Are you a man aged 33-40??


Cool Gentleman u ar so cool. usha nisoma eh? ila naona tu mnaongozana

na mwaJ kila mahala, nahisi kutapeliwa kwenye mchakato.
 
Last edited by a moderator:
Nilitumia dizain zote za kufunguka lkni hola! hata nahisi mtu kaiba PW yako. :A S 13:

So what is up now? We habari zako nyingi na inataka umakini sana kuzifuatilia ili uzielewe Erotica
 
Last edited by a moderator:

I believe, I meet the mentioned creteria if interested conduct 0715933665 then will give you other details if interested
 
So what is up now? We habari zako nyingi na inataka umakini sana kuzifuatilia ili uzielewe Erotica


habari zangu zinakutisha Ndahani? unaogopa nini hasa, funguka basi.

bahati mbaya siwez kubadilika kwa ajili ya mtu, inabidi mtu anikubali nilivo.:A S wink:
 
Last edited by a moderator:
habari zangu zinakutisha Ndahani? unaogopa nini hasa, funguka basi.

bahati mbaya siwez kubadilika kwa ajili ya mtu, inabidi mtu anikubali nilivo.:A S wink:

Habari zako hazinitishi Erotica....mi nshakuwa kadingi siku nyingi ila ntakachoshindwa ni kutuliza akili kuzifuatilia.....yaani umezichanganya! Mara three some, mara ulokole, mara this mara that....hebu niambie....si utampasua mtu oho kama hana moyo wa chuma?
 
Last edited by a moderator:

Ndahani yote haya unajua it minz unaweza tuliza akili, hakuna mwengine anajuwa yote

haya kama wewe sidhani hata kama Cool Gentleman ambae ninamendea anioe anajua haya.

sasa roho yako kwa nini inasita kulipuka nilipojilipua kwako? kwa nn had awe na roho ya chuma?

akiwa mme nitatulia kama maji ya mtungini. si umeona na nguo navaa siku hizi?
 
Last edited by a moderator:

Kuvaa hizo nguo si kwa wiki moja tu? Hasidi toka lini anaacha asili waswahili wanasema. Mi siwezi kujilipua tu kama niko Afghanstan maana kule kuna watu akili zao ziko off specs
 
Erotica janja ya Paka panya kisa gundua, asante sana Ndahani. Kumbe ndo zake huyu eeeh. yaani anachanganya usingizi na kifo. Kweli. Yaani threesome? mara ulokole? mara this mara that? Mungu atanionyesha tuu.

Mi bana file lake nachoma moto kama mwenyewe hakanushi kwa ushahidi wa tabia njema.
 
all the best destiny1 naona kuna rafiki anajipatia mke sasa hivi Cool Gentlemen naona mambo yanaelekea
πŸ˜›ray:
FirstLady1 kachomoa bana. kasema mimi Kibabu. Eti? Wakati kwenye 6X6 niko vizuri. Matumizi sitaki shida nampa Original VISA Card with No Minimum. gari chagua lake kati ya matatu yaliyopo kwa ajili yake. Haaaaa haaaa

Mi najiweka pembeni naogopa msongamano.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…