Are spies made or born?

Are spies made or born?

Infantry Soldier Kila taifa lina utaratibu wake na sheria zake za namna ya kuingia kwenye nchi nyingine hasimu kwa lengo la kukusanya taarifa...kupenyeza mtu mpaka akaingia ndani kabisa katika utawala wa nchi hasimu ni jambo linalofanyika na kupangwa kwa umakini mkubwa...
Infiltration za namna hiyo hupangwa kwa kupelekea mtu mmoja mmoja,au kikundi cha watu (spy ring) wakaingia nchi hasimu na kutapakaa kila mmoja akifanya kazi yake lakin wakawa na namna wanavyokutana na kupeana taarifa au inaweza kuwa ni hizo kampuni zikaingia na kufungua miradi lakini kukawa na lengo hilo...
Ntatoa mfano mmoja wamarekan wakati wakimtafuta osama huko pakistan walimtumia dada mmoja anaitwa jane aliyefanya kazi shurika la save the children..alifanya kazi nzuri sana mpaka akajua nyumba anayoishi osama na akapanga jiran na nyumba hiyo na kuchukua taarifa zote mpaka mheshimiwa akauawa...
Ujasusi Wa kuingia nchi hasimu lazima upangwe vizuri maana jasusi akikamatwa hukp madhara yake ni makubwa..
Sasa basi jambo la kwanza ni kuangalia viongozi wa nchi hasim wanapenda nini..kila binadamu ana udhaifu wake..njia nzuri inaweza kutumia jasusi wa kike anapandikizwa nchi hasim na kwa siri anajipenyeza mpaka anakuwa na uhusiano na mmoja wa viongozi serikalini toka nchi hiyo hasimu...anaweza akaolewa kabisa na akakaa huko na kwa kumtumia huyo mumewe akazijua siri,taarifa na mipango yoyote inayoendelea kuhusu taifa la jasusi nae akaweza kutoa taarifa..
Wanawake ni wazuri katika hilo,zipo mbinu wanapewa namna ya kupata siri hasa mwanaume anapokuwa amemaliza kupizi...lakini pia zipo dawa wanazopewa ni maua flani huko iringa ni mengi sana..mwanamke akijipaka mkononi maji maji ya maua hayo na kisha kumtomasa mwanaume sehem ya sikio na shingoni mara moja mwanaume akivuta hatufu ya maua hayo atapata hisia za kufanya mapenzi....na hapo mwanamke atatumia mwanya huo kupata taarifa...kumbuka for a woman to have sex she must have a reason but for man to have sex he just need a place to do that...
Kwa nini majasusi wa kike ni wazuri kwa infiltration za namna hiyo?...zipo sababu kadha wa kadha..kwanza ni kwamba inaaminika mwanamke amezaliwa na extra strand kwenye DNA yake..they are born spies...women are better at playing roles and superior to men when it comes to suppressing their ego in order to attain the goal...they are gifted at deciphering sitiation contary to steriotypes...when they are good,they are very good...
Tofauti na mwanaume..mwanaume anaweza kujionyesha sana...men can fidget around with gadgets but women have an antenna inside them....
Hizo ndizo sababu kwa nini wanawake ni wazuri eneo hilo...sisemi wanaume hawafi wanafaa inategemea na mission yenyewe...
Sasa ukifanikiwa kuruhusu kunguru wako azaliwe kwenye jamii ya njiwa yapo mambo ya kuzingatia kwa huyo kunguru wako ili abaki huko kwa mda mrefu na hata siku moja njiwa wasishtuke na kujua wanaishi na kunguru...jasusi wako akofika huko ni lazima muangalie au aangalie nyumba ataksyofikia..aangalie vitu vilivyomo ndani kama taa,saa ya ukutani nk..aangalie na ajiridhishe kuw vifaa hivyo havijapandikizwa vinasa sauti..
Wakati wa kupiga simu au kupokea simu ya nyumbani awe makini kusikiliza kelele zisizo za kawaida isije kuwa kuna mtu wa tatu anasikiliza mazungumzo...
..tv,radio hasa zilizo ndani ya gari atakalokuwa akitumia awe nakini kusikilza mwingiliano wa mawimbi usioekeweka huenda akawa amepandikiziwa wireless microphone inayonasa mawasiliano yake...
Lazima jasusi(kunguru)awe mwangalifu anapopewa vitu bure mfano kalamu,saa nk..huwenda vitu hivyo vikawa na chip zinazonasa mawasiliano au kumtrack kunguru kila anakoenda..
Kama mahali anapoishi panahitaji ukarabati basi mafundi wote wafanye kazi chini ya uangalizi maalumu wasije wakapandikiza vitu vya kunasia sauti..
..iwapo jasusi atapanda tax kuelekea kwake basi ashuke njian mahali atakapoona panafaa na atembee kwa miguu kwenda kwake..si kila tax dreva ni dreva...
..ndani ya nyumba afunge kamera zitakazokuwa zikirekod masaa24..
Ahakikishe nyaraka na taarifa zilizo ndani ya komputa haziibiwi..akifika kwako atoe hard disk na kuihifadhi sehem salama..
...jikon pawe na vifaa maalum au chumbani kwae vitakavtonsaidia kutengeneza bomu la haraka iwapo atakuwa katika hatari nandani humo pawe na silaha za kutumia iwapo atapata hatari na ulazima...
..lazima awe na begi la all in one..akipata dharura anabeba begi na kusepa sio kuanza kukusanya vitu ..
Asiache chochote chenye maandishi ndani ya gari na kila anapotaka kuwasha gari alikague tair zote isije kuwa tair moja imepachikwa reflector itakayowapa nafasi mahasimu kumfatilia mienendo yake....
Pia lazima akieep profile yake low
Hayo na mengine ni mambo ya muhimu ambayo jasusi anapaswa kuyafanya awapo ugenini...kila jambo lifanyike kwa tahadhari...
Sasa anapotaka kutuma taarifa kwa wakubwa zake lazima afanye kwa umakini ..njia za kisasa za tech ni hatari maana mahasimu wanaweza kufatilia na kusikiliza..kumbe njia nzuri ni kumpa taarifa mtu wako mwingine (handler) ambaye atazifikisha huko kwa wakubwa...
Sheria za majasusi wanapokutana ugenini na kutaka kupeana taarifa ni hizi:
Kwanza lazima wahakikishe hakuna anayewafatilia,kipengele hiki ni muhimu wakazingatia maadili ya kazi...
Lazima wakubaliane juu ya eneo makutano yao..na lazima wapeane ishara za utambuzi ili kufahamiana pasipo kutambuliwa kwa mtu yeyote..
1 kila mmoja afike eneo walilokubaliana kwa mda wake
2.kabla ya kufika eneo walilokubaliana lazima wapeane ishara ya kuonyesha kuwa kila mmoja amemuona mwenzake..ishara hiyo yaweza kuwa kunyanyua gazeti toka upande mmoja kwenda mwingine au kuwasha sigara..ishara hiyo lazma iwe ishara mtembeo ambayo haitavuta hisia za watu wengine..na wakti hili linafanyika wotw wawili wawe makin kujua na kuona kama wanafatiliwa..
3.ishara ya utambuzi ikishafanyika mbeba taarifa ataanza kutembea kuelekea eneo la makutano huku mchukua taarifa akimfata kwa umbali unaofaa....hii ni kuhakikisha mbeba taarifa yuko salama na hafatiliwi
4.mchukua taarifa akijiridhisha kuwa mbeba taarifa yiko salama atamuonyesha ishara iliyozoeleka katika mazingira ya kawaida mfano kufunga kamba za viatu,kushika miwan nk..baada ya hatua hiyo mbeba taarifa nae sasa lazima ahakikishe kwamba mchukua raarifa yuko salama na hafatiliwi...nae ataonyesha ishara mfano kufikicha jicho nk..

5.mbeba taarifa akijiridhisha kwamba wote wawili wakp salama ataonyesha ya kukutana mfano kupandisha suruali ikae vizuri kiunoni....then watakutana na kuepeana taarifa..hakuna mazungumzo kati yao..
Iwapo mbeba taarifa au mchukua taarifa atahisi wanafatiliwa basi watavunja makutano na kila mmoja ataondoka kwa njia yake...watakutana na kujadili yaliyojir na nini kifanyike na safari ya pili wakikutana lazima wawe na backup ya watu wengine au plan ya ziada...

Najisikia kiu
aisee, balaa balaa balaa sana de'levis
 
Infantry Soldier Kila taifa lina utaratibu wake na sheria zake za namna ya kuingia kwenye nchi nyingine hasimu kwa lengo la kukusanya taarifa...kupenyeza mtu mpaka akaingia ndani kabisa katika utawala wa nchi hasimu ni jambo linalofanyika na kupangwa kwa umakini mkubwa...
Infiltration za namna hiyo hupangwa kwa kupelekea mtu mmoja mmoja,au kikundi cha watu (spy ring) wakaingia nchi hasimu na kutapakaa kila mmoja akifanya kazi yake lakin wakawa na namna wanavyokutana na kupeana taarifa au inaweza kuwa ni hizo kampuni zikaingia na kufungua miradi lakini kukawa na lengo hilo...
Ntatoa mfano mmoja wamarekan wakati wakimtafuta osama huko pakistan walimtumia dada mmoja anaitwa jane aliyefanya kazi shurika la save the children..alifanya kazi nzuri sana mpaka akajua nyumba anayoishi osama na akapanga jiran na nyumba hiyo na kuchukua taarifa zote mpaka mheshimiwa akauawa...
Ujasusi Wa kuingia nchi hasimu lazima upangwe vizuri maana jasusi akikamatwa hukp madhara yake ni makubwa..
Sasa basi jambo la kwanza ni kuangalia viongozi wa nchi hasim wanapenda nini..kila binadamu ana udhaifu wake..njia nzuri inaweza kutumia jasusi wa kike anapandikizwa nchi hasim na kwa siri anajipenyeza mpaka anakuwa na uhusiano na mmoja wa viongozi serikalini toka nchi hiyo hasimu...anaweza akaolewa kabisa na akakaa huko na kwa kumtumia huyo mumewe akazijua siri,taarifa na mipango yoyote inayoendelea kuhusu taifa la jasusi nae akaweza kutoa taarifa..
Wanawake ni wazuri katika hilo,zipo mbinu wanapewa namna ya kupata siri hasa mwanaume anapokuwa amemaliza kupizi...lakini pia zipo dawa wanazopewa ni maua flani huko iringa ni mengi sana..mwanamke akijipaka mkononi maji maji ya maua hayo na kisha kumtomasa mwanaume sehem ya sikio na shingoni mara moja mwanaume akivuta hatufu ya maua hayo atapata hisia za kufanya mapenzi....na hapo mwanamke atatumia mwanya huo kupata taarifa...kumbuka for a woman to have sex she must have a reason but for man to have sex he just need a place to do that...
Kwa nini majasusi wa kike ni wazuri kwa infiltration za namna hiyo?...zipo sababu kadha wa kadha..kwanza ni kwamba inaaminika mwanamke amezaliwa na extra strand kwenye DNA yake..they are born spies...women are better at playing roles and superior to men when it comes to suppressing their ego in order to attain the goal...they are gifted at deciphering sitiation contary to steriotypes...when they are good,they are very good...
Tofauti na mwanaume..mwanaume anaweza kujionyesha sana...men can fidget around with gadgets but women have an antenna inside them....
Hizo ndizo sababu kwa nini wanawake ni wazuri eneo hilo...sisemi wanaume hawafi wanafaa inategemea na mission yenyewe...
Sasa ukifanikiwa kuruhusu kunguru wako azaliwe kwenye jamii ya njiwa yapo mambo ya kuzingatia kwa huyo kunguru wako ili abaki huko kwa mda mrefu na hata siku moja njiwa wasishtuke na kujua wanaishi na kunguru...jasusi wako akofika huko ni lazima muangalie au aangalie nyumba ataksyofikia..aangalie vitu vilivyomo ndani kama taa,saa ya ukutani nk..aangalie na ajiridhishe kuw vifaa hivyo havijapandikizwa vinasa sauti..
Wakati wa kupiga simu au kupokea simu ya nyumbani awe makini kusikiliza kelele zisizo za kawaida isije kuwa kuna mtu wa tatu anasikiliza mazungumzo...
..tv,radio hasa zilizo ndani ya gari atakalokuwa akitumia awe nakini kusikilza mwingiliano wa mawimbi usioekeweka huenda akawa amepandikiziwa wireless microphone inayonasa mawasiliano yake...
Lazima jasusi(kunguru)awe mwangalifu anapopewa vitu bure mfano kalamu,saa nk..huwenda vitu hivyo vikawa na chip zinazonasa mawasiliano au kumtrack kunguru kila anakoenda..
Kama mahali anapoishi panahitaji ukarabati basi mafundi wote wafanye kazi chini ya uangalizi maalumu wasije wakapandikiza vitu vya kunasia sauti..
..iwapo jasusi atapanda tax kuelekea kwake basi ashuke njian mahali atakapoona panafaa na atembee kwa miguu kwenda kwake..si kila tax dreva ni dreva...
..ndani ya nyumba afunge kamera zitakazokuwa zikirekod masaa24..
Ahakikishe nyaraka na taarifa zilizo ndani ya komputa haziibiwi..akifika kwako atoe hard disk na kuihifadhi sehem salama..
...jikon pawe na vifaa maalum au chumbani kwae vitakavtonsaidia kutengeneza bomu la haraka iwapo atakuwa katika hatari nandani humo pawe na silaha za kutumia iwapo atapata hatari na ulazima...
..lazima awe na begi la all in one..akipata dharura anabeba begi na kusepa sio kuanza kukusanya vitu ..
Asiache chochote chenye maandishi ndani ya gari na kila anapotaka kuwasha gari alikague tair zote isije kuwa tair moja imepachikwa reflector itakayowapa nafasi mahasimu kumfatilia mienendo yake....
Pia lazima akieep profile yake low
Hayo na mengine ni mambo ya muhimu ambayo jasusi anapaswa kuyafanya awapo ugenini...kila jambo lifanyike kwa tahadhari...
Sasa anapotaka kutuma taarifa kwa wakubwa zake lazima afanye kwa umakini ..njia za kisasa za tech ni hatari maana mahasimu wanaweza kufatilia na kusikiliza..kumbe njia nzuri ni kumpa taarifa mtu wako mwingine (handler) ambaye atazifikisha huko kwa wakubwa...
Sheria za majasusi wanapokutana ugenini na kutaka kupeana taarifa ni hizi:
Kwanza lazima wahakikishe hakuna anayewafatilia,kipengele hiki ni muhimu wakazingatia maadili ya kazi...
Lazima wakubaliane juu ya eneo makutano yao..na lazima wapeane ishara za utambuzi ili kufahamiana pasipo kutambuliwa kwa mtu yeyote..
1 kila mmoja afike eneo walilokubaliana kwa mda wake
2.kabla ya kufika eneo walilokubaliana lazima wapeane ishara ya kuonyesha kuwa kila mmoja amemuona mwenzake..ishara hiyo yaweza kuwa kunyanyua gazeti toka upande mmoja kwenda mwingine au kuwasha sigara..ishara hiyo lazma iwe ishara mtembeo ambayo haitavuta hisia za watu wengine..na wakti hili linafanyika wotw wawili wawe makin kujua na kuona kama wanafatiliwa..
3.ishara ya utambuzi ikishafanyika mbeba taarifa ataanza kutembea kuelekea eneo la makutano huku mchukua taarifa akimfata kwa umbali unaofaa....hii ni kuhakikisha mbeba taarifa yuko salama na hafatiliwi
4.mchukua taarifa akijiridhisha kuwa mbeba taarifa yiko salama atamuonyesha ishara iliyozoeleka katika mazingira ya kawaida mfano kufunga kamba za viatu,kushika miwan nk..baada ya hatua hiyo mbeba taarifa nae sasa lazima ahakikishe kwamba mchukua raarifa yuko salama na hafatiliwi...nae ataonyesha ishara mfano kufikicha jicho nk..

5.mbeba taarifa akijiridhisha kwamba wote wawili wakp salama ataonyesha ya kukutana mfano kupandisha suruali ikae vizuri kiunoni....then watakutana na kuepeana taarifa..hakuna mazungumzo kati yao..
Iwapo mbeba taarifa au mchukua taarifa atahisi wanafatiliwa basi watavunja makutano na kila mmoja ataondoka kwa njia yake...watakutana na kujadili yaliyojir na nini kifanyike na safari ya pili wakikutana lazima wawe na backup ya watu wengine au plan ya ziada...

Najisikia kiu
Punguza kunywa maji ya chumvi
 
Infantry Soldier Kila taifa lina utaratibu wake na sheria zake za namna ya kuingia kwenye nchi nyingine hasimu kwa lengo la kukusanya taarifa...kupenyeza mtu mpaka akaingia ndani kabisa katika utawala wa nchi hasimu ni jambo linalofanyika na kupangwa kwa umakini mkubwa...

Infiltration za namna hiyo hupangwa kwa kupelekea mtu mmoja mmoja,au kikundi cha watu (spy ring) wakaingia nchi hasimu na kutapakaa kila mmoja akifanya kazi yake lakin wakawa na namna wanavyokutana na kupeana taarifa au inaweza kuwa ni hizo kampuni zikaingia na kufungua miradi lakini kukawa na lengo hilo...

Ntatoa mfano mmoja wamarekan wakati wakimtafuta osama huko pakistan walimtumia dada mmoja anaitwa jane aliyefanya kazi shurika la save the children..alifanya kazi nzuri sana mpaka akajua nyumba anayoishi osama na akapanga jiran na nyumba hiyo na kuchukua taarifa zote mpaka mheshimiwa akauawa...

Ujasusi Wa kuingia nchi hasimu lazima upangwe vizuri maana jasusi akikamatwa hukp madhara yake ni makubwa..

Sasa basi jambo la kwanza ni kuangalia viongozi wa nchi hasim wanapenda nini..kila binadamu ana udhaifu wake..njia nzuri inaweza kutumia jasusi wa kike anapandikizwa nchi hasim na kwa siri anajipenyeza mpaka anakuwa na uhusiano na mmoja wa viongozi serikalini toka nchi hiyo hasimu...anaweza akaolewa kabisa na akakaa huko na kwa kumtumia huyo mumewe akazijua siri,taarifa na mipango yoyote inayoendelea kuhusu taifa la jasusi nae akaweza kutoa taarifa..

Wanawake ni wazuri katika hilo,zipo mbinu wanapewa namna ya kupata siri hasa mwanaume anapokuwa amemaliza kupizi...lakini pia zipo dawa wanazopewa ni maua flani huko iringa ni mengi sana..mwanamke akijipaka mkononi maji maji ya maua hayo na kisha kumtomasa mwanaume sehem ya sikio na shingoni mara moja mwanaume akivuta hatufu ya maua hayo atapata hisia za kufanya mapenzi....na hapo mwanamke atatumia mwanya huo kupata taarifa...kumbuka for a woman to have sex she must have a reason but for man to have sex he just need a place to do that...

Kwa nini majasusi wa kike ni wazuri kwa infiltration za namna hiyo?...zipo sababu kadha wa kadha..kwanza ni kwamba inaaminika mwanamke amezaliwa na extra strand kwenye DNA yake..they are born spies...women are better at playing roles and superior to men when it comes to suppressing their ego in order to attain the goal...they are gifted at deciphering sitiation contary to steriotypes...when they are good,they are very good...

Tofauti na mwanaume..mwanaume anaweza kujionyesha sana...men can fidget around with gadgets but women have an antenna inside them....

Hizo ndizo sababu kwa nini wanawake ni wazuri eneo hilo...sisemi wanaume hawafi wanafaa inategemea na mission yenyewe...

Sasa ukifanikiwa kuruhusu kunguru wako azaliwe kwenye jamii ya njiwa yapo mambo ya kuzingatia kwa huyo kunguru wako ili abaki huko kwa mda mrefu na hata siku moja njiwa wasishtuke na kujua wanaishi na kunguru...jasusi wako akofika huko ni lazima muangalie au aangalie nyumba ataksyofikia..aangalie vitu vilivyomo ndani kama taa,saa ya ukutani nk..aangalie na ajiridhishe kuw vifaa hivyo havijapandikizwa vinasa sauti..
Wakati wa kupiga simu au kupokea simu ya nyumbani awe makini kusikiliza kelele zisizo za kawaida isije kuwa kuna mtu wa tatu anasikiliza mazungumzo...
..tv,radio hasa zilizo ndani ya gari atakalokuwa akitumia awe nakini kusikilza mwingiliano wa mawimbi usioekeweka huenda akawa amepandikiziwa wireless microphone inayonasa mawasiliano yake...
Lazima jasusi(kunguru)awe mwangalifu anapopewa vitu bure mfano kalamu,saa nk..huwenda vitu hivyo vikawa na chip zinazonasa mawasiliano au kumtrack kunguru kila anakoenda..
Kama mahali anapoishi panahitaji ukarabati basi mafundi wote wafanye kazi chini ya uangalizi maalumu wasije wakapandikiza vitu vya kunasia sauti..
..iwapo jasusi atapanda tax kuelekea kwake basi ashuke njian mahali atakapoona panafaa na atembee kwa miguu kwenda kwake..si kila tax dreva ni dreva...
..ndani ya nyumba afunge kamera zitakazokuwa zikirekod masaa24..
Ahakikishe nyaraka na taarifa zilizo ndani ya komputa haziibiwi..akifika kwako atoe hard disk na kuihifadhi sehem salama..
...jikon pawe na vifaa maalum au chumbani kwae vitakavtonsaidia kutengeneza bomu la haraka iwapo atakuwa katika hatari nandani humo pawe na silaha za kutumia iwapo atapata hatari na ulazima...
..lazima awe na begi la all in one..akipata dharura anabeba begi na kusepa sio kuanza kukusanya vitu ..
Asiache chochote chenye maandishi ndani ya gari na kila anapotaka kuwasha gari alikague tair zote isije kuwa tair moja imepachikwa reflector itakayowapa nafasi mahasimu kumfatilia mienendo yake....
Pia lazima akieep profile yake low
Hayo na mengine ni mambo ya muhimu ambayo jasusi anapaswa kuyafanya awapo ugenini...kila jambo lifanyike kwa tahadhari...
Sasa anapotaka kutuma taarifa kwa wakubwa zake lazima afanye kwa umakini ..njia za kisasa za tech ni hatari maana mahasimu wanaweza kufatilia na kusikiliza..kumbe njia nzuri ni kumpa taarifa mtu wako mwingine (handler) ambaye atazifikisha huko kwa wakubwa...
Sheria za majasusi wanapokutana ugenini na kutaka kupeana taarifa ni hizi:
Kwanza lazima wahakikishe hakuna anayewafatilia,kipengele hiki ni muhimu wakazingatia maadili ya kazi...
Lazima wakubaliane juu ya eneo makutano yao..na lazima wapeane ishara za utambuzi ili kufahamiana pasipo kutambuliwa kwa mtu yeyote..
1 kila mmoja afike eneo walilokubaliana kwa mda wake
2.kabla ya kufika eneo walilokubaliana lazima wapeane ishara ya kuonyesha kuwa kila mmoja amemuona mwenzake..ishara hiyo yaweza kuwa kunyanyua gazeti toka upande mmoja kwenda mwingine au kuwasha sigara..ishara hiyo lazma iwe ishara mtembeo ambayo haitavuta hisia za watu wengine..na wakti hili linafanyika wotw wawili wawe makin kujua na kuona kama wanafatiliwa..
3.ishara ya utambuzi ikishafanyika mbeba taarifa ataanza kutembea kuelekea eneo la makutano huku mchukua taarifa akimfata kwa umbali unaofaa....hii ni kuhakikisha mbeba taarifa yuko salama na hafatiliwi
4.mchukua taarifa akijiridhisha kuwa mbeba taarifa yiko salama atamuonyesha ishara iliyozoeleka katika mazingira ya kawaida mfano kufunga kamba za viatu,kushika miwan nk..baada ya hatua hiyo mbeba taarifa nae sasa lazima ahakikishe kwamba mchukua raarifa yuko salama na hafatiliwi...nae ataonyesha ishara mfano kufikicha jicho nk..

5.mbeba taarifa akijiridhisha kwamba wote wawili wakp salama ataonyesha ya kukutana mfano kupandisha suruali ikae vizuri kiunoni....then watakutana na kuepeana taarifa..hakuna mazungumzo kati yao..
Iwapo mbeba taarifa au mchukua taarifa atahisi wanafatiliwa basi watavunja makutano na kila mmoja ataondoka kwa njia yake...watakutana na kujadili yaliyojir na nini kifanyike na safari ya pili wakikutana lazima wawe na backup ya watu wengine au plan ya ziada...

Najisikia kiu
mkuu nimekusoma sana asante aisee kwa ufafanuzi wako. you are appreciated
 
Hivi bosi wa external intelligence ya Tanzania ni nani?
hatumjui wali hatuhitaji kuwajua hao ma-boss wa TISS aisee

sisi tunajadili espionage business in a nutshell na sio kujadili utendaji kazi wa TISS

ninadhani tumeelewana mkuu
 
Mnajua external intelligence ya Tanzania ilifanya kazi gani mpaka Uganda wakasema bomba lipitie bongo?
sisi tunajadili espionage business in a nutshell na kwa ku-reflect nchi kama Israel na Marekani na sio kujadili utendaji kazi wa TISS.

All in all, none of us here have been working with those guys, so naomba tusifike huko kabisa mkuu
 
Mnajua external intelligence ya Tanzania ilifanya kazi gani mpaka Uganda wakasema bomba lipitie bongo?
Yes we know is the work of Tiss
But it still confront many difficulties

Inteligenc e international is the work under embassies and people from different international organ
 
Infantry Soldier Kila taifa lina utaratibu wake na sheria zake za namna ya kuingia kwenye nchi nyingine hasimu kwa lengo la kukusanya taarifa...kupenyeza mtu mpaka akaingia ndani kabisa katika utawala wa nchi hasimu ni jambo linalofanyika na kupangwa kwa umakini mkubwa...
Infiltration za namna hiyo hupangwa kwa kupelekea mtu mmoja mmoja,au kikundi cha watu (spy ring) wakaingia nchi hasimu na kutapakaa kila mmoja akifanya kazi yake lakin wakawa na namna wanavyokutana na kupeana taarifa au inaweza kuwa ni hizo kampuni zikaingia na kufungua miradi lakini kukawa na lengo hilo...
Ntatoa mfano mmoja wamarekan wakati wakimtafuta osama huko pakistan walimtumia dada mmoja anaitwa jane aliyefanya kazi shurika la save the children..alifanya kazi nzuri sana mpaka akajua nyumba anayoishi osama na akapanga jiran na nyumba hiyo na kuchukua taarifa zote mpaka mheshimiwa akauawa...
Ujasusi Wa kuingia nchi hasimu lazima upangwe vizuri maana jasusi akikamatwa hukp madhara yake ni makubwa..
Sasa basi jambo la kwanza ni kuangalia viongozi wa nchi hasim wanapenda nini..kila binadamu ana udhaifu wake..njia nzuri inaweza kutumia jasusi wa kike anapandikizwa nchi hasim na kwa siri anajipenyeza mpaka anakuwa na uhusiano na mmoja wa viongozi serikalini toka nchi hiyo hasimu...anaweza akaolewa kabisa na akakaa huko na kwa kumtumia huyo mumewe akazijua siri,taarifa na mipango yoyote inayoendelea kuhusu taifa la jasusi nae akaweza kutoa taarifa..
Wanawake ni wazuri katika hilo,zipo mbinu wanapewa namna ya kupata siri hasa mwanaume anapokuwa amemaliza kupizi...lakini pia zipo dawa wanazopewa ni maua flani huko iringa ni mengi sana..mwanamke akijipaka mkononi maji maji ya maua hayo na kisha kumtomasa mwanaume sehem ya sikio na shingoni mara moja mwanaume akivuta hatufu ya maua hayo atapata hisia za kufanya mapenzi....na hapo mwanamke atatumia mwanya huo kupata taarifa...kumbuka for a woman to have sex she must have a reason but for man to have sex he just need a place to do that...
Kwa nini majasusi wa kike ni wazuri kwa infiltration za namna hiyo?...zipo sababu kadha wa kadha..kwanza ni kwamba inaaminika mwanamke amezaliwa na extra strand kwenye DNA yake..they are born spies...women are better at playing roles and superior to men when it comes to suppressing their ego in order to attain the goal...they are gifted at deciphering sitiation contary to steriotypes...when they are good,they are very good...
Tofauti na mwanaume..mwanaume anaweza kujionyesha sana...men can fidget around with gadgets but women have an antenna inside them....
Hizo ndizo sababu kwa nini wanawake ni wazuri eneo hilo...sisemi wanaume hawafi wanafaa inategemea na mission yenyewe...
Sasa ukifanikiwa kuruhusu kunguru wako azaliwe kwenye jamii ya njiwa yapo mambo ya kuzingatia kwa huyo kunguru wako ili abaki huko kwa mda mrefu na hata siku moja njiwa wasishtuke na kujua wanaishi na kunguru...jasusi wako akofika huko ni lazima muangalie au aangalie nyumba ataksyofikia..aangalie vitu vilivyomo ndani kama taa,saa ya ukutani nk..aangalie na ajiridhishe kuw vifaa hivyo havijapandikizwa vinasa sauti..
Wakati wa kupiga simu au kupokea simu ya nyumbani awe makini kusikiliza kelele zisizo za kawaida isije kuwa kuna mtu wa tatu anasikiliza mazungumzo...
..tv,radio hasa zilizo ndani ya gari atakalokuwa akitumia awe nakini kusikilza mwingiliano wa mawimbi usioekeweka huenda akawa amepandikiziwa wireless microphone inayonasa mawasiliano yake...
Lazima jasusi(kunguru)awe mwangalifu anapopewa vitu bure mfano kalamu,saa nk..huwenda vitu hivyo vikawa na chip zinazonasa mawasiliano au kumtrack kunguru kila anakoenda..
Kama mahali anapoishi panahitaji ukarabati basi mafundi wote wafanye kazi chini ya uangalizi maalumu wasije wakapandikiza vitu vya kunasia sauti..
..iwapo jasusi atapanda tax kuelekea kwake basi ashuke njian mahali atakapoona panafaa na atembee kwa miguu kwenda kwake..si kila tax dreva ni dreva...
..ndani ya nyumba afunge kamera zitakazokuwa zikirekod masaa24..
Ahakikishe nyaraka na taarifa zilizo ndani ya komputa haziibiwi..akifika kwako atoe hard disk na kuihifadhi sehem salama..
...jikon pawe na vifaa maalum au chumbani kwae vitakavtonsaidia kutengeneza bomu la haraka iwapo atakuwa katika hatari nandani humo pawe na silaha za kutumia iwapo atapata hatari na ulazima...
..lazima awe na begi la all in one..akipata dharura anabeba begi na kusepa sio kuanza kukusanya vitu ..
Asiache chochote chenye maandishi ndani ya gari na kila anapotaka kuwasha gari alikague tair zote isije kuwa tair moja imepachikwa reflector itakayowapa nafasi mahasimu kumfatilia mienendo yake....
Pia lazima akieep profile yake low
Hayo na mengine ni mambo ya muhimu ambayo jasusi anapaswa kuyafanya awapo ugenini...kila jambo lifanyike kwa tahadhari...
Sasa anapotaka kutuma taarifa kwa wakubwa zake lazima afanye kwa umakini ..njia za kisasa za tech ni hatari maana mahasimu wanaweza kufatilia na kusikiliza..kumbe njia nzuri ni kumpa taarifa mtu wako mwingine (handler) ambaye atazifikisha huko kwa wakubwa...
Sheria za majasusi wanapokutana ugenini na kutaka kupeana taarifa ni hizi:
Kwanza lazima wahakikishe hakuna anayewafatilia,kipengele hiki ni muhimu wakazingatia maadili ya kazi...
Lazima wakubaliane juu ya eneo makutano yao..na lazima wapeane ishara za utambuzi ili kufahamiana pasipo kutambuliwa kwa mtu yeyote..
1 kila mmoja afike eneo walilokubaliana kwa mda wake
2.kabla ya kufika eneo walilokubaliana lazima wapeane ishara ya kuonyesha kuwa kila mmoja amemuona mwenzake..ishara hiyo yaweza kuwa kunyanyua gazeti toka upande mmoja kwenda mwingine au kuwasha sigara..ishara hiyo lazma iwe ishara mtembeo ambayo haitavuta hisia za watu wengine..na wakti hili linafanyika wotw wawili wawe makin kujua na kuona kama wanafatiliwa..
3.ishara ya utambuzi ikishafanyika mbeba taarifa ataanza kutembea kuelekea eneo la makutano huku mchukua taarifa akimfata kwa umbali unaofaa....hii ni kuhakikisha mbeba taarifa yuko salama na hafatiliwi
4.mchukua taarifa akijiridhisha kuwa mbeba taarifa yiko salama atamuonyesha ishara iliyozoeleka katika mazingira ya kawaida mfano kufunga kamba za viatu,kushika miwan nk..baada ya hatua hiyo mbeba taarifa nae sasa lazima ahakikishe kwamba mchukua raarifa yuko salama na hafatiliwi...nae ataonyesha ishara mfano kufikicha jicho nk..

5.mbeba taarifa akijiridhisha kwamba wote wawili wakp salama ataonyesha ya kukutana mfano kupandisha suruali ikae vizuri kiunoni....then watakutana na kuepeana taarifa..hakuna mazungumzo kati yao..
Iwapo mbeba taarifa au mchukua taarifa atahisi wanafatiliwa basi watavunja makutano na kila mmoja ataondoka kwa njia yake...watakutana na kujadili yaliyojir na nini kifanyike na safari ya pili wakikutana lazima wawe na backup ya watu wengine au plan ya ziada...

Najisikia kiu
Tamu kweli
 
Infantry Soldier Kila taifa lina utaratibu wake na sheria zake za namna ya kuingia kwenye nchi nyingine hasimu kwa lengo la kukusanya taarifa...kupenyeza mtu mpaka akaingia ndani kabisa katika utawala wa nchi hasimu ni jambo linalofanyika na kupangwa kwa umakini mkubwa...
Infiltration za namna hiyo hupangwa kwa kupelekea mtu mmoja mmoja,au kikundi cha watu (spy ring) wakaingia nchi hasimu na kutapakaa kila mmoja akifanya kazi yake lakin wakawa na namna wanavyokutana na kupeana taarifa au inaweza kuwa ni hizo kampuni zikaingia na kufungua miradi lakini kukawa na lengo hilo...
Ntatoa mfano mmoja wamarekan wakati wakimtafuta osama huko pakistan walimtumia dada mmoja anaitwa jane aliyefanya kazi shurika la save the children..alifanya kazi nzuri sana mpaka akajua nyumba anayoishi osama na akapanga jiran na nyumba hiyo na kuchukua taarifa zote mpaka mheshimiwa akauawa...
Ujasusi Wa kuingia nchi hasimu lazima upangwe vizuri maana jasusi akikamatwa hukp madhara yake ni makubwa..
Sasa basi jambo la kwanza ni kuangalia viongozi wa nchi hasim wanapenda nini..kila binadamu ana udhaifu wake..njia nzuri inaweza kutumia jasusi wa kike anapandikizwa nchi hasim na kwa siri anajipenyeza mpaka anakuwa na uhusiano na mmoja wa viongozi serikalini toka nchi hiyo hasimu...anaweza akaolewa kabisa na akakaa huko na kwa kumtumia huyo mumewe akazijua siri,taarifa na mipango yoyote inayoendelea kuhusu taifa la jasusi nae akaweza kutoa taarifa..
Wanawake ni wazuri katika hilo,zipo mbinu wanapewa namna ya kupata siri hasa mwanaume anapokuwa amemaliza kupizi...lakini pia zipo dawa wanazopewa ni maua flani huko iringa ni mengi sana..mwanamke akijipaka mkononi maji maji ya maua hayo na kisha kumtomasa mwanaume sehem ya sikio na shingoni mara moja mwanaume akivuta hatufu ya maua hayo atapata hisia za kufanya mapenzi....na hapo mwanamke atatumia mwanya huo kupata taarifa...kumbuka for a woman to have sex she must have a reason but for man to have sex he just need a place to do that...
Kwa nini majasusi wa kike ni wazuri kwa infiltration za namna hiyo?...zipo sababu kadha wa kadha..kwanza ni kwamba inaaminika mwanamke amezaliwa na extra strand kwenye DNA yake..they are born spies...women are better at playing roles and superior to men when it comes to suppressing their ego in order to attain the goal...they are gifted at deciphering sitiation contary to steriotypes...when they are good,they are very good...
Tofauti na mwanaume..mwanaume anaweza kujionyesha sana...men can fidget around with gadgets but women have an antenna inside them....
Hizo ndizo sababu kwa nini wanawake ni wazuri eneo hilo...sisemi wanaume hawafi wanafaa inategemea na mission yenyewe...
Sasa ukifanikiwa kuruhusu kunguru wako azaliwe kwenye jamii ya njiwa yapo mambo ya kuzingatia kwa huyo kunguru wako ili abaki huko kwa mda mrefu na hata siku moja njiwa wasishtuke na kujua wanaishi na kunguru...jasusi wako akofika huko ni lazima muangalie au aangalie nyumba ataksyofikia..aangalie vitu vilivyomo ndani kama taa,saa ya ukutani nk..aangalie na ajiridhishe kuw vifaa hivyo havijapandikizwa vinasa sauti..
Wakati wa kupiga simu au kupokea simu ya nyumbani awe makini kusikiliza kelele zisizo za kawaida isije kuwa kuna mtu wa tatu anasikiliza mazungumzo...
..tv,radio hasa zilizo ndani ya gari atakalokuwa akitumia awe nakini kusikilza mwingiliano wa mawimbi usioekeweka huenda akawa amepandikiziwa wireless microphone inayonasa mawasiliano yake...
Lazima jasusi(kunguru)awe mwangalifu anapopewa vitu bure mfano kalamu,saa nk..huwenda vitu hivyo vikawa na chip zinazonasa mawasiliano au kumtrack kunguru kila anakoenda..
Kama mahali anapoishi panahitaji ukarabati basi mafundi wote wafanye kazi chini ya uangalizi maalumu wasije wakapandikiza vitu vya kunasia sauti..
..iwapo jasusi atapanda tax kuelekea kwake basi ashuke njian mahali atakapoona panafaa na atembee kwa miguu kwenda kwake..si kila tax dreva ni dreva...
..ndani ya nyumba afunge kamera zitakazokuwa zikirekod masaa24..
Ahakikishe nyaraka na taarifa zilizo ndani ya komputa haziibiwi..akifika kwako atoe hard disk na kuihifadhi sehem salama..
...jikon pawe na vifaa maalum au chumbani kwae vitakavtonsaidia kutengeneza bomu la haraka iwapo atakuwa katika hatari nandani humo pawe na silaha za kutumia iwapo atapata hatari na ulazima...
..lazima awe na begi la all in one..akipata dharura anabeba begi na kusepa sio kuanza kukusanya vitu ..
Asiache chochote chenye maandishi ndani ya gari na kila anapotaka kuwasha gari alikague tair zote isije kuwa tair moja imepachikwa reflector itakayowapa nafasi mahasimu kumfatilia mienendo yake....
Pia lazima akieep profile yake low
Hayo na mengine ni mambo ya muhimu ambayo jasusi anapaswa kuyafanya awapo ugenini...kila jambo lifanyike kwa tahadhari...
Sasa anapotaka kutuma taarifa kwa wakubwa zake lazima afanye kwa umakini ..njia za kisasa za tech ni hatari maana mahasimu wanaweza kufatilia na kusikiliza..kumbe njia nzuri ni kumpa taarifa mtu wako mwingine (handler) ambaye atazifikisha huko kwa wakubwa...
Sheria za majasusi wanapokutana ugenini na kutaka kupeana taarifa ni hizi:
Kwanza lazima wahakikishe hakuna anayewafatilia,kipengele hiki ni muhimu wakazingatia maadili ya kazi...
Lazima wakubaliane juu ya eneo makutano yao..na lazima wapeane ishara za utambuzi ili kufahamiana pasipo kutambuliwa kwa mtu yeyote..
1 kila mmoja afike eneo walilokubaliana kwa mda wake
2.kabla ya kufika eneo walilokubaliana lazima wapeane ishara ya kuonyesha kuwa kila mmoja amemuona mwenzake..ishara hiyo yaweza kuwa kunyanyua gazeti toka upande mmoja kwenda mwingine au kuwasha sigara..ishara hiyo lazma iwe ishara mtembeo ambayo haitavuta hisia za watu wengine..na wakti hili linafanyika wotw wawili wawe makin kujua na kuona kama wanafatiliwa..
3.ishara ya utambuzi ikishafanyika mbeba taarifa ataanza kutembea kuelekea eneo la makutano huku mchukua taarifa akimfata kwa umbali unaofaa....hii ni kuhakikisha mbeba taarifa yuko salama na hafatiliwi
4.mchukua taarifa akijiridhisha kuwa mbeba taarifa yiko salama atamuonyesha ishara iliyozoeleka katika mazingira ya kawaida mfano kufunga kamba za viatu,kushika miwan nk..baada ya hatua hiyo mbeba taarifa nae sasa lazima ahakikishe kwamba mchukua raarifa yuko salama na hafatiliwi...nae ataonyesha ishara mfano kufikicha jicho nk..

5.mbeba taarifa akijiridhisha kwamba wote wawili wakp salama ataonyesha ya kukutana mfano kupandisha suruali ikae vizuri kiunoni....then watakutana na kuepeana taarifa..hakuna mazungumzo kati yao..
Iwapo mbeba taarifa au mchukua taarifa atahisi wanafatiliwa basi watavunja makutano na kila mmoja ataondoka kwa njia yake...watakutana na kujadili yaliyojir na nini kifanyike na safari ya pili wakikutana lazima wawe na backup ya watu wengine au plan ya ziada...

Najisikia kiu
Ni tamu na inapendeza, ila ninachojaribu kufikiria ni kwamba kwa teknolojia ya sasa hivi ilivyo, naona kama mbinu zote hizi za kuweza kumu-cover spy agent ni obsolete, huwezi ukazitumia tena kwa sasa hivi kwa sababu haiwezekani hata ku-detect cctv camera iliyowekwa chumbani. Kamera yaweza kuwekwa na usijue kama ipo.
 
Ni tamu na inapendeza, ila ninachojaribu kufikiria ni kwamba kwa teknolojia ya sasa hivi ilivyo, naona kama mbinu zote hizi za kuweza kumu-cover spy agent ni obsolete, huwezi ukazitumia tena kwa sasa hivi kwa sababu haiwezekani hata ku-detect cctv camera iliyowekwa chumbani. Kamera yaweza kuwekwa na usijue kama ipo.
mkuu de'levis, Makanyaga na Ramark hivi mnafikiri technological breakthrough hizi za sasa zinazopewa chapuo za kuwa na surveillance kamera ndogo kama kifungo cha shati zinaweza kuifanya idara iweze ku-neglect those outdated cold war technical maneuvers kama deadrop and the like?
 
Tisha xana JF, naomba nimuulize mkuu devil, has a kwenye swala la inflitration of spies, inchi zinazotoa uraia mfano tz kwa raia wa Mataifa mbalimbali, in kwa namna gani tunahakikisha hili halituathiri, pili kwa kupokea wakimbizi toka mataifa tofauti tz inanufaika vp interns of intelligence, tatu Nchi kama Tz ambayo imepakana na m
Infantry Soldier Kila taifa lina utaratibu wake na sheria zake za namna ya kuingia kwenye nchi nyingine hasimu kwa lengo la kukusanya taarifa...kupenyeza mtu mpaka akaingia ndani kabisa katika utawala wa nchi hasimu ni jambo linalofanyika na kupangwa kwa umakini mkubwa...
Infiltration za namna hiyo hupangwa kwa kupelekea mtu mmoja mmoja,au kikundi cha watu (spy ring) wakaingia nchi hasimu na kutapakaa kila mmoja akifanya kazi yake lakin wakawa na namna wanavyokutana na kupeana taarifa au inaweza kuwa ni hizo kampuni zikaingia na kufungua miradi lakini kukawa na lengo hilo...
Ntatoa mfano mmoja wamarekan wakati wakimtafuta osama huko pakistan walimtumia dada mmoja anaitwa jane aliyefanya kazi shurika la save the children..alifanya kazi nzuri sana mpaka akajua nyumba anayoishi osama na akapanga jiran na nyumba hiyo na kuchukua taarifa zote mpaka mheshimiwa akauawa...
Ujasusi Wa kuingia nchi hasimu lazima upangwe vizuri maana jasusi akikamatwa hukp madhara yake ni makubwa..
Sasa basi jambo la kwanza ni kuangalia viongozi wa nchi hasim wanapenda nini..kila binadamu ana udhaifu wake..njia nzuri inaweza kutumia jasusi wa kike anapandikizwa nchi hasim na kwa siri anajipenyeza mpaka anakuwa na uhusiano na mmoja wa viongozi serikalini toka nchi hiyo hasimu...anaweza akaolewa kabisa na akakaa huko na kwa kumtumia huyo mumewe akazijua siri,taarifa na mipango yoyote inayoendelea kuhusu taifa la jasusi nae akaweza kutoa taarifa..
Wanawake ni wazuri katika hilo,zipo mbinu wanapewa namna ya kupata siri hasa mwanaume anapokuwa amemaliza kupizi...lakini pia zipo dawa wanazopewa ni maua flani huko iringa ni mengi sana..mwanamke akijipaka mkononi maji maji ya maua hayo na kisha kumtomasa mwanaume sehem ya sikio na shingoni mara moja mwanaume akivuta hatufu ya maua hayo atapata hisia za kufanya mapenzi....na hapo mwanamke atatumia mwanya huo kupata taarifa...kumbuka for a woman to have sex she must have a reason but for man to have sex he just need a place to do that...
Kwa nini majasusi wa kike ni wazuri kwa infiltration za namna hiyo?...zipo sababu kadha wa kadha..kwanza ni kwamba inaaminika mwanamke amezaliwa na extra strand kwenye DNA yake..they are born spies...women are better at playing roles and superior to men when it comes to suppressing their ego in order to attain the goal...they are gifted at deciphering sitiation contary to steriotypes...when they are good,they are very good...
Tofauti na mwanaume..mwanaume anaweza kujionyesha sana...men can fidget around with gadgets but women have an antenna inside them....
Hizo ndizo sababu kwa nini wanawake ni wazuri eneo hilo...sisemi wanaume hawafi wanafaa inategemea na mission yenyewe...
Sasa ukifanikiwa kuruhusu kunguru wako azaliwe kwenye jamii ya njiwa yapo mambo ya kuzingatia kwa huyo kunguru wako ili abaki huko kwa mda mrefu na hata siku moja njiwa wasishtuke na kujua wanaishi na kunguru...jasusi wako akofika huko ni lazima muangalie au aangalie nyumba ataksyofikia..aangalie vitu vilivyomo ndani kama taa,saa ya ukutani nk..aangalie na ajiridhishe kuw vifaa hivyo havijapandikizwa vinasa sauti..
Wakati wa kupiga simu au kupokea simu ya nyumbani awe makini kusikiliza kelele zisizo za kawaida isije kuwa kuna mtu wa tatu anasikiliza mazungumzo...
..tv,radio hasa zilizo ndani ya gari atakalokuwa akitumia awe nakini kusikilza mwingiliano wa mawimbi usioekeweka huenda akawa amepandikiziwa wireless microphone inayonasa mawasiliano yake...
Lazima jasusi(kunguru)awe mwangalifu anapopewa vitu bure mfano kalamu,saa nk..huwenda vitu hivyo vikawa na chip zinazonasa mawasiliano au kumtrack kunguru kila anakoenda..
Kama mahali anapoishi panahitaji ukarabati basi mafundi wote wafanye kazi chini ya uangalizi maalumu wasije wakapandikiza vitu vya kunasia sauti..
..iwapo jasusi atapanda tax kuelekea kwake basi ashuke njian mahali atakapoona panafaa na atembee kwa miguu kwenda kwake..si kila tax dreva ni dreva...
..ndani ya nyumba afunge kamera zitakazokuwa zikirekod masaa24..
Ahakikishe nyaraka na taarifa zilizo ndani ya komputa haziibiwi..akifika kwako atoe hard disk na kuihifadhi sehem salama..
...jikon pawe na vifaa maalum au chumbani kwae vitakavtonsaidia kutengeneza bomu la haraka iwapo atakuwa katika hatari nandani humo pawe na silaha za kutumia iwapo atapata hatari na ulazima...
..lazima awe na begi la all in one..akipata dharura anabeba begi na kusepa sio kuanza kukusanya vitu ..
Asiache chochote chenye maandishi ndani ya gari na kila anapotaka kuwasha gari alikague tair zote isije kuwa tair moja imepachikwa reflector itakayowapa nafasi mahasimu kumfatilia mienendo yake....
Pia lazima akieep profile yake low
Hayo na mengine ni mambo ya muhimu ambayo jasusi anapaswa kuyafanya awapo ugenini...kila jambo lifanyike kwa tahadhari...
Sasa anapotaka kutuma taarifa kwa wakubwa zake lazima afanye kwa umakini ..njia za kisasa za tech ni hatari maana mahasimu wanaweza kufatilia na kusikiliza..kumbe njia nzuri ni kumpa taarifa mtu wako mwingine (handler) ambaye atazifikisha huko kwa wakubwa...
Sheria za majasusi wanapokutana ugenini na kutaka kupeana taarifa ni hizi:
Kwanza lazima wahakikishe hakuna anayewafatilia,kipengele hiki ni muhimu wakazingatia maadili ya kazi...
Lazima wakubaliane juu ya eneo makutano yao..na lazima wapeane ishara za utambuzi ili kufahamiana pasipo kutambuliwa kwa mtu yeyote..
1 kila mmoja afike eneo walilokubaliana kwa mda wake
2.kabla ya kufika eneo walilokubaliana lazima wapeane ishara ya kuonyesha kuwa kila mmoja amemuona mwenzake..ishara hiyo yaweza kuwa kunyanyua gazeti toka upande mmoja kwenda mwingine au kuwasha sigara..ishara hiyo lazma iwe ishara mtembeo ambayo haitavuta hisia za watu wengine..na wakti hili linafanyika wotw wawili wawe makin kujua na kuona kama wanafatiliwa..
3.ishara ya utambuzi ikishafanyika mbeba taarifa ataanza kutembea kuelekea eneo la makutano huku mchukua taarifa akimfata kwa umbali unaofaa....hii ni kuhakikisha mbeba taarifa yuko salama na hafatiliwi
4.mchukua taarifa akijiridhisha kuwa mbeba taarifa yiko salama atamuonyesha ishara iliyozoeleka katika mazingira ya kawaida mfano kufunga kamba za viatu,kushika miwan nk..baada ya hatua hiyo mbeba taarifa nae sasa lazima ahakikishe kwamba mchukua raarifa yuko salama na hafatiliwi...nae ataonyesha ishara mfano kufikicha jicho nk..

5.mbeba taarifa akijiridhisha kwamba wote wawili wakp salama ataonyesha ya kukutana mfano kupandisha suruali ikae vizuri kiunoni....then watakutana na kuepeana taarifa..hakuna mazungumzo kati yao..
Iwapo mbeba taarifa au mchukua taarifa atahisi wanafatiliwa basi watavunja makutano na kila mmoja ataondoka kwa njia yake...watakutana na kujadili yaliyojir na nini kifanyike na safari ya pili wakikutana lazima wawe na backup ya watu wengine au plan ya ziada...

Najisikia kiu
Tisha sana mkuu, naomba niulize, moja, hv Inchi zinazoamua kuwapatia wakimbizi zinahakikisha vp mwanya huo hautumiki kuingiza kunguru, pili Nchi zinazipokea wakimbizi zinanufaika vp na swala hilo kwenye intelligence dhidi mataifa waliyotoka, na tatu kwa Nchi zinazopakana na mataifa mengi na ambazo raia wake has a was mipakani wanafanana sana ktk mambo mengi kama vile lugha, utamaduni na hata mionekano yao, zinafaidika vp na jambo hili na zinapata athari gani kwenye swala zima la intelligence!
 
de'levis and the rest of members, kwa mara nyingine tena nimerudi na maswali yangu kama kawaida, this time around swali limekaa hivi;

Edward Snowden, kachero wa zamani wa N.S.A defected to Russia na kuanza kuvujisha zinazoitwa siri alizobahatika kuzipata for the time he was working for the agency.

Sasa, haya ma-file ama siri anazovujisha huyu Snowden, zilikuwa ni siri za Russia dhidi ya U.S.A ambazo Russia walihitaji someone worthy setting forth as a whistle blower from the american intelligence cycle, someone the world community would buy stories from without raising any doubts, ndio maana wakaweza kumshawishi huyu kachero kutoroka, kutua nchi mbalimbali kama mkimbizi wa kisiasa kama vile zuga zuga tu lakini kisha hatimaye akatinga ndani ya Moscow na kuanza kuvujisha taarifa za kuidhalilisha marekani na kuchafua taswira yake katika uso wa ulimwengu, ama unafikiri huyu Edward ni shushushu alyitetoroka kweli???!!!!!! naomba maono yako katika hili mkongwe de'levis
 
Spy are made that is why there are places they have to go to be made,if they were born spy already then there are would be no need for their schools or college.Do not mix someone's ability to influence others or creativity or being able to do extra ordinary things these things we are born with and they help make one trained spy or leader different from another though they have been trained together under the same environment.
 
Spy are made that is why there are places they have to go to be made,if they were born spy already then there are would be no need for their schools or college.Do not mix someone's ability to influence others or creativity or being able to do extra ordinary things these things we are born with and they help make one trained spy or leader different from another though they have been trained together under the same environment.
asante mkuu kwa mchango wako. nimejifunza kitu kutokana na maelezo yako
 
Back
Top Bottom