Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,811
- 623
Wanawake wanavutiwa na wanaume warefu kwa sababu wanaamini wanakuwa na mashine kubwa. Hata hivyo kuna wanaume wafupi wana sub-woofer kama chupa ya pia...
<br />Sijui ila nimewahi sikia kitu kizuri<br />
Kitamu kuhusu wanaume wembamba warefu.
Wewe naona unazidi "Kutukandamiza" tu, lakini pouwa tutavaa raizoni!.ndio mtakapojibeba mwaka huu........
Hamna cha urefu wala ufupi, siku hizi mkwanja tu unabanjua unayemtak , kwishney...........
Hata ukiwa na Cash, kama we mfupi utamegewa tu!Uwezo wa kupiga game + Cash, vingine kwa maisha ya sasa ni ziada zisizo na tija!!!
<br />Wewe naona unazidi "Kutukandamiza" tu, lakini pouwa tutavaa raizoni!.
Tall men seem sexier to women and more likely to father their children, in turn tall men find smaller women more attractive, the taller men are, the more likely they are to have found a mate and reproduced and the same goes for women who are below average height , 1.62cm (5'3").
Attraction based on height difference means the two sexes wont evolve to be the same stature.
Mhhh!!! Si mchezoI like them tall. Hata akikukumbatia unajickia comfortable kwa kweli. Wafupi wanakuwaga na kainferiority complex fulani hv.
It is true but most of tall men are atractive by default.Beauty is subjective it depends upon the beholder!
Asante kwa kunimwagia sifa,mrs wangu ata.......Wanaume warefu wasio na vitambi mambo yao yanajieleza bila kupigiwa mziki wa matangazo. Kama wana fanya mazoezi ndio kabisaaaa
imekaa vizuri nini?...kwamba tall men..........hamna kitu hapo,...mimi ni mfupi sana lakn nakua na wapenzi wazuri,na hawajawahi kuniambia hayo mambo ya kutaka urefu sijui,..........hizo ni propaganda za majitu marefu banaimekaa vizuri......
<br />Sie wafupi kama funguo za starlet tunapigwa vikumbo tu.