Argentina National Football Team (La Selección) Special Thread

Duh tuvunje Jukwaa sioni tukibeba 6 points vs [emoji1166] Mexico na [emoji1200] Poland kwa Argentina hii sioni DISASTER bad day kwa fans wa Argentina
 
[emoji23][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23] #WapigweTu
Najua hamtupend tena washabik wa cr7 mnatuombea sana njaa lkn tutafuzu na kupoteza kwe2 leo hesabuni sio nzr kbs kwa nyie wapinzan maana tutarud kama Simba waliojeruiwa.
 
Ndio litim libovu na tukabeba ubingwa copa America, na isitoshe tukamfumua italy goli 3 na kutwaa ubingwa
We waache wajisahaurishe wkt tuliwapiga team yao pendwa ya dunia l(Brazil) kwao tukabeba ndoo.

Cha msing hapa game ijayo ya Mexico tupambane tuchukue point 3 kufuzu iko ndan ya mikono ye2 kushinda game zilizobak
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…