Hahahhahahha mkuu sio wa kawaida huyo ni mtoto wa nzige tayari
Abadani!Usingeliweza kumstukia.Amini nachokwambia mkuu
Wewe nanga uelewa wako mdogo Sana shwaini wewehahahahahaaaaa mkuu comandante de'levis punguza comedy mkuu. Wewe na kilimo wapi na wapi kaka?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]weweeeeee mimi mwenzako bado mdogo halafu hayo mambo sifanyagi. sipendi kufanya matusi
Haya tupeane yale ya kitutusa sasa, viatu usivue kitasa kimeharibika humu
Taaaam sana. ThanksThread tamu sana hii
Wazee wa Coded LanguageHaya tupeane yale ya kitutusa sasa, viatu usivue kitasa kimeharibika humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen. Hakika Mungu amesikia ombi lakoMungu ibariki Tanzania,Mungu bariki majeshi ya usalama wa Taifa.
Hakika brotherhuwezi kujua ugumu wa malezi mpaka ushike usukani.