Are you a single man? follow me!

Are you a single man? follow me!

yaani warembo tuliojaa Jf mnatuacha mnaenda kutuletea competitors outside!!!
sawa bwana na sisi ngoja tutafute ji handsome kutoka nje ya JF tutangaziane!LOL.
naona father xmas umeamua kuwagawia kina baba wenzio zawadi ya mrembo!
Tatizo mama hapa JF wengi hatujui your marital status kama ni married and occupied, single and searching or single but not searching. Kubwa mama tunaogopa kupigwa na wenye mali. But of cource sisi wengine, we are single and not searching for life kwa ajili ya kazi ya Bwana. All the same in any bisiness competition is very important kwa kuimprove perfomance na service so usiogope!
 
Tatizo mama hapa JF wengi hatujui your marital status kama ni married and occupied, single and searching or single but not searching. Kubwa mama tunaogopa kupigwa na wenye mali. But of cource sisi wengine, we are single and not searching for life kwa ajili ya kazi ya Bwana. All the same in any bisiness competition is very important kwa kuimprove perfomance na service so usiogope!

i see G hongera sana kwa kuyatoa maisha yako kumtumikia bwana!
 
Kakaaaaaaaaa usije ukawa mchaluko huuu, haya masingle jamani jaribuni, mimi akhaaaaa tarehe 10/07/2010 natoka ukapera.
 
tatizo la kwetu mtu akiweka kuwa anatafuta mchumba kama ni mwanamke tunaanza kumpekua kila aina ya kitu

kila mtu ana skeletons kwenye closet ......

anza leo ya nyuma sahau 😀
 
Cheusimangala

Tafadhali hiyo picha ndo picha yako halisi? walaahi umejaaliwa so na wewe unatafuta mamaa ?
 
yaani warembo tuliojaa Jf mnatuacha mnaenda kutuletea competitors outside!!!
sawa bwana na sisi ngoja tutafute ji handsome kutoka nje ya JF tutangaziane!LOL.
naona father xmas umeamua kuwagawia kina baba wenzio zawadi ya mrembo!
tatizo lako cheusi hujibu private nanihii.....,halafu yule jamaa yako K.. ana mkwara sana yaani hata mtu akikusalimia yeye anatishia mapanga.....,mwambie atulize mzuka uzuri wako ni mwingi hawezi kuumaliza mwenyewe.....!lol.
 
Back
Top Bottom