Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Biblia ktk Agano la Kale inawatambua watoto wa Kiume kama wana wa Mungu, kama ilivyokuwa Hema Agano la Kale na kuitwa Hekalu Agano jipya. Malaika si wanadamu Mkuu.

Ni sahihi malaika si binadamu ni malaika au ulilenga kusema nini? Hapa nilikuwa najibu hoja ya mwenzetu aliyesema malaika hawana jinsia
 

Hahahahahaaaa! Hata hivyo bado binadamu ni bora kuliko jini! Majini na uwezo wote huo, unakuta majini zaidi ya watano wanatumwa na kufuata masharti ya binadamu mmoja tu!!!
Binadamu ni controler!
 
Hahahahahaaaa! Hata hivyo bado binadamu ni bora kuliko jini! Majini na uwezo wote huo, unakuta majini zaidi ya watano wanatumwa na kufuata masharti ya binadamu mmoja tu!!!
Binadamu ni controler!

Bado hujaonesha kwa nini binadamu ni bora kuliko viumbe wengine ubora wa mwanadamu unaousema ni upi? Mimi nimekuonesha kwa nini namuona binadamu si kiumbe bora kushinda viumbe wengine kama utashi na akili na ufahamu juu ya mambo mbalimbali basi majini pia wanavyo sasa ubora wetu kuwapita wengine ni nini?
 
kama hakuna eliens then it would be a waste of having created this universe, think of the presence of all the stars and planets yaani mnataka kusema ni kwaajili ya binadamu tu!! NO WAY!!

Eliens will reveal themselves when we will all fight for the same cause mfano maji yakiisha kwenye huu ulimwengu ..
 
Wazungu wanahaha kwenda kwenye space kuchunguza watakapofanikiwa kupata kwenye sayari mojawapo hali ambayo binadamu anaweza kuishi watakimbilia huko ili mwisho wa dunia ukifika wao wapone
 

Binadamu ni bora kuliko viumbe vyote kutokana na mambo mengi tu, wacha nioredheshe machache unaweza ukaelewa:
1 Nguvu za uvumbuzi!
2 Ngugu za kumiliki viumbe wengine!
3 Ubora kiumbo!
4 .... n.k nk!
...
Just jiulize, majini na binadamu wameumbwa ili wamuabudu Mungu! Kwanini hakuna Mtume/Nabii ambaye ni Jini?
 

Viumbe visivyonekana si viumbe hai tena
 

Mkuu nguvu za uvumbuzi kwangu mimi naona hapa unazungumzia akili ubora kiumbo yani binadamu wana maumbo yaliyo bora? Kumshinda nani? Hiyo ya mwisho mimi na wewe hatuna uhakika kuwa hawapo maana elimu na habari za majini bado ni siri miungoni mwa binadamu wengi
 
sayansi na mungu tenganisheni;
ya kaisari mpeni kaisari.
 

Mungu aliviangamiza hvyo viumbe lkn hakuangamiza roho zao,aliziacha makusudi ili binadamu aje kujua uovu ulofanywa nao,na roho zao ndo zinazoish ktk hao wanaitwa secret societies km freemasons na illuminati,,nao hao wapo kwa ajil ya kutekeleza mpango wa shetani kuchkua utawala
 
mwanadamu ebu jiulize swali rahisi tu,achana na bacteria au majini au mashetani au mapepo wanayosema walimwengu vipo isipokuwa havionekani kwa macho. je, kwani hujakusikia watu wanasema kuwa wewe binafsi hunekani ila wanasikia tu kwamba upo. mungu alikupa mwanadamu kila kitu mikononi mwako adui wa mwisho kwako ni kifo tu.

napita tu kuwaonea huruma jinsi mnavyotafuta kitu wakati kipo mkononi mwako
 


hapa ndipo napokubaliana na mh: Kiranga kuwa hakuna mungu.

Iweje mungu mkuu na mwenye nguvu zote ashindwe kuwaangamiza wanefili?

Hakika mungu huyu ni wa kusadikika.
 
mkuu kama nimekuelewa unataka kugusia UFOs na Alliens, mkuu hizi ni Hadithi, hazina uhalisia wowote, nimefuatilia sana hizi ishu, ni kama aina fulani za Conspiracy theory tu.
Ukweli ni kuwa hakuna viumbe wengine zaidi ya binadamu. Hizo hadithi za alliens ni technology mnipulation. hawa wazungu wana-technolojia kubwa sana lakini ipo katika usiri mkubwa sana.fuatilia story za area 51 ambalo lilidaiwa ndio eneo maarufu kwa UFOs kisha eneo hili limekuja kufahamika kipindi cha cold war mpaka sasa ni eneo la kuunda vyombo vya kijasusi vya marekani, spyplanes, ufos n.k.

kimsingi ukweli unaweza kupatikana kwenye vitabu vya dini zaidi na sio kisayansi. kwani vinavyohusishwa kupitia vitabu vya dini, vimeegemea zaidi uwepo wa viumbe kwenye dimension nyingine(kama angels,satan n.k.) na sio hii ya ki-metafiziki.
 
hapa ndipo napokubaliana na mh: Kiranga kuwa hakuna mungu.

Iweje mungu mkuu na mwenye nguvu zote ashindwe kuwaangamiza wanefili?

Hakika mungu huyu ni wa kusadikika.

Mh umeanza huo unaoutaka ni mjadala mwingine.mungu hashindwi na jambo ghalika ilikuwa ya wanadamu na viumbe hai vilivyokuwapo si ya wanefili ila kwa vl wanefili walikuwapo hawakuweza kuishi ktk mazingira yale ndipo walipoenda kuishi mbali.
 
ni wanaoamini mungu tu ndo wanabisha kua hakuna uhai ktk sayari nyingine kwanza out of millions of planet in milky way lazima kutakua na sayari inaweza kussuport life!!! na in the past evidence nyingi tu zilikua zinaonyesha kua dunia imewahi kuwa visited na creature kutoka other places hata bible ina endless mifano ya ivo kwa mfano nabii ezekiel ameelezea kwa uwezo wake wa ki primitive yeye kwa kutokujua akawaita ni miungu lakini ukiyachunguza maelezo yao alikua anamaanisha ni form ya helcopter na ameelezea jinsi walivyomchukua wakampa ride then wakamrudisha!!! eliyah alichukuliwa na chombo wakadai kaenda mbinguni lakini ushahidi vyombo vyote vilikua vinatumia technolojia hii ya propulsion kila aliyeenda heaven alikua anatumia chombo kinatoa moto kwa nyuma kwa waliosoma propulsion watagundua kilikua ni chombo kinatumia propulsion kama rocket tu!!!

ktk injili ya sumerians ktk bible ya nyuma kabla haijawa edited au ktk vitabu vyao ambavyo vingi havijaandikwa ktk bible utaona wanaelezea jinsi watu walivyokuja from other planet etc

hawa watu ktk biblia walikua wanawaita "sons of god" walikua ni wa advance race kuliko wa kwetu civilization ilianza baada ya hawa watu kuanza kujamiina na wanadunia na kutoa watoto intelligent.
 
Habarini wana jamvi...
katika kipind cha miaka 30 iliyopita hadi sasa aliens na UFOs(Unidentified Flying Objects) footage zimekuwa zikiongezeka sana. maelfu ya watu wanaendelea kutuma hizi videos katika internet huku wengi wa watu wanabaki hawana majibu sahihi... kwamba kweli kuna viumbe vengine ambao sio wa dunia hii wapo tokea miaka 15000 ilyopita?

katika kupitapita kwangu internet nimekutana na watu kibao ambao wanatoa theories tofauti tofauti kuhusu maisha aliens hapa duniani. napenda kuleta hii mada ili tupate ku discuss... machache niliyokutana nayo ni haya kuhusu kama kuna uwezekano wa kuwepo aliens wapo duniani tokea zaman

kuna facts na theories ambazo zinaonyesha kwamba aliens wapo, nazo ni:
1. ujenzi wa pyramids za giza, misri:

pyramids za giza misri ni moja ya maajabu saba ya dunia... kuwa ni moja ya maajabu ya dunia ni ujenzi wake nje na ndani... hizi pyramids uwepo wake ni tokea 2589 BC ambayo ni makadilio.... na inasemekana zimejengwa kuanzia juu. Pia archaeologists wamekuwa wanajiuliza science gani ilitumika ku lift mawe yaliyochongwa yenye uzito unaokadiliwa kuwa tani 2.5 kwa kila jiwe.... pia sehemu hizi pyramid zlipojengwa ni center of the earth (katikati mwa dunia).. na ndani mwa hizi pyramids kuna chambers ambazo moja ya chemba iliyogundulika kama miaka 22 iliyopita ilisimekana kuna mji mkubwa ndani na baadhi ya conspirators wanasema kuwa kuna garage ya UFOs huko chini mwa hizi pyramids..
Hivyo kuna uwezekano kuwa waliojenga ni viumbe wenye uwezo mkubwa kiakili ambao wanasemekana kuwa aliens.

2. michoro ya kale kwenye mapango:
kuna michoro ya kale mingi katika mapango ambayo yanaonyesha uwepo wa aliens tokea zamani...

hii picha inaonekana kama mwanadamu yupo kwenye kifaa mfano wa ndege (inavosemekana) kwa ndani

hizi zinapatikana australia

hizi ziko misri.
itaendelea tena....

Inaendelea:
3. Kabila la Dogon lililopo nchini Mali (afrika magharibi):
hili ni kabila ambalo linasemekana ndo linaweza likawa na ushahidi tosha kuhusu aliens na UFOs.... Kutokana na oral traditional wanasema kuwa miaka mingi iliyopita nyuma kulishuka chombo kutoka angani na kutua hapo katika eneo lao kando na maji na walitoka viumbe mfano wa samaki ambao wanajukikana kwa jina la "NOMMO" (ambao hilo walikuja kuwaabudu mpaka sasa) na kuingia katika maji.... wakaendelea kusema baada ya tukio hilo wale viumbe walitoka katika maji na kuwaafata watu waishio karibu na wao walipofikia na kuwaambia kuwa wao wametokea nje ya dunia hii na wametokea katika nyota ambayo kwa sasa inajulikana kama "sirius B" ambayo inazungua nyota kubwa inayoitwa kwa sasa "sirius A". walifundishwa mambo mengi yakiwemo kwamba kuna sayari ya jupiter na saturn tena wakiambia saturn ilikuwa ina ringi imeizunguka sayari hiyo.. haya yote yalikuja kugunduliwa na wafaransa Marcel Griaule na Germaine Dieterlen ambao walifanya kazi na dogons tokea mwaka 1931... Hivyo kipndi hawa wafaransa wanaambia kuhusu NOMMO na Nyota hizo kulikuwa hakuna telescope ambao ingeweza kuziona hizo nyota mpaka miaka ya 1970 ndo waliweza kuziona hizo nyota... hivyo kuna uwezekano wa hiyo hadithi ya kabla la Dogons kuwa kweli maana walikuwa wanasheherekea kila baada ya miaka 60 pale Sirius B inapomaliza mzunguko wake kwa Sirius A... lakini utafiti ukaonyesha kuwa Sirius B humaliza Mzunguko wake kwa miaka 50...
DOGON TRIBE
MICHORO IKIONYESHA MIFANO YA NOMMO
HUU UKIONYESHA SIRIUS A AND B

 

Attachments

  • a.jpg
    4.4 KB · Views: 3,363
  • images (1).jpg
    4.2 KB · Views: 3,369
  • download.jpg
    8.7 KB · Views: 4,668
  • py.jpg
    5.8 KB · Views: 3,366
  • images (2).jpg
    18.1 KB · Views: 3,312
  • download (2).jpg
    12.6 KB · Views: 3,291
  • download (1).jpg
    14 KB · Views: 4,618
  • images (4).jpg
    9.7 KB · Views: 3,281
  • images (5).jpg
    4.9 KB · Views: 4,591
Habarini wana jamvi…

Nimeileta mada hii ili tupate kujadili mambo ambayo watu wengi yanawachanganya UWEPO WA ALIENS KATIKA ULIMWENGU HUU TUNAOISHI.

Katika kuifatilia hii issue internet nimekutana na watu kibao wakionyesha footage za aliens na UFOs (Unidentified Flying Objects) kwamba wako duniani… lakini je kweli wapo?

Mimi binafsi katika kufuatilia nimekutana na mambo makuu mawili ambayo yanazungumziwa sana na watu…

1. HISTORIA INAYO DHIHIRISHA KWAMBA ALIENS WALIKUWEPO TANGU ZAMANI ZA KALE:

Kuna theories nyingi ambazo zinaonyesha maisha ya aliens yalikuwepo duniani kwa kitambo sana….

Nazo ni:
a. Ujenzi wa pyramids za Giza, Egypt:



Hizi pyramids za Giza ajabu la kwanza katika maajabu saba ya Dunia. Inasemekana yapo tokea miaka 2589 BC. Kuwa moja ya maajabu ya dunia ni ujenzi wake… inasemekana ujenzi wake umeanzia juu kwenda chini, pia kila jiwe lililowekwa hapo lina uzito wa takribani tani 2.5 hivyo yanabak maswali kwamba science hipi ilitumika kuyainua hayo mawe kujenga hizo pyramids…

Pia katika historia yake hakuna records zinazoonyesha mwanadamu ndo alikuwa mjenzi… hivyo mpaka sasa haijulikani ni nani aliyejenga hizi pyramids… Pia hizi pyramids zilipojengwa ndio katikati mwa dunia (Centre of the earth)

Conspirators wanasema kutokana na science iliyotumikia kuna uwezekano wa viumbe wenye uwezo mkubwa kiakili kufanya hivi nao wanatoka nje ya sayari yetu ya Dunia. Pia Ndani mwa moja ya hizi pyramids ambayo inaitwa the great pyramid of Giza (Khufu) kuna chamber ya siri iligundulika miaka ya tisini na mnamo 2002 ma archeologists walisema kunauwezekano ndani mwa hiyo chamber kuna mji…

Hivyo mm binafsi bado nafuatilia undani mwa ujenz wa hizi pyramids hasa katika kitabu kinachoitwa Flower of life.

Itaendelea…..
 
Asante mkuu.
Ila mada kama hii ipo humu na imeelezewa vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…