Jamaa kaileta topic akidhani kila mtu anafuatilia technological changes au kila mtu ni Engineer wa kuweza kuelewa maana ya UFO or DCHS.
Ili uweze kumuelewa mtoa mada inabidi uwe current sana na issue za technology, visit NASA website and other Science journals. Yani uwe mtu unayependa kufuatilia mabadiliko ya technojia katika Dunia hii kila mara.
Bango lako ni la kitaalamu mno! Hujaweza kueleza nini ni nini wala maana ya hii ni nini. Kwa mfano: DHCS kirefu chake ni nini? Kwa sababu nilizoeleza, mimi sijaambulia kitu kwenye bango lako mheshimiwa Engineer!Ndugu zangu Watanzania
Dunia sasa inapitia kwenye mzunguko wa tatu.. Lazima watu makini tuweze kujipanga kuokoa jamii zetu kutokana na mabadiliko ambayo hayaepukiki.
Sipendi kuongelea wimbi la ongezeko la matukio ya Uhalifu hasa UFO's na mengineyo lakini tu sekta ya makuzi ya sayansi ni Swali la kujiuliza sana kwenye nchi zetu hizi ambazo tunafuata mikia kwenye nyanja NYINGI.
Niseme wazi pasipo baraka za Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa, Mataifa yenye nguvu sasa yamesharusha DHCS. Ikumbukwe Uvumbuzi wa Satellite uliifanya dunia kupata chombo cha kubebea antena za mawasiliano, lakini DHCS hazibebi bali zenyewe hutumiwa kutenda kazi zikiwa angani kwa msimamo wa nguvukani(gravitation) na space-vacuum (VCI rotation). ni camera zenye lensi inayotumia kimiminika haijawahi kufundishwa hata vyuo vikuu. Kamera hizi zina uwezo wa kuondoa kabisa matatizo ya box-flm au PIXCEL, na kuonyesha kitu kwa asili yake. mbali na hapo matumizi ya kweli kwamba hewa ni kimiminika (LIQUID), kina mawimbi yenye nafazi pana zaidi ya kusafirisha sauti. inasadikika kwamba sauti zote tunazoongea huwa hazipotei, sauti husafiri kutokana na masafa ya hali ya hewa. kamera hizi zina uwezo wa kukusanya sauti hizi, ikazitafsiri na kuchambua njema na mbaya kutokana na maelekezo zilizo pewa, na kisha kuzifuatilia sauti hizo au mawasiliano hayo popote na vyovyote ndani ya sekunde chache zaidi.
Bidii za mataifa ya mashariki ya kati na Korea kaskazini ya kupinga matumizi ya simu za kisasa na intaneti hayasaidii hata kidogo kuweka supreme security za ndani na nje ya nchi zao. DHSC hupenya popote na vyovyote.. wasiwasi wangu ni kwamba ikifika mahali wakazibebesha silaha hasa UFO basi kuna hatari ya kumdhuru mtu yeyote na popote watakavyo and i am sure wako mlangoni au wameshaingia kwenye zoezi hili.
ndugu zangu Watanzania.
Tunashibishwa siasa za kishenzi, siasa za kutukanana, siasa za kukebehiana na kupigwa na upofu wa wa kile kinachoendelea duniani. Tunagombania taifa ambalo tayari limeshatekwa siku nyingi sana. ni wazi hatuna mabavu ya Kupambana na Mataifa haya yenye Nguvu za kiuchumi.
lakini Tunacho ambacho hawana, tunaweza kujenga taifa lenye AMANI, taifa tulivu na lenye upendo. Tunaweza kuwashinda kwa Nguvu ya AMANI. lazima kuchagua mfumo wa MAISHA YA KUJITOFAUTIOSHA na mataifa haya, mtindo tulio nao unatupeleka kutenda kama wao walivyotenda miongo mingi iliyopita NA KUSHINDWA. lazima tubadilike
Bye Nelson
CCA
''Shazoea habari za siasa na udakuMkuu you got nice idea lakini ulivyo I present sijaelewa!!
Ndugu zangu Watanzania
Dunia sasa inapitia kwenye mzunguko wa tatu.. Lazima watu makini tuweze kujipanga kuokoa jamii zetu kutokana na mabadiliko ambayo hayaepukiki.
Sipendi kuongelea wimbi la ongezeko la matukio ya Uhalifu hasa UFO's na mengineyo lakini tu sekta ya makuzi ya sayansi ni Swali la kujiuliza sana kwenye nchi zetu hizi ambazo tunafuata mikia kwenye nyanja NYINGI.
Niseme wazi pasipo baraka za Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa, Mataifa yenye nguvu sasa yamesharusha DHCS. Ikumbukwe Uvumbuzi wa Satellite uliifanya dunia kupata chombo cha kubebea antena za mawasiliano, lakini DHCS hazibebi bali zenyewe hutumiwa kutenda kazi zikiwa angani kwa msimamo wa nguvukani(gravitation) na space-vacuum (VCI rotation). ni camera zenye lensi inayotumia kimiminika haijawahi kufundishwa hata vyuo vikuu. Kamera hizi zina uwezo wa kuondoa kabisa matatizo ya box-flm au PIXCEL, na kuonyesha kitu kwa asili yake. mbali na hapo matumizi ya kweli kwamba hewa ni kimiminika (LIQUID), kina mawimbi yenye nafazi pana zaidi ya kusafirisha sauti. inasadikika kwamba sauti zote tunazoongea huwa hazipotei, sauti husafiri kutokana na masafa ya hali ya hewa. kamera hizi zina uwezo wa kukusanya sauti hizi, ikazitafsiri na kuchambua njema na mbaya kutokana na maelekezo zilizo pewa, na kisha kuzifuatilia sauti hizo au mawasiliano hayo popote na vyovyote ndani ya sekunde chache zaidi.
Bidii za mataifa ya mashariki ya kati na Korea kaskazini ya kupinga matumizi ya simu za kisasa na intaneti hayasaidii hata kidogo kuweka supreme security za ndani na nje ya nchi zao. DHSC hupenya popote na vyovyote.. wasiwasi wangu ni kwamba ikifika mahali wakazibebesha silaha hasa UFO basi kuna hatari ya kumdhuru mtu yeyote na popote watakavyo and i am sure wako mlangoni au wameshaingia kwenye zoezi hili.
ndugu zangu Watanzania.
Tunashibishwa siasa za kishenzi, siasa za kutukanana, siasa za kukebehiana na kupigwa na upofu wa wa kile kinachoendelea duniani. Tunagombania taifa ambalo tayari limeshatekwa siku nyingi sana. ni wazi hatuna mabavu ya Kupambana na Mataifa haya yenye Nguvu za kiuchumi.
lakini Tunacho ambacho hawana, tunaweza kujenga taifa lenye AMANI, taifa tulivu na lenye upendo. Tunaweza kuwashinda kwa Nguvu ya AMANI. lazima kuchagua mfumo wa MAISHA YA KUJITOFAUTIOSHA na mataifa haya, mtindo tulio nao unatupeleka kutenda kama wao walivyotenda miongo mingi iliyopita NA KUSHINDWA. lazima tubadilike
Bye Nelson
CCA
Ndugu bwana Injinia! Kwani ninyi ''mainjinia'' wa kiafrika ni nani aliyewazuia kufanya wanavyofanya mataifa makubwa? Si mmesoma mpaka hamtaki kuandika majina yenu bila kutanguliza neno ''injinia'' mbele ya jina? Kinachowashinda ni nini mnabadi kulalama lalama? Au mnafikiri usomi ni kutanguliza neno ''injinia'' kwenye majina yenu!!!
hivi unaelewa maana ya ufo...?
Siasa za tanzania zinabana engineers kufanya maajabu.Ndugu bwana Injinia! Kwani ninyi ''mainjinia'' wa kiafrika ni nani aliyewazuia kufanya wanavyofanya mataifa makubwa? Si mmesoma mpaka hamtaki kuandika majina yenu bila kutanguliza neno ''injinia'' mbele ya jina? Kinachowashinda ni nini mnabadi kulalama lalama? Au mnafikiri usomi ni kutanguliza neno ''injinia'' kwenye majina yenu!!!
Mkuu kwanza utujuze tena kwa uzuri hii dhcs ni nini halafu utuambie ufo unayozungumzia ni hii hii tunayoijua au? Mi najua ufo ni kifupi cha unidentified flying objects, sijui kama ni silaa au kitu kama hicho. Tupe somo
umeongea point mkuu lakini sijakuelewa