Are spies made or born?

Are spies made or born?

Halafu pia ujue sometimes wakati wanapokufuatiliwa, unaweza kupewa, kuingizwa kwenye wakati mgumu bila Wewe kujijua kuwa that situation kuna mtu kaisababisha kwa makusudi ili waone the way unavyopambana nayo, wajue unawafaa, wakupotezee au wajiandae kukuongezea ubora zaidi baadae, na unaweza kuwa unafuatiliwa na watu tofauti tofauti at the same time ambao wamo huko na wako close na Wewe au wamefanywa/ wamewekwa wawe close na wewe, eg, una rafiki yako uliyenaye karibu yumo humo, mwalimu wako, jirani yako na hata mpenzi wako, so kila mtu atapata information zako kutokana na ukaribu wake kwako, pata picha unapojiachia kwa mpenzi wako, unampa information zako kibao, unaambatana naye sehemu kibao, anajua mambo yako kibao, kwa kuwa unamweleza, kama yuko huko na ndio katumwa kwako, atakujua much, so akipeleka information au hata yeye mwenyewe ataanza kujua kama unafaa au huwafai, hawa watu wamo mpaka viongozi wa dini, so, unaweza ukawakuta Sehemu za ibada, Bank, Mashuleni, Mahospitalini( hasa doctors), mwengine anaweza kujifanya kama amejiajiri, kumbe yuko huko( wafanyabiashara),hata wasanii pia wamo n.k, nakumbuka kuna siku kuna mtu aliniambia huko Russia ilikuwa mtu anaweza hata kukuoa au kuolewa na wewe ili akuchunguze, yuko kikazi, so kwa watu hwa usije ukamwona mtu barabarani yuko shaghalabhaghala, mchafu mchafu, kabeba mifuko michafu michafu/ viroba vichafu/makopo, ukamchukulia poa, wengine wako kazini ati, tena serious job, sio vibaka.




*****Si unakumbuka kwenye History ya Africa, traders, missionaries na explorers, walishirikiana ili kupata information ili waweze kuiexploit na kuicolonize Africa through kuwa karibu na Wazawa, kushirikiana nao, kuwapeleleza. Walifanya biashara na Wazawa, waliwasomesha, waliwaingiza kwenye Imani mpya , kuwapa elimu ya kigeni ili kuwaweka karibu nao, kuwachange the way walivyokuwa ili waweze kuwasaidia/ kuwatumia kuexploit their African countries, kwa manufaa yao (Wazungu), tulikuwa kama typists n.k but kwa bahati mbaya hayo waliyotuletea yalitubadilisha pia tukawa wapya,tukaendana na Dunia walau, tukajitambua zaidi walau(wao hasa walidhamiria kujinufaisha wao), ...lakini hawa wa kwenye nchi yenyewe, Spies Wazawa, wanatafutwa kufanya yaliyo na faida kwa nchi zaidi, au waweze kufanya yaliyo na faida kwa jamii kwa ujumla( more Countries), eg. kutafuta information za Al-Shabaab na kudeal nao, but wengine bado wanatumika kutafuta information kwenye nchi fulani ili wajue namna ya kuzicontrol/ kuzitibua( kuibua magomvi, fujo, vita) / kuzirubuni ili wachukue wanavyovitaka vitakavyowapatia faida kwenye Nchi zao wao na kuwaendeleza kiuchumi ili waweze kufanya maendeleo zaidi kwenye Nchi zao while nyie mnabaki hohe hae, labda wale wachache wenu wanaoshirikiana nao( wanawasaidia kutimiza azma yao kwa ujinga wao, uoga au kurubuniwa) ndio wanaofaidika kiasi but not kushinda wao.
 
Zamani enzi za mwl ulikuwa spotted kuanzia primary ila huambiwi kwa umri ule. Wakuu wengi wa shule walikuwa usalama!!! then unaendelea kufuatiliwa hadi sekondari na chuo wanakupasulia jipu!!! kinachoendelea hapo nameza.

Duuuuh mkuu tokea primary mbona ni mbali sana aisee...ndio maana nasikia walikuwa ni wakali sana!!!
 
Nakumbuka bwana Vladmir Putin wakati yupo chuo aligundua kwamba the K.G.B inamfuatilia,being so determined young Putin baada ya kumaliza chuo huyoo akaenda kuwaomba kazi mwenyewe majamaa wakamfukuza,ila after a short period of time wakamtafuta.

Lakini hizo kazi si wanasema hauombi directly--ukienda kuwa face unakuwa ume disqualify moja kwa moja..sasa ilikuwaje putin akadiriki kwenda kuwaomba?
 
Naombeni msaada wenu wa majibu;
Sasa kwa mfano potential recruit amekuwa spotted somewhere lakini baada ya kumuweka under close surveillance akaonekana hafai then watam-drop. Ikitokea huyo recruit akahamia mkoa kisha akaonwa na agents hao hao ila ni wa huo mkoa mwingine nao wakamuona si kuna uwezekano wakaanza kumfuatilia tena upya hivyo kukawa na kujirudia rudia kwa zoezi. Hapa imekaa vipi wakuu!!!
 
Naombeni msaada wenu wa majibu;
Sasa kwa mfano potential recruit amekuwa spotted somewhere lakini baada ya kumuweka under close surveillance akaonekana hafai then watam-drop. Ikitokea huyo recruit akahamia mkoa kisha akaonwa na agents hao hao ila ni wa huo mkoa mwingine nao wakamuona si kuna uwezekano wakaanza kumfuatilia tena upya hivyo kukawa na kujirudia rudia kwa zoezi. Hapa imekaa vipi wakuu!!!


NENDA kajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura kwa majina mengine UTAPATA majibu.

Naoana una hamu ya dengue fever!
 
Sasa yale makeke kama ya kucheza na gadgets, dead drops, planting and clearing surveillance bugs, surveillance detection techniques na tailing a subject hizo ni mpaka uingie huko chuoni kwao au unafuliwa mtaani ambapo ndio kama field zao?

Mkuu hata wewe yawezekana upo kazini. Maana maswali yako yanachembe chembe ya kile unacho kiuliza zaidi ya wale wanao papasa na kujaribu kukupa majibu kulingana na mambo wanayo sikia vijiweni au kuona kwenye muvi za kijasusi.
 
Kwa wenzetu naweza sema watu wanazaliwa na chembe chembe za usiri,ujasusi!!!
But ni tofauti kidogo na Tanzania! Kwetu Othman Rashid akiwa ndugu yako unapata kazi even if huna weledi wa kuifanya hiyo kazi..
Kuna jamaa yupo pale mwanza bank flan,daily akilewa anajigamba yeye ni mtu wa system!
Mnakumbuka wale vijana wa usalama kwenye sakata la masogange? Hao ndo hawatufai kua nao hapa tanzania
 
Back
Top Bottom