Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Kubwa mno mkuu, hizi movie zinatumia kuprogramme minds za wanadamu sana bila hata ya wao kujua, iwe in positive way or negative way, yote yanafanyika kwenye movie wkt mwingine movie inatumika km early warning system pia.

Tafuta movie jingine inaitwa Star Strek - Into the Darkness, utaelewa pia vzr anacho kisema classes za beings.

Pia atafute movie inaitwa comet impact au deep impact,halafu aingie google asome vitu vinaitwa mass extinction events,apitie cretaceous-tertiary(K-T) extinction,acheki chicxulub crater,aende kwenye evidence of impact,aingie kwenye effect of impact,halafu hapo kwenye effect asome taratibu kwa umakini mkubwa,mlolongo wa utokeaji na aftermath za hiyo event,halafu kama anapenda zaidi aende akasome biblia,ufunuo sura ya 8,aoanishe hizo effects na mlolongo wa event inayozungumzwa ufunuo sura ya 8.Akipenda lakini,otherwise haya ya biblia tuachie tunaopenda kuunganisha dots za kila angle,movies,sayansi,historia,dini,tamaduni,just everything.Atagundua what's going on in the Hollywood.
 
Mkuu mgalanjuka umegusia jambo fulani humu ambalo linanilazimisha kugusia mambo ya ule uzi mwingine humu.Unasema hawa alliens wanadai kuwa hizi sayari zetu hufikwa na extinction events na hivyo wanahama toka sayari moja kwenda nyingine.Ukitazama historia ya dunia yetu scientifically,especially geologic,utaona kuwa imepitia hizo mass extinction events,na kila baada ya event,kulitokea mazingira mapya na viumbe wapya wakamiliki dunia,na wengi wa wale wa zamani wakaangamia na hizo events.
Ukiunga dot ya claims za hao viumbe na scientific facts za historia ya dunia since Hadean eon,does it mean there is an extinction event ahead which is the end of this human civilization?
Add this as ice on cake,cultural and religious tales zinazungumzia kipindi fulani in future ambacho socially,jamii zetu zitapambana kudumisha ustaarabu mmoja kwa wote,resulting in internal wars and worldwide conflicts,majanga ya asili yatatokea na hayo yote kwa pamoja yatakuwa ni dalili za mwisho wa dunia.Does this mwisho wa dunia mean the end of this civilization and the start of another one(another era )?haya niachie mwenyewe mkuu,we jibu hayo ya kisayansi hapo juu.
 
Last edited by a moderator:
Hizo ni ndoto za makafiri tuu.kitu kama hakija andikwa ndani ya holy Qoraan ni uwongo ulio kithiri mwenyezi mungu kazungumza ndani ya surat'l Bakara kuhusu viumbe vyote alivyoviumba sasa hili suala la Ufo sijui limetokea wapi mimi naamini ni hawa makafiri wasiokuwa na dini ndio wanaokuja na hizi concepts za aina hii.Hakuna viumbe vingine ila wanadamu,majini na pia wanyama na malaika hapa duniani story za kutisha watu punguzeni.Nimetumia neno makafir sina maana waumini wengine dhidi ya waislam bali ni wale mapagani wasio amini kitu ndio wanapenda kuja na story za namna hii.M/Mpamba.End.
 
Hizo ni ndoto za makafiri tuu.kitu kama hakija andikwa ndani ya holy Qoraan ni uwongo ulio kithiri mwenyezi mungu kazungumza ndani ya surat'l Bakara kuhusu viumbe vyote alivyoviumba sasa hili suala la Ufo sijui limetokea wapi mimi naamini ni hawa makafiri wasiokuwa na dini ndio wanaokuja na hizi concepts za aina hii.Hakuna viumbe vingine ila wanadamu,majini na pia wanyama na malaika hapa duniani story za kutisha watu punguzeni.Nimetumia neno makafir sina maana waumini wengine dhidi ya waislam bali ni wale mapagani wasio amini kitu ndio wanapenda kuja na story za namna hii.M/Mpamba.End.

Mkuu mimi nafikiri masuala ya dini yasijadiliwe hapa.Tujadili fact zilizo kwenye uzi ili tupate kuelimika zaidi na kukuza uelewa wa mambo haya. Samahani kama nitakuwa nimekukwaza.
 
Okay nitaandika kwa Kiingereza maana kidogo nita-type haraka zaidi. CC. Bulldog , little hulk , KikulachoChako

Nilisema,

Viumbe katika anga za mbali vipo lakini ni zaidi ya uhai tunaojua sisi. Kwa sisi kutokujua sana kuhusu uwepo wa uhai wa ziada ni ahueni kwetu. Kuna siri nyingi zilizofichwa kuhusu uwepo wa viumbe vyenye uelewa mkubwa na vilivyo-advance zaidi yetu kwa sababu za usalama wa dunia.(Law and order). Mpaka sasa asilimia kubwa ya utulivu ulipo duniani umechangiwa na kutokujua hatma yetu kama wanadamu. Kila kitu kikiwa wazi tutakata tamaa kwa kudhani tuliyokuwa tunayajua siyo na matarajio na matumaini (hope) yakipotea order itapotea pia hivyo kufupisha uwepo wetu kama wanadamu. Wachache wenye uelewa wa juu wamepata kuona yale tusiyopenda wengine kwa ujumla wayajue. Nimeelezea kwa urahisi tu lakini kama kuna watu wako interested nitafafanua kwa undani zaidi.

Basi tuendelee..

After finishing my studies I got a job in a small company in Baden-Württemberg in south-western Germany, I had to move there from the country I was living and studying. It is a small town but the job was comfortable and I was having some free time to explore other places in Germany. One time I travelled to Geneva Switzerland from Germany just to see this beautiful city I was always wanted to. And my fascination and knowledge about what called intelligent being from far distances started.

When I was in the train I was sitting next to a Korean Adult man who was wearing a very exclusive suit (they way I saw it). He was with his young boy who was about 13 or 14 years. The boy was busy playing game and his father was reading a book. He asked me “where are you from?” I said Tanzania, and we were having little talk about my country and other things in Africa generally, then I noticed he was quite fluent in English. I tried to give him a complement about that since I knew he was Korean, but he said yes we like languages and me and him are multilingual meaning they speak several more, he said he speak 6 languages fluently and his boy speak seven now.

Well, so later on when we run out of things to talk he offered me one of his books which were about universe expansion and galaxies and he looked quite cautious when did that. He was looking very serious at me on eyes so I pretended like am interested in that book. After going through for a while of course there was lot of things I didn’t grasp but then after like 15 minutes I couldn't pretend anymore but then this man told me something after seeing that his boy was sleeping.

A tip

We are not alone in this universe, there are many "others" and we are tiny part of the iceberg. He said I should be interested in this because there are many exiting knowledge which can change the way I perceive things. He said he has worked on very special program involving four countries on detailing extra-terrestrial existence using highly scientific technology including Telescope array, Interstellar radar signals, Fermi paradox, Gamma-ray refining, Techno signatures, Human-ET contact, Optical analysis etc.

Of course when he was telling I didn’t understand much especially on those technical issues but I came to understand on the way after stepping in. Their programme was state funded and it is top secret thus he did not want to disclosure what they are up to instead, he just wanted to tell me a tip of what I should know and seek that knowledge. So that he wouldn't be the main source.

He said he will talk to me in simple language and as a tale so that it won’t be giving out their valued work and going against the protocol. Up to that moment I was very much interested and I couldn’t wait to hear more. He said there’s various extra-terrestrials beings and due to their available research data they have classified them into 5 groups. These beings are different in terms of intellect and advancement, the more they advance the more they can travel further around the universe and their transmitted signals are dissimilar.

Classification/grouping

So class 1 beings, are primitive existence, they live in many planets which are around distance stars and do not have complex intelligence although they live in communities and use tools. These a bit not advance like humans although they have many strange characters that proves to be stronger than us e.g. they breathe different air and live longer than humans. They are not vulnerable to other human conditions and they will eventually surpass humanity due to their longevity. In this class beings like "microbes-like" , "vegetation like" "simple organism -like" "strange bubbles with conscious" and "living liquid like blob" are grouped in this first class and are abundant in planets, moons, asteroids and other distance particles in deep space.

Second group or Class 2, is human-animal like beings. These including us are very very few around the universe due to complex conditions which allow our existence. There could be 4 types of close-human like existence in one block of universe (for example the observable universe that we could see with available tech today might have only 4 types of close human-animal like extra-terrestrial. This is due to the theory that other regions of the universe are not quite favourable for life as we know it, and that the laws of physics we measure in our part of the Universe are merely ‘local by-laws', in which case it is no particular surprise to find life around this block. Between group 1 and 2 there is 3 million year gap advance in intelligence and evolvement. Thus Class 2 is mainly distinguished by the way we depend on our local star for survival. If the sun ceases to exist today humanity will totally be exterminated as well that is Class 2. Creatures of the universe that are still depending on their local star and their source of energy is to exploit their own planet.

The next group of extra-terrestrials beings (Class3) is described as very advanced compared to us (Class two). These beings are having incredible technology and they are far wise stronger and intelligent than us. They have lived and evolved in the universe longer than us and they are considering us quite primitive, just like you would have considered monkeys in comparison to human beings.

They have advanced in technology to the extent of eliminating natural threats to their existence such as diseases, and their bodily consumption to generate energy is just direct consumption of energy, not like us eating organic matter which should be processed in our guts. They travel with very sophisticated vehicles with incredible speed near the speed of light.

Where do they get this kind of energy to power these extraordinary machines and support their super advancement? The biggest reason of their classification from class one, and class two (us) is that they are exploiting stars within their local galaxy for their energy. Remember our group (class one) was defined as the beings exploiting our own planet for energy (fossil fuel) and we are on the very early stages of starting exploiting our local star for energy(solar power)?, well these beings are travelling within their galaxies to find suitable stars for their energy uses. Like travelling within milkyway or Andromeda looking for the suitable star. Once the star become exhausted they move on to another. They camp on near planet and set their very advanced machines and build cities there. Sometimes they might come into conflict if there are others who have established dwellings close. The scientists in this program believe we (humans/class 2) will become class 3 in 300 or 400 thousand years to come if our generation survive the extinct which always faces many class two and class one beings.

Class four are inter galactic beings. This means they have the technology to travel from one galaxy to another. Here you are talking about great distances of ages even if you would travel with speed of light. So these creatures which are thousand times advanced than class 3, they don’t travel themselves. Instead they build replicas which are robots-like with no decaying or ageing just machine with sophisticated material and more intelligent than any class 3 beings let alone us. So those robot-like are set in beams casting transporter and moved wherever they want. Like pointing a light on the dark object then its there, done. Once this robot-like machines land on a planet, within short time they will replicate themselves by using resources from the planet they are in to build an army of trillions of other robots. Then they will build machines as programmed and transmit the energy needed to their creators.

The last group set on their last category (class 5), is the highest in terms of everything, technology, power, intelligence and evolvement. So the main differences are the age of these being generation i.e. they have been in the universe for a very long time. They have managed to evolve and move to many other regions of the universe finding the better and better places suiting them. The stars are always running out of the gases which make them exist thus they explode and crush inward to become neutron star. This will happen to our sun as well in many years ahead and we better be ready. When this happens the beings existing around may be annihilated or made them to disappear if they can’t find the way out beforehand. The class 5 have been survived the explosions, and black holes for space ages due to their extra ordinary power and advancement.

The class 5 do not have permanent physical bodies but they can transform to energy or re-arrange their forms the way they want. They can resemble anything they want for their reasons but they most staying in some sort of energy like from. They can sense things we cannot, they can see where our technology has never seen and they can read mind. They no longer need planets for their dwellings since they can create artificial homes in any part of the universe suitable for them. They also do not exploit stars for energy they are using dark energy which is available abundantly in the universe. (about 73% of all energy)

Assumption on results when these civilization classes contact each other

Now let’s see the assumptions which have been drawn compared to evidence gained and claim of the sighting of Aliens or space intelligence. Class 1 are no threat to anybody they are on their own and do not even send any signal or try to do anything outside their atmosphere.

Class 2, are slowly starting thinking about their next step especially concerning the energy that they consume. Fossil fuels will run out and alternative energy will be necessary. After sometimes class 2 will realize the significance of energy from the star (solar) and sometimes in the future distant stars might be realized to have even better source of energy and suitable for life continuation in their near planets. Now this is challenging since will be advancing to class 3 (wondering beings).

Class 3 is threatening group because it struggling to discover the space and also keep on finding suitable environment and energy sources for them (prominent and suitable stars). They send lots of signals in space and if they could be close enough signals will be received or noticed by us(with right technology). Their space ships can be seen rarely in very fast speed and often confused with other space lights with no explanations. If come to contact with human it is like discovering weird primitive to them so there is kind of checking out if we are threat or we know anything important to them. We are so primitive and we are waste of time so they should move on with their mission. If we are threat or possess what they would need then that might be unfortunate to us.

Then, class 4 is most fearsome since they are not themselves who go around but those robot-like things. If they come to contact with us or near us we are terminated and if they come to contact with class 3 then it’s a war and class 3 avoids these machine creatures because they are very powerful and they eliminate anything on their way. If class 4 created-machine beings, comes to contact with other class 4 machine beings, which is rare because their creators avoid such wasteful collision, they would cause unimaginable war. A war so strong to destroy many space existing bodies and sometimes causing small black holes by triggering the explosion of stars near them. Remember these things duplicates themselves and uses the resources around to do so therefore it is a total disaster.

Class 5, are non-threat and they fear the uncontrolled of class 4 machine-being will destroy many good places for existing in the universe and maybe something bigger. They interfere sometimes in order to control for the better of the universe.

The universe is very enormous and all what we have manage to see (observable universe) with our cutting-edge technology including Hubble space telescope is very tiny part of what it actually is out there. At the present what has been seen and calculated as the size of the universe (46 billion light years radius) make our galaxy a very minor tiny thing which cannot even be seen when you look at that region of in the universe where we are. And this calculated radius of the observable universe is insignificant to the real size of the universe.

The sizes of these beings vary a lot some could be size of the ants and some could be the size of Eiffel tower or larger. Shapes and appearances are also widely different with some looking like organisms and some looking like nothing to compare. Some beings form colonies which act like single individual and some do not look alike but rather possess shapes and appearances which fit their tasks or purpose.



Hivi mkuu katika hizo class,nasisi tuta advance to the next class?,na je mtu akifa ndo anahamia kwenye class nyingine?.
 
Hizo ni ndoto za makafiri tuu.kitu kama hakija andikwa ndani ya holy Qoraan ni uwongo ulio kithiri mwenyezi mungu kazungumza ndani ya surat'l Bakara kuhusu viumbe vyote alivyoviumba sasa hili suala la Ufo sijui limetokea wapi mimi naamini ni hawa makafiri wasiokuwa na dini ndio wanaokuja na hizi concepts za aina hii.Hakuna viumbe vingine ila wanadamu,majini na pia wanyama na malaika hapa duniani story za kutisha watu punguzeni.Nimetumia neno makafir sina maana waumini wengine dhidi ya waislam bali ni wale mapagani wasio amini kitu ndio wanapenda kuja na story za namna hii.M/Mpamba.End.

mbona nyinyi mapoyoyo mnaamini ktk majini?.hudhani kuwa hata majini mnayo yaamini ni aina mojawapo ya aliens?.shughulisha ubongo wako acha upoyoyo.
 
Hata vyenyewe vinatushangaa ndio maana majin yanajaribu kuishi dunian ofcoz yes mawazo yanatoka hewan
 
Hizo ni ndoto za makafiri tuu.kitu kama hakija andikwa ndani ya holy Qoraan ni uwongo ulio kithiri mwenyezi mungu kazungumza ndani ya surat'l Bakara kuhusu viumbe vyote alivyoviumba sasa hili suala la Ufo sijui limetokea wapi mimi naamini ni hawa makafiri wasiokuwa na dini ndio wanaokuja na hizi concepts za aina hii.Hakuna viumbe vingine ila wanadamu,majini na pia wanyama na malaika hapa duniani story za kutisha watu punguzeni.Nimetumia neno makafir sina maana waumini wengine dhidi ya waislam bali ni wale mapagani wasio amini kitu ndio wanapenda kuja na story za namna hii.M/Mpamba.End.
Sawa unavyosema but Mungu katuandikia yale yanayo tuhusu tu. Jaribu kufikiria kwanini haijaandikwa habari za galaxy na uumbaji viumbe vya kufikirika. Fikiri nje ya Qoraan.. utaelewa yanayo zungumzwa hapa.
 
The last group set on their last category (class 5), is the highest in terms of everything, technology, power, intelligence and evolvement. So the main differences are the age of these being generation i.e. they have been in the universe for a very long time. They have managed to evolve and move to many other regions of the universe finding the better and better places suiting them. The stars are always running out of the gases which make them exist thus they explode and crush inward to become neutron star. This will happen to our sun as well in many years ahead and we better be ready. When this happens the beings existing around may be annihilated or made them to disappear if they can’t find the way out beforehand. The class 5 have been survived the explosions, and black holes for space ages due to their extra ordinary power and advancement.

The class 5 do not have permanent physical bodies but they can transform to energy or re-arrange their forms the way they want. They can resemble anything they want for their reasons but they most staying in some sort of energy like from. They can sense things we cannot, they can see where our technology has never seen and they can read mind. They no longer need planets for their dwellings since they can create artificial homes in any part of the universe suitable for them. They also do not exploit stars for energy they are using dark energy which is available abundantly in the universe. (about 73% of all energy)

Now let’s see the assumptions which have been drawn compared to evidence gained and claim of the sighting of Aliens or space intelligence. Class 1 are no threat to anybody they are on their own and do not even send any signal or try to do anything outside their atmosphere.

Class 2, are slowly starting thinking about their next step especially concerning the energy that they consume. Fossil fuels will run out and alternative energy will be necessary. After sometimes class 2 will realize the significance of energy from the star (solar) and sometimes in the future distant stars might be realized to have even better source of energy and suitable for life continuation in their near planets. Now this is challenging since will be advancing to class 3 (wondering beings).

Class 3 is threatening group because it struggling to discover the space and also keep on finding suitable environment and energy sources for them (prominent and suitable stars). They send lots of signals in space and if they could be close enough signals will be received or noticed by us(with right technology). Their space ships can be seen rarely in very fast speed and often confused with other space lights with no explanations. If come to contact with human it is like discovering weird primitive to them so there is kind of checking out if we are threat or we know anything important to them. We are so primitive and we are waste of time so they should move on with their mission. If we are threat or possess what they would need then that might be unfortunate to us.

Then, class 4 is most fearsome since they are not themselves who go around but those robot-like things. If they come to contact with us or near us we are terminated and if they come to contact with class 3 then it’s a war and class 3 avoids these machine creatures because they are very powerful and they eliminate anything on their way. If class 4 created-machine beings, comes to contact with other class 4 machine beings, which is rare because their creators avoid such wasteful collision, they would cause unimaginable war. A war so strong to destroy many space existing bodies and sometimes causing small black holes by triggering the explosion of stars near them. Remember these things duplicates themselves and uses the resources around to do so therefore it is a total disaster.

Class 5, are non-threat and they fear the uncontrolled of class 4 machine-being will destroy many good places for existing in the universe and maybe something bigger. They interfere sometimes in order to control for the better of the universe.

The universe is very enormous and all what we have manage to see (observable universe) with our cutting edge technology including Hubble space telescope is very tiny part of what it actually is out there. At the present what has been seen and calculated as the size of the universe (46 billion light years radius) make our galaxy a very minor tiny thing which cannot even be seen when you look at that region of in the universe where we are. And this calculated radius of the observable universe is insignificant to the real size of the universe.

The sizes of these beings vary a lot some could be size of the ants and some could be the size of Eiffel tower or larger. Shapes and appearances are also widely different with some looking like organisms and some looking like nothing to compare. Some beings form colonies which act like single individual and some do not look alike but rather possess shapes and appearances which fit their tasks.

Okay maelezo mengine yatakuja kwenye maswali nitakayojaribu kujibu. CC Kilimo kwanza katavi ziroseventytwo Ndibalema kadoda11 Chan jahbless franco15
Hii class 5 nazani ni majini mkuu au you're talking about angels I guess.
 
mbona nyinyi mapoyoyo mnaamini ktk majini?.hudhani kuwa hata majini mnayo yaamini ni aina mojawapo ya aliens?.shughulisha ubongo wako acha upoyoyo.
Achana naye, hâta maandiko anayoyafuata wala hayaelewi. Hawezi hâta kutafsiri, nyakati na utamaduni ambapo maandiko hayo yaliandikwa unategemea ataweza kutafsiri dunia ya kisayansi?
 
Monstgala
i'm in awe after i read about class 5 aliens.is it ok to ussume that they're the fallen angels (majini-sifahamu neno sahihi la majini kwa kizungu) as mentioned in the bible?.

if they do not a possess a parmenent physical body,that means class 5 aliens are the spirit that revolve around the univere,they can transform into air or human beings.that being said,a question comes,kati yetu sisi binadamu,kuna binadamu wenye chembe chembe za kigenetic toka kwa class 5 aliens?.

www.aliens-everything-you-want-to-know.com/DifferentTypesofAlienBeings.html
 
Last edited by a moderator:
kama class 5 ina knowledge yote ya universe what if hawa malaika na majini pengine na Mungu wote ni Aliens!!

what if kweli na ndo walihusika kutengeneza bible na quran kwa ajili ya kumantain order maana wanaweza kuwa ni class 5 wanatoka jamii tofauti:cool2::cool2:

what if ni namna ya watu wanaopinga uwepo wa Mungu wanazidi kutengeneza myth ili kuthibitisha kuwa hakuna Mungu ila nia alien ndo waauwezo!!!.

mkuu Monstgala nissaidie sehem

inaaminika kuna baadhi ya hao alien wamekamatwa na wapo huko marekan kuna maandiko wamesema zaid kuwa wanajaribu ku extract tech yao na kuunda vitu vyenye uwezo mkubwa zaid

pia wameeleza kuwa kwa kipindi chote cha maendeleo ya maisha ya mwanadam kwa sasa ndo wameanza kufanikiwa...mfano wanazungumzia kitu kama tv..kwa miaka ya nyuma tv ilikuwa lazima iwe kubwa kwa ulazima ili nyaya na vifaa vingine viweze kufungwa kwenye set ya tv....ila kwa sasa transistor moja inauwezo wa kuwa na njia zaid ya mia na kufanya kazi zaid na kuwa na ufanisi mkubwa!!!...hiyo tec hatukuwa nayo b4 na pengine ingechukua muda mrefu saana kwa uwezo wa mwadam kutengeza kitu kma icho ila ni tech ya alien ambayo tume adopt na kuiendeleza.kuna ukweli gan hapo??

source tv documentary inaitwa hangar 1
link
Watch Hangar 1 The UFO Files online (TV Show) - on PrimeWire | LetMeWatchThis | Formerly 1Channel
 
Last edited by a moderator:
Hizo ni ndoto za makafiri tuu.kitu kama hakija andikwa ndani ya holy Qoraan ni uwongo ulio kithiri mwenyezi mungu kazungumza ndani ya surat'l Bakara kuhusu viumbe vyote alivyoviumba sasa hili suala la Ufo sijui limetokea wapi mimi naamini ni hawa makafiri wasiokuwa na dini ndio wanaokuja na hizi concepts za aina hii.Hakuna viumbe vingine ila wanadamu,majini na pia wanyama na malaika hapa duniani story za kutisha watu punguzeni.Nimetumia neno makafir sina maana waumini wengine dhidi ya waislam bali ni wale mapagani wasio amini kitu ndio wanapenda kuja na story za namna hii.M/Mpamba.End.

Ushawahi kujiuliza kivipi waislamu, wakristo, wahindu, mabudha, na wenye dini nyinginezo huwa karibia wote wanafanya swala au maombi na hujibiwa maombi yao.....? je, kipi cha kuamini ni sahihi? ukiweza kujbu hili basi utaweza kupambanua zaidi kuhusu thread hii
 
Mimi siamini kama ni kweli wote hujibiwa maombi yao lakini atakayejibiwa kwanza ni yule anayemuamini m/mungu wa kweli huyo naweza kukubaliana nawewe kweli sala ,dua na maombi yake hujibiwa bila shaka yeyote ile na anayemuamini,lakini sio kiushirikina huo ni ukafiri uliokithiri na ni kujidanganya tuu.Nafikiri nimekujibu swali lako kwa uwezo wangu .M/Mpamba.
 
Hizo ni ndoto za makafiri tuu.kitu kama hakija andikwa ndani ya holy Qoraan ni uwongo ulio kithiri mwenyezi mungu kazungumza ndani ya surat'l Bakara kuhusu viumbe vyote alivyoviumba sasa hili suala la Ufo sijui limetokea wapi mimi naamini ni hawa makafiri wasiokuwa na dini ndio wanaokuja na hizi concepts za aina hii.Hakuna viumbe vingine ila wanadamu,majini na pia wanyama na malaika hapa duniani story za kutisha watu punguzeni.Nimetumia neno makafir sina maana waumini wengine dhidi ya waislam bali ni wale mapagani wasio amini kitu ndio wanapenda kuja na story za namna hii.M/Mpamba.End.

Mkuu, je kwenye Quran wameongelea kuhusu viumbe kama dinasaurs?
Maana huwezi pinga uwepo wake kwasababu mabaki yao yamegunduliwa hata mwaka huu kuna mabaki ya dinasaurs yamegunduliwa hapa hapa tanzania.
Kama hawajazungumzia basi bila shaka hata hau ufos kuna uwezekano mkubwa pia wapo
 
Ndugu mimi sina uhakika kuhusu Dinasaour kama nao wamo ndani ya Quran ila ninachokijua mimi kuna viumbe wamezungumziwa ambao wanaitwa Juja wa majuja hawa viumbe according to Qoraan walikuwa ni wakubwa sana na inasemekana walikuwa wanakula kila kitu na baadaye m/mungu aliwaondoa duniani ,lakini ndani ya Qoraan hawajazungumziwa walikuwa ni viumbe wa namna gani hicho ni kitendawili kwetu nafikiri hapa kuna mwenye hiyo habari atueleze jinsi m/mungu alivyowazungumzia hao Juja wa Majuja jinsi umbile lao lilivyokuwa inawezekana ndio hawa Dinoursauers waliohilikishwa na mwenyezi mungu tena imeelezwa kwamba ipo siku watarudi tena duniani lakini hili la UFO halimo ndani ya kitabu alichotuteremshia m/mungu ni kitu cha kutungwa na kubuniwa na wazee wa conspiracy theories kwa lugha nyingine hao UFO ni just imaginary creatures they dont exix on planet earth,they are just boogie men.M/Mpamba.
 
Na mm nasupport hakuna existance ya UFO kwani hilo swala lilishika kasi kipindi John kennedy anataka kurudi ikulu (kama sio clinton ckumbuki vzuri) na zilikuwa politicaly zaida ili kuongeza mafanikio yatakayomuezesha kurudi ikulu
 
Niko interested mkuu hebu dadavua, matumaini gani hayo ambayo unahisi tutapoteza?
Viumbe katika anga za mbali vipo lakini ni zaidi ya uhai tunaojua sisi. Kwa sisi kutokujua sana kuhusu uwepo wa uhai wa ziada ni ahueni kwetu. Kuna siri nyingi zilizofichwa kuhusu uwepo wa viumbe vyenye uelewa mkubwa na vilivyo-advance zaidi yetu kwa sababu za usalama wa dunia.(Law and order). Mpaka sasa asilimia kubwa ya utulivu ulipo duniani umechangiwa na kutokujua hatma yetu kama wanadamu. Kila kitu kikiwa wazi tutakata tamaa kwa kudhani tuliyokuwa tunayajua siyo na matarajio na matumaini (hope) yakipotea order itapotea pia hivyo kufupisha uwepo wetu kama wanadamu. Wachache wenye uelewa wa juu wamepata kuona yale tusiyopenda wengine kwa ujumla wayajue. Nimeelezea kwa urahisi tu lakini kama kuna watu wako interested nitafafanua kwa undani zaidi.
 
Back
Top Bottom