Kunta kinte1776
JF-Expert Member
- Feb 22, 2019
- 297
- 378
Mmeanza kukubali sindano za tzHili swala la barabara tulishajadili mara mingi huku,kuanzia na urefu wa mtandao wa barabara zilizowekwa lami-tulishadhibitisha kenya tunaelekea 20000km ilhali bongo hawajielewi wako wapi.ikija ni suala la quality hapo mimi binafsi siwezi bisha,hapo hongera sana bongo,lakini haimaniishi kenya pia hamna barabara quality,zipo tena mingi sana,tena expressways/motorways/freeways/autobahns.na zingine mingi zinaendelea kujengwa.anywayz,furaha yangu nikuona tukiendelea sisi wote,competition ni muhimu lakini si wivu,we are africans and africa is our business.
Hili swala la barabara tulishajadili mara mingi huku,kuanzia na urefu wa mtandao wa barabara zilizowekwa lami-tulishadhibitisha kenya tunaelekea 20000km ilhali bongo hawajielewi wako wapi.ikija ni suala la quality hapo mimi binafsi siwezi bisha,hapo hongera sana bongo,lakini haimaniishi kenya pia hamna barabara quality,zipo tena mingi sana,tena expressways/motorways/freeways/autobahns.na zingine mingi zinaendelea kujengwa.anywayz,furaha yangu nikuona tukiendelea sisi wote,competition ni muhimu lakini si wivu,we are africans and africa is our business.
Reave me arone Sue's son 👦Just b you,denial won't save your ass
Kama vile wode Maya alisema Kenya is the most developed in EA na tzedi is beautiful. He ain't Kenyan eithercc.Mwaswat
Kunta Kinte 1776
Koroma
Jane rose
Depay.
Huyu dada pia sio mkenya, ameongeza sifa ambazo sio kweli?.
Kuanzia Leo ubishi wa kushindanisha Tanzania na Kenya umemalizika, ukweli umedhihirika.
Halafu kingine ni kwamba tunawazidi Watanzania kwa umiliki wa magari, hivyo barabara zao hazitumiki sana na pia ni chache
Wakenya wanaongoza kwa umiliki wa magari Afrika mashariki
Kuna magari 30 kwa kila Wakenya 1,000, ilhali majirani Tanzania na Uganda ni 21 na 13 mtawalia. https://blog.beforward.jp/regional-topics/africa/cars-capita-africa-country-cars-road.htmlwww.jamiiforums.com
Naona mmesha fika Uhuru park sasa mpo mtandaoniReave me arone Sue's son [emoji65]
Kwahiyo umekubali sasa kuhusu barabara? Upumbafuu wa wakenya aibu naona MimiHalafu kingine ni kwamba tunawazidi Watanzania kwa umiliki wa magari, hivyo barabara zao hazitumiki sana na pia ni chache
Wakenya wanaongoza kwa umiliki wa magari Afrika mashariki
Kuna magari 30 kwa kila Wakenya 1,000, ilhali majirani Tanzania na Uganda ni 21 na 13 mtawalia. https://blog.beforward.jp/regional-topics/africa/cars-capita-africa-country-cars-road.htmlwww.jamiiforums.com
Hapo alikuwa anajaribu kuwa fariji tu na yule changudoa mkikuyu anaye mchuna Pesa wode awezi kusema ukweli maana wode Maya akifanya hivyo atajiharibia kazi yake hivyo ukitaka kujua ukweli kuusu hisia zake kuusu nchi aliyoitembelea inabidi utumie jicho LA 3 kutazamaKama vile wode Maya alisema Kenya is the most developed in EA na tzedi is beautiful. He ain't Kenyan either
Kwahiyo umekubali sasa kuhusu barabara? Upumbafuu wa wakenya aibu naona Mimi
Wewe siulikuwa unapinga muda si mrefu hadi nimeweka hiyo video ndiyo unakuja na hoja za viroja eti Kenya magari mengi kwani magari mengi ndiyo sababu kusiwe na mark barabarani ?
Umesahau na umaskini wa mtu mmoja mmoja asee Kenya kuna watu wengi hawawezi hata kula Milo miwili per dayHahahaha, wameanza kuelekea "kibla" wanasubiri kuchinjwa, lazima watapetape. Ukweli utaendelea kudhihirika zaidi, hata hili walianza kwa kupinga,sasa hivi wameanza kulegea wanaleta visingizio.
Kiukweli Kenya imeachwa mbali sana na Tanzania katika miundombinu, Barabara, Huduma za Afya, Umeme, MAJI, viwanja vya ndege, viwanja vya michezo na makazi, sehemu ambayo sina uhakika ni kuhusu shule za Serikali, kwenye private Schools na Universities, Kenya ipo mbele.
Aisee kuna video iko YouTube roho yangu inakataa kuiweka hapa inaitwa( Nairobi zombies) inasikitisha sana sana
Ilisha wahi kuwekwa hapa wakenya walitokwa povu balaaAisee kuna video iko YouTube roho yangu inakataa kuiweka hapa inaitwa( Nairobi zombies) inasikitisha sana sana
Aisee we' changudoa wa arusha unapenda kuninukuu sana! Hata sasa hivi nipo Uhuru park kwenye free WiFi.Naona mmesha fika Uhuru park sasa mpo mtandaoni
Aisee we' changudoa wa arusha unapenda kuninukuu sana! Hata sasa hivi nipo Uhuru park kwenye free WiFi.
.Kenya has the best health care system in EA
.BEst education system
.High life expectancy (2nd to Rwanda
.Quality roads (2nd. 1st Rwanda
You can't be ahead of Kenya na bado nyie ni LDC.
ichoboy01 mzungu aliyeona slums za Nairobi ndiye aliyeona ufukara wa watanzania. One of the poorest nations on earth [emoji288]
Danganyikans are so inhumane.Daammmnnn Kenya real????
Danganyikans are so inhumane.
More than 200 witchdoctors and traditional healers have been arrested in Tanzania in a crackdown on the murder of albino people. The killings have been driven by the belief – advanced by some witchdoctors – that the body parts have properties that confer wealth and good luck. According to the Red Cross, witchdoctors are prepared to pay $75,000 (£57,000) for a complete set of albino body parts. Nearly 80 albino Tanzanians have been killed since 2000, the UN says. The latest victims include a one-year-old albino boy, killed in north-western Tanzania. The government banned witchdoctors in January as part of its efforts to prevent further attacks and kidnappings targeting people with albinism.
Ukapenya wapi? Yaani maoni ya mkenya mmoja yamefanya mrukeruke kama mtoto ambaye amenunuliwa lollipop tatu. Mnatia huruma sana. Maoni ya wengi mnayakataa.Past news [emoji23][emoji23][emoji23] hivi kumbe huu uzi umepenya, itabd tuwapunguzie dozi