Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #21
Ndioo nimoja wapo ya maswali ya wewe kujitambua je wewe ni nani??Maswali mengine ni udhalilishaji, hivi mtu ambae unaongea nae ana kwa ana, Katika mazingira ya kawaida unawezaje kumuuliza yeye ni jinsia gani?
Sijakuelewa wewe umepata ngapi kwenye English tokea form 4 maana hapa watu mnajidai mnajua kingereza kumbe hakuna loloteDuh sasa kosa la interviewee hapo ni lipi? Kama wewe interviewer mwenyewe unaandoka your hear???
😂😂😂😂 mbona mkorofiPisi ndio nini
Utakua umejibu kitofauti kuliko wengine,kwa lazima upitie na yeye atakujibu "umeshafaulu wewe kenge ,njoo uanze kazi jumatatuMmh napiga vant naulizwa maswali magumu nareply "mwana acha mambo ya kiseng*"
Sio ukorofi si nimeuliza jamani…😂😂😂😂 mbona mkorofi
Je wewe ni nani? Ili ni swali Pana na limekaa kiutambuzi zaidi, linamantiki.Ndioo nimoja wapo ya maswali ya wewe kujitambua je wewe ni nani??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Utakua umejibu kitofauti kuliko wengine,kwa lazima upitie na yeye atakujibu "umeshafaulu wewe kenge ,njoo uanze kazi jumatatu
Nilikuonya kuwa Uhanga wako utakuponza. Kama hujui kiinglish, kwanini kujifaragua? Uhanga ni janga la kitaifa au siyo DepalHaijalishi mie ndio natoa kazi wewe Kaa hapo dharau zako
pisi ni binti mrembooSio ukorofi si nimeuliza jamani…
Aha kumbeee sasa mimi Niko na sura ya mkuupisi ni binti mremboo
Kuna interview zingine unakuwa una-expose ujinga wako bila ya wewe kujua...watch it closely...huo ni mtego ,ukiwa mjanja unauruka...[emoji2]Nikiwaza intavyuu mwili wote unapata ganzi, huwa naogopa intavyuu hadi namuelewa magufuli kwanini alikua anawakimbia BBC wasimhoji
Si kwel, unajua mamboAha kumbeee sasa mimi Niko na sura ya mkuu