Are laptops more important than desks in Kenya's schools?

Are laptops more important than desks in Kenya's schools?

Yeah this magnificent structure is well computerized
kenya_school001.jpg
Damn
 
Hii hapa ndo VIP?
john-magufuli-visits-wife-public-hospital.jpg


Kwetu tunaziita Level 5,
Ndani hukaa hivi
11055292_467206203428993_1660167715421546501_n.jpg


1.jpg


1.jpg
Kweli wewe ni lunatic naona hata bando ya kustream hiyo video hauna sababu kama ungeangalia hiyo video wala usingejisumbua kuwepa that dilapidated scrapers outdated second hand machines unafananisha na latest technologies za mloganzila.

Wonderful enough hata bado haijaanza kazi till January 2017 so sijui hiyo picture ya muhimbili inauhusiano gani na mloganzila?
 
Those horrible Kenyan schools are scary as hell.
As you keep on being suprised with 1990's photos of Kenya, Kenya is implementing Last Mile connectivity project, hii ni project ya kuakikisha every household and school is connected to Electricity, and every county is connected to fiber optic cable for Internet. The time you will wake up, Kenya will be another country that you cant compare. (Remember Kenya is the only country connected to international fiber optic cable network through the sea in this part of Africa)Remember GDP, someone posted here earlier that in 1970s Kenya was 2.5 Tanzania 2.4 now 2014 Kenya 61 Tz 48 (All in Billions)
 
Kweli wewe ni lunatic naona hata bando ya kustream hiyo video hauna sababu kama ungeangalia hiyo video wala usingejisumbua kuwepa that dilapidated scrapers outdated second hand machines unafananisha na latest technologies za mloganzila.

Wonderful enough hata bado haijaanza kazi till January 2017 so sijui hiyo picture ya muhimbili inauhusiano gani na mloganzila?
Sasa Internet Kenya unaweza linganisha na TZ? Hapa mimi na tumia ZUKU fibre 15mbs. Situmii mabundles kama nyinyi watu wabongo!! Kenya is the only Country in Africa connected to internet sea cable!! So mambo ya bundles jamaa achana nazo!!!!, By the way, have you even started with 3G?

IU.JPG
ui2.jpg
 
Sasa Internet Kenya unaweza linganisha na TZ? Hapa mimi na tumia ZUKU fibre 15mbs. Situmii mabundles kama nyinyi watu wabongo!! Kenya is the only Country in Africa connected to internet sea cable!! So mambo ya bundles jamaa achana nazo!!!!, By the way, have you even started with 3G?

View attachment 438488 View attachment 438489
Ndio maana nimekuita lunatic.
Fiber optic cable Tanzania ipo from 2007

With nine connection points along the borders of Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, and Zambia, the NICTBB is also a key project in fulfilling the government's long term dream of transforming Tanzania into a regional ICT hub. Beyond Dar es Salaam, Mombasa, Kenya is the only other landing point for submarine fiber optics cables in the region, thus making the NICTBB network a vital link for introducing fiber optics to Tanzania's landlocked neighbors......
https://www.thebusinessyear.com/tanzania-2015/high-in-fiber/focus

Na nani kakuambia ukitumia wired Internet ndio haununui bundle?
 
Sasa Internet Kenya unaweza linganisha na TZ? Hapa mimi na tumia ZUKU fibre 15mbs. Situmii mabundles kama nyinyi watu wabongo!! Kenya is the only Country in Africa connected to internet sea cable!! So mambo ya bundles jamaa achana nazo!!!!, By the way, have you even started with 3G?

View attachment 438488 View attachment 438489
Hizo ni statistics zako za vichochoroni.
tcra ambao ndio waratibu wa maswala ya Mawasiliano Tanzania ndio tunazoziheshimu.

Tanzania imepiga hatua kubwa sana katika sekta ya mawasiliano hadi kufikia kuwa kwenye kundi la nchi zilizoendelea kimawasiliano Duniani.

Takwimu zinaonyesha kuwa watanzania takribani milioni 39 wana laini za simu za kiganjani pamoja na watumiaji wa intaneti takribani milioni 20 ambapo miaka ya nyuma idadi ya laini za simu za kiganjani zilikuwa 2,963,737.

Haya ni maendeleo makubwa yanayoifanya Tanzania kuwa nchi bora kwa upande wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi James Kilaba alisikika akisema
http://dewjiblog.com/2016/05/26/tanzania-yapiga-hatua-kubwa-katika-matumizi-ya-huduma-za-mitandao/
 
Hii ni history sasa Tanzania tulishamaliza upungufu wa madawati two months ago and we are storing thousands of extra desks.

Wahwahwah.. .kweli Danganyika ya viwanda......mpaka mmeanzisha viwanda vingi tu vya kufyatua tofali....Sasa hebu nikukumbushe maanake CCM mtamaliza nchi yenu...Hayo ni mambo yanayofanyika kwenu sasa hivi.Hapa kazi tuu
 
Wahwahwah.. .kweli Danganyika ya viwanda......mpaka mmeanzisha viwanda vingi tu vya kufyatua tofali....Sasa hebu nikukumbushe maanake CCM mtamaliza nchi yenu...Hayo ni mambo yanayofanyika kwenu sasa hivi.Hapa kazi tuu
Sasa hapo ndio umeongea nini kiswahili shida ongea kikikuyu
 
Sasa hapo ndio umeongea nini kiswahili shida ongea kikikuyu

Kwisha...Mdanganyika mjinga huyu hapa....Hamna unachoniambia hapa,utoe povu, unitusi utakavyo, my point is made mdogo wangu.You are nothing but stool in front of my eyes.
 
And you are the carpet am standing on.
Kwisha...Mdanganyika mjinga huyu hapa....Hamna unachoniambia hapa,utoe povu, unitusi utakavyo, my point is made mdogo wangu.You are nothing but stool in front of my eyes.
 
Ndio maana nimekuita lunatic.
Fiber optic cable Tanzania ipo from 2007

With nine connection points along the borders of Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, and Zambia, the NICTBB is also a key project in fulfilling the government's long term dream of transforming Tanzania into a regional ICT hub. Beyond Dar es Salaam, Mombasa, Kenya is the only other landing point for submarine fiber optics cables in the region, thus making the NICTBB network a vital link for introducing fiber optics to Tanzania's landlocked neighbors......
https://www.thebusinessyear.com/tanzania-2015/high-in-fiber/focus

Na nani kakuambia ukitumia wired Internet ndio haununui bundle?
Hivi hujui bundles in za Cellular connections?? Ama ni kujifanya wajua sana ilhali hujui?
 
Ndio maana nimekuita lunatic.
Fiber optic cable Tanzania ipo from 2007

With nine connection points along the borders of Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, and Zambia, the NICTBB is also a key project in fulfilling the government's long term dream of transforming Tanzania into a regional ICT hub. Beyond Dar es Salaam, Mombasa, Kenya is the only other landing point for submarine fiber optics cables in the region, thus making the NICTBB network a vital link for introducing fiber optics to Tanzania's landlocked neighbors......
https://www.thebusinessyear.com/tanzania-2015/high-in-fiber/focus

Na nani kakuambia ukitumia wired Internet ndio haununui bundle?
Jibu swali langu kwa hiyo cellular ambayo hata huelewi mmefika 3G?
 
Hizo ni statistics zako za vichochoroni.
tcra ambao ndio waratibu wa maswala ya Mawasiliano Tanzania ndio tunazoziheshimu.

Tanzania imepiga hatua kubwa sana katika sekta ya mawasiliano hadi kufikia kuwa kwenye kundi la nchi zilizoendelea kimawasiliano Duniani.

Takwimu zinaonyesha kuwa watanzania takribani milioni 39 wana laini za simu za kiganjani pamoja na watumiaji wa intaneti takribani milioni 20 ambapo miaka ya nyuma idadi ya laini za simu za kiganjani zilikuwa 2,963,737.

Haya ni maendeleo makubwa yanayoifanya Tanzania kuwa nchi bora kwa upande wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi James Kilaba alisikika akisema
Tanzania yapiga hatua kubwa katika matumizi ya huduma za mitandao
Nyinyi mnaamini akhbar za kikwenu tu, ikija kwa utafiti wa kimataifa mnapinga!! Hizo statistics zimetoka kwa net traffic, sasa wewe utakataa aje??
 
Hivi hujui bundles in za Cellular connections?? Ama ni kujifanya wajua sana ilhali hujui?
Sasa me na we nani hajitambui?
Eti Kenya ndio nchi pekee Africa yenye fiber optic cable network?? ?! What a shame?

Tanzania tupo 4G LTE hiyo 3G ipo huko kijijini kwenu Nairobi
 
Nyinyi mnaamini akhbar za kikwenu tu, ikija kwa utafiti wa kimataifa mnapinga!! Hizo statistics zimetoka kwa net traffic, sasa wewe utakataa aje??
TCRA wakitaka kuiblock Google Facebook Twitter yahoo and any communication platforms and media waziblock across the country sasa ni yupi mbabe?

Na wao ndio wanaotoa kibali kwa network and Internet providers sasa nani anayejua idadi ya Internet users in Tanzania kama sio TCRA wenye mandate ya regulation monitoring and supervision on Internet and all communication means in Tanzania?

Uwe na akili basi sio umekalia ubishi tu wa kipumbavu.
 
Back
Top Bottom