Are you a man aged 33-40??

Are you a man aged 33-40??

Mmmh Erotica hatakubali. Anataka yeye awe bi harusi halafu sifa zake hajatoa. Can you imagine jamani. Hakawii kukuchenjia mkiwa honeymoon ukigudua kuwa ni Mkaka mwenzako . . . kwi kwiiii kwiii . . . .

Bi harusi mtarajiwe na aje hapa tuhangaike naye . . . Ila ndo hivyo hata Kitchen party haitaji . . lol

Cool Gentleman u ar so cool. usha nisoma eh? ila naona tu mnaongozana

na mwaJ kila mahala, nahisi kutapeliwa kwenye mchakato.
 
Last edited by a moderator:
Nilitumia dizain zote za kufunguka lkni hola! hata nahisi mtu kaiba PW yako. :A S 13:

So what is up now? We habari zako nyingi na inataka umakini sana kuzifuatilia ili uzielewe Erotica
 
Last edited by a moderator:
Mhhh sijui nianzie wapi ila kwa kweli kumpata a man of your dream ni bahati, basi na mimi katika pitapita zangu zote huko nilipotoka nimeishia kuumia bado sijampata wa sifa na vigezo vyangu na nikampenda na yeye anipende, japo wengi wanatangaza nia, ndio maana nimeamua nijitose hapa nibahatishe huwezi jua, Niko serious and specific kidogo mtanisamehe kwa hilo jamani kipenda roho hula nyama mbichi

Im looking for a man
1.With a heart to love truly, respect and care for the person he loves
2.The one with kid/kids and divorced/living alone atapewa kipaumbele
3.Christian
4.Don’t care about the skin color, just good looking hahah, Should be confident about his look
5.not less than 33yrs not more than 40yrs
6.Should be employed or own business or both, a person with big dreams za maendeleo
7.Awe Faithful and straight asiwe muongo
8.Not less than 1.65M height not more than 1.85 (though not very important)
9.you could be drinking ocassionally or not ila usiwe Mlevi
10. Education not less than a diploma but with sharp mind
11. Anayejua kudeka na kudekeza

About me
1.I’m a woman with a heart to love truly, respect and care for the person I love
2.I have two kids from one man, I’m living alone
3.Christian
4.Light skinned, sio mnene wala mwembamba and good looking (lol)
5.Early 30s ( I look younger than my age)
6.Employed and run my own small business and dream so big
7.Faithful, straight sina na wala sipendi longolongo
8.Height around 1.56m-1.60m
9. I drink occasionally
10.Education- degree
11. I love to be happy all the time, I respect one's decisions and freedom

Walio interested na wanavigezo waniPM, maswali ya wenye vigezo tu ndio yatajibiwa, criticism is allowed lakini taratiiiibu jamani mhhh!! Watajibiwa wenye vigezo visivyopungua 80% tu. Asanteni na poleni kwa kuwachosha na maelezo marefu.
😛eep:

I believe, I meet the mentioned creteria if interested conduct 0715933665 then will give you other details if interested
 
So what is up now? We habari zako nyingi na inataka umakini sana kuzifuatilia ili uzielewe Erotica


habari zangu zinakutisha Ndahani? unaogopa nini hasa, funguka basi.

bahati mbaya siwez kubadilika kwa ajili ya mtu, inabidi mtu anikubali nilivo.:A S wink:
 
Last edited by a moderator:
habari zangu zinakutisha Ndahani? unaogopa nini hasa, funguka basi.

bahati mbaya siwez kubadilika kwa ajili ya mtu, inabidi mtu anikubali nilivo.:A S wink:

Habari zako hazinitishi Erotica....mi nshakuwa kadingi siku nyingi ila ntakachoshindwa ni kutuliza akili kuzifuatilia.....yaani umezichanganya! Mara three some, mara ulokole, mara this mara that....hebu niambie....si utampasua mtu oho kama hana moyo wa chuma?
 
Last edited by a moderator:
Habari zako hazinitishi Erotica....mi nshakuwa kadingi siku nyingi ila ntakachoshindwa ni kutuliza akili kuzifuatilia.....yaani umezichanganya! Mara three some, mara ulokole, mara this mara that....hebu niambie....si utampasua mtu oho kama hana moyo wa chuma?

Ndahani yote haya unajua it minz unaweza tuliza akili, hakuna mwengine anajuwa yote

haya kama wewe sidhani hata kama Cool Gentleman ambae ninamendea anioe anajua haya.

sasa roho yako kwa nini inasita kulipuka nilipojilipua kwako? kwa nn had awe na roho ya chuma?

akiwa mme nitatulia kama maji ya mtungini. si umeona na nguo navaa siku hizi?
 
Last edited by a moderator:
Ndahani yote haya unajua it minz unaweza tuliza akili, hakuna mwengine anajuwa yote

haya kama wewe sidhani hata kama Cool Gentleman ambae ninamendea anioe anajua haya.

sasa roho yako kwa nini inasita kulipuka nilipojilipua kwako? kwa nn had awe na roho ya chuma?

akiwa mme nitatulia kama maji ya mtungini. si umeona na nguo navaa siku hizi?

Kuvaa hizo nguo si kwa wiki moja tu? Hasidi toka lini anaacha asili waswahili wanasema. Mi siwezi kujilipua tu kama niko Afghanstan maana kule kuna watu akili zao ziko off specs
 
Ndahani yote haya unajua it minz unaweza tuliza akili, hakuna mwengine anajuwa yote

haya kama wewe sidhani hata kama Cool Gentleman ambae ninamendea anioe anajua haya.

sasa roho yako kwa nini inasita kulipuka nilipojilipua kwako? kwa nn had awe na roho ya chuma?

akiwa mme nitatulia kama maji ya mtungini. si umeona na nguo navaa siku hizi?
Erotica janja ya Paka panya kisa gundua, asante sana Ndahani. Kumbe ndo zake huyu eeeh. yaani anachanganya usingizi na kifo. Kweli. Yaani threesome? mara ulokole? mara this mara that? Mungu atanionyesha tuu.

Mi bana file lake nachoma moto kama mwenyewe hakanushi kwa ushahidi wa tabia njema.
 
all the best destiny1 naona kuna rafiki anajipatia mke sasa hivi Cool Gentlemen naona mambo yanaelekea
😛ray:
FirstLady1 kachomoa bana. kasema mimi Kibabu. Eti? Wakati kwenye 6X6 niko vizuri. Matumizi sitaki shida nampa Original VISA Card with No Minimum. gari chagua lake kati ya matatu yaliyopo kwa ajili yake. Haaaaa haaaa

Mi najiweka pembeni naogopa msongamano.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom