Argentina National Football Team (La Selección) Special Thread

Argentina National Football Team (La Selección) Special Thread

Hivi nyie mna akili kweli aliyeanzisha uzi hamnazo mpka wa Argentina wa mtogole hamnazo mkibisha nawaita Saudi Arabia
 
Walipigiwa pira na saudia sijui Leo na Mexico Kama mtatoboa

Muwe mnaweka akiba ya maneno.. la Seleccion ndio kawaida yetu, tunaanza kwa kusua, huko mbele tunakichafua ile mbaya.. wenye ball letu, wahuni wa amerika ya kusini.. leo tunamkalisha poland
 
Back
Top Bottom