe na kifua cha kuhimili mikiki mikiki na matusi.

9) Usiwe muoga.

10) Usiwe mtu wa kubadilisha maamuzi hata kama umekosea na unajua kwamba umekosea.

Yote haya Mama Samia hana, cha ajabu anaanzisha (Au CCM wanamshauri kuanzisha) varangati chafu za kisiasa asizoziweza. Hao wanao muunga mkono ndani ya CCM muda si mrefu watarudi nyuma na kumwachia mzigo aweweseke nao peke yake.

Subirini moto uwake ndani na nje ya nchi. Mtajionea.

Time will tell, atatulia tu.
Napingana na wewe kabisa, una uthibitisho gani kuwa huyo bibi SASHA ana hulka ya huruma.
Don't be deceived na sauti laini ya lafudhi ya kiunguja na hijabu lake analovyaa hata kwenye joto kali, don't be naive.
Hao watu soft spoken wakiwa na roho za kikatili hata sheitwan anakimbia, hako kabibi kanaonekana ni ile dizaini ya kuuma na kupuliza yaani mnakuwa mezani anakulisha sumu huku akikutolea tabasamu la bashasha. I don't trust her.
 
Hivi Lissu huwaga ana kumbukumbu na kile anakuwa anakiongea?Nakumbuka amewahi kumkejeli baba wa Taifa kuwa aliongoza kiunjaunja,Pia Mkapa aliamini ni dikteta,serikali ya Kikwete akaifananisha na ya makabulu na akaita fascism regime na Mbaya zaidi akatamka hadharani bila hata kupepesa macho Kwa kumuita hayati Magufuli katili dikteta na kwamba Tanzania imepata Rais wa ovyo kuwahi kutokea na saizi anasema Mama Samia ni katili zaidi ya Marais wote kuwahi kuongoza Tanzania.Lissu atoke hadharani anataka nn isije ikawa The agenda behind the Scene
Wewe ndio huwa humwelewi lissu.

Rudi shule

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23]

Anamatatizo?

Kwa hiyo anamsafisha tena mbaya wake..? Siasa bhana!!
Wapi lissu kamsafisha mwendazake.

Ushabiwa alikuwa katili .

Unajua effect kutumia neno ugaidi kwa Taifa .

Neno marekani tamka neno gaidi uone jinsi utakavyozua taharuki.

Eti mbowe anataka kuua viongozi hahahahah pathetic mbowe kwa instrument gani alizo nanzo Hadi awaue hao viongozi.

Kwa mtu mwenye akili timamu inawia vigumu kuamini mbowe eri gaidi[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
24 Jul 2021


Do arrests show Tanzania backsliding on reform commitments?​

DemDigest July 22, 2021

Rep. Karen Bass (D-CA), Chair of the House Foreign Affairs Subcommittee on Africa, today expressed her concern over the arrests of Mbowe and 11 other party officials and staff.
.”

karen-bass-ned.jpg

Rep. Karen Bass
“The Tanzanian authorities must end the escalating crackdown on opposition parties and leaders, and the arbitrary arrests and detentions show the disregard for the rule of law, human rights, and the rights to freedom of expression and association,” she said.

“The unexpected death of Tanzania’s president, John Magufuli, was a true shock to us all,” added Bass. “But the appointment of his vice-president, Samia Suluhu Hassan, looked to be on a different path for leading Tanzania forward to a more democratic society. Unfortunately, the arrest of Mr. Mbowe and other opposition leaders has minimized any such hope

On Wednesday morning, police in Mwanza, in northern Tanzania, surrounded the hotel occupied by members of the country’s main opposition party, Chadema, and arrested 11 party members, including the party chairman, Freeman Mbowe, analyst Oryem Nyeko reports.

Chadema members were due to hold a conference on Wednesday to discuss reforms to the country’s constitution, which the party said gives too much power to the president. The day before the scheduled meeting, authorities in Mwanza announced a ban on “unnecessary gatherings,” ostensibly to prevent the spread of Covid-19. These latest arrests heighten concerns that the Tanzanian government may be backtracking on recent promises of reform, he writes for Human Rights Watch.


Amnesty International described the arrests as “arbitrary” and part of an escalating campaign against the political opposition in a country once seen as a beacon of democratic stability in the region.
“Tanzanian authorities must stop targeting the opposition and trying to narrow the space they are able to operate in,” said Flavia Mwangovya, Amnesty’s deputy director for East Africa. “These arbitrary arrests and detentions show Tanzanian authorities’ flagrant disregard for the rule of law, and human rights, including the rights to freedom of expression and association. These politically motivated arrests must stop.”
Secretary of State Antony Blinken had encouraged Hassan in a July 6 telephone call to protect civil liberties and stressed “the importance of ensuring a democratic, peaceful, free and prosperous future for all Tanzanians”, State Department spokesman Ned Price said.
tanzania-amnesty-chadema.jpg

Credit: Amnesty/Chadema
On Saturday, police arrested up to 38 members of Chadema’s youth wing members who were planning a conference on the constitutional reform process. On Wednesday, the party chairman was due to hold an event in Mwanza, also promoting constitutional reform. The night before the event, his hotel was raided and the Chairman, Freeman Mbowe, and ten other party leaders were arrested. The raid was reportedly carried out by a special police unit, which suggests this was centrally mandated.
Source: Do arrests show Tanzania backsliding on reform commitments? - Democracy Digest
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kinachochekesha ni kwamba, licha ya ukatili wa Magufuli, hakuwahi hata siku moja kuwabebesha tuhuma za ugaidi CHADEMA.

Lakini Samia kafanya hivyo.

Maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba Samia kaenda mbali zaidi kuliko Magufuli.

Kwa maneno mengine, ni kama Lissu anasema hata Magufuli alikuwa na unafuu.

That is what is funny, sir.

Hapo Lisu alikuwa ananogesha tu jukwaa, baada ya uchaguzi mkuu Lisu alitaka wapinzani waingie barabarani kuonyesha kupinga uchaguzi ule wa kihuni. Viongozi wengi wa upinzani walikamatwa na kutuhumiwa kwa ugaidi.
 
Kuanzia dakika ya 10, Tundu Lissu anasema licha ya kwamba Magufuli alikuwa katili, lakini hakuwahi kuwatwisha tuhuma za ugaidi kama alivyofanya Samia.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lisu anamkumbuka Magu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinachochekesha ni kwamba, licha ya ukatili wa Magufuli, hakuwahi hata siku moja kuwabebesha tuhuma za ugaidi CHADEMA.

Lakini Samia kafanya hivyo.

Maana yake ni nini? Maana yake ni kwamba Samia kaenda mbali zaidi kuliko Magufuli.

Kwa maneno mengine, ni kama Lissu anasema hata Magufuli alikuwa na unafuu.

That is what is funny, sir.
Au tunaweza kusema unaruka mkojo unakanyaga mavi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inafikirisha..Al Jazeera is owned by Qatar ..Qatar is monarchical state meaning undemocratic...
Qatar according to the press freedom index has less press freedom than TZ. We are in a clown world
....Both Qatar and Saudi Arabia are monarchial kingdoms owned by the United States and UK ...
 
Hapo Lisu alikuwa ananogesha tu jukwaa, baada ya uchaguzi mkuu Lisu alitaka wapinzani waingie barabarani kuonyesha kupinga uchaguzi ule wa kihuni. Viongozi wengi wa upinzani walikamatwa na kutuhumiwa kwa ugaidi.
Wewe huyo Lissu wako hata akila mavi utasema anakula red velvet cake, na siyo mavi!
 
Mama Samia hawezi vita chafu za kisiasa, ana hulka ya huruma na sio jeuri, pia ni mtu wa kutazama na kujali perspective ya dunia dhidi yake (Anajali jinsi gani dunia inavyomchukulia), hii tishatisha na kukamata watu ni kuamsha vita ya kisiasa ambayo hatoiweza.

Magufuli hakuwa na hulka ya huruma na alikua jeuri kweli kweli, na alikua hajali dunia inamchukulia vipi na inamsema vipi, ila alikimbizwa mchaka mchaka wa 4G na wanasiasa/viongozi wa dini/haki za binaadamu mpaka ikabidi risasi na watu wasiojulikana watumike.

Unapo pambana au kuanzisha vita chafu za kisiasa, lazima;

1) Uwe na roho mbaya.

2) Uwe Muongo.

3) Uwe tayari kuua na kuteka, bila kujali familia zao watakazo acha nyuma.

4) Uwe muonevu.

5) Uwe huna kujutia.

6) Uwe fisadi (Kununua wanasiasa kwa rushwa, vitisho).

7) Uwe bingwa wa kujitoa ufahamu (Hamnazo).

8) Uwe na kifua cha kuhimili mikiki mikiki na matusi.

9) Usiwe muoga.

10) Usiwe mtu wa kubadilisha maamuzi hata kama umekosea na unajua kwamba umekosea.

Yote haya Mama Samia hana, cha ajabu anaanzisha (Au CCM wanamshauri kuanzisha) varangati chafu za kisiasa asizoziweza. Hao wanao muunga mkono ndani ya CCM muda si mrefu watarudi nyuma na kumwachia mzigo aweweseke nao peke yake.

Subirini moto uwake ndani na nje ya nchi. Mtajionea.

Time will tell, atatulia tu.
11.uwe na faili mirembe
 
Well said. Kinachomfanya Samia aonekane katili zaidi ni kule kuyumba kwake. Magufuli alitangaza mapeeeema kabisa kwamba wapinzani ni maadui wake namba 1 na kwamba ana mradi wa kuviteketeza vyama vya upinzani kufikia 2020. Daima aliwatarget viongozi wa upinzani. Hakuna mikutano, hakuna bunge live. Kesi kila kona. Wengi kawanunua. Waliokataa kawatesa sana tu. Kawafilisi fedha zao na mali zao.

Samia je? Kaanza kwa ahadi ya kukutana nao. Kafungulia akaunti zilizofungwa, baadhi kawafutia mashitaka. Lakini hana misingi imara. Kavutwa gauni na watemi ndani ya ccm. Sasa anatenda kinyume kabisa na mwelekeo wa kwanza. Hana msimamo. Ni rais dhaifu sana
hilo neno dhaifu jamani ndilo lililotugharimu kwa jk mpaka akamleta chuma 😀😀😀😀😀
Kwa hiyo tuwe makini Samia asije kutuachia MWIGULU 😁😁😁 .
Au mmesahau vile viroba vya watu vilivyokuwa vinaokotwa fukweni mwa bahari.
 
hilo neno dhaifu jamani ndilo lililotugharimu kwa jk mpaka akamleta chuma 😀😀😀😀😀
Kwa hiyo tuwe makini Samia asije kutuachia MWIGULU 😁😁😁 .
Au mmesahau vile viroba vya watu vilivyokuwa vinaokotwa fukweni mwa bahari.
Wala siyo kauli. Kwani kauli ya Bunge Dhaifu ilileta nini ? Kuondolewa Assad? Siyo hilo hasa, bali kuexpose njama za serikali ya Magufuli
 
Hivi Lissu huwaga ana kumbukumbu na kile anakuwa anakiongea?Nakumbuka amewahi kumkejeli baba wa Taifa kuwa aliongoza kiunjaunja,Pia Mkapa aliamini ni dikteta,serikali ya Kikwete akaifananisha na ya makabulu na akaita fascism regime na Mbaya zaidi akatamka hadharani bila hata kupepesa macho Kwa kumuita hayati Magufuli katili dikteta na kwamba Tanzania imepata Rais wa ovyo kuwahi kutokea na saizi anasema Mama Samia ni katili zaidi ya Marais wote kuwahi kuongoza Tanzania.Lissu atoke hadharani anataka nn isije ikawa The agenda behind the Scene
Anataka mumpe uraisi hayo yote hatoongea tena[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kitu ambacho hakitakuja kutokea kwa miaka hii, kwahyo mymzoee tu jaman
 
Back
Top Bottom