Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Mess ana?unazurura tu hakabi
Yan sisi yoyote aje tu tutacheza sana.Kabisa.. tushamalizana na wakulima wa miwa tukabeba ndoo ndani ya ardhi yao(brazil), kisha baada ya hapo tukamalizana na wazee wa roma tukaondokanalo, sasa tunamtaka yeyote final
Mkuu hata mie nimeona nilichokiandika hakieleweki kabisaaaSijaelewa ulichoandika
Mkuu hata mie nimeona nilichokiandika hakieleweki kabisaaa
Nilitaka kusema Mess hakabi naona kma ana zurura tu
Humble African..[emoji106]Bamoo.... Bamos Argentina..!
[emoji115]Argentina
Brazil
Mmoja Ndio atakaebeba huu mzigo mwaka huu
Kocha wetu ni msenge(sorry to say this)sub zake zimeleta majanga makubwa mno almanasura twende extra time kamtoa Alvarez Acuna in short baada ya sub sijaona jipya anyway congratulations Argentina [emoji1033] kwa kufuzu quarter finals
Yan asee katupa presha unnecessary sana kisa kua muoga wa ajab.. Kwnz unamtoaje papu unaleta beki dkk ya 50 uoga wa aina gn huo tena against Australia sisi tulitakiwa tuendelee kuwatafuta tuwafunge.Kocha wetu ni msenge(sorry to say this)sub zake zimeleta majanga makubwa mno almanasura twende extra time kamtoa Alvarez Acuna in short baada ya sub sijaona jipya anyway congratulations Argentina [emoji1033] kwa kufuzu quarter finals
Nahis kupanic hajawah kua kwny hatua iyo kwny maisha yake kama kocha.. Lkn maamuz yake yalitk kutupeleka Extra time bila ya sbb yoyote ile kbs.Nakazia hapo, sijajua kwanini alifanya sub ya Álvarez,Acuńa.
Kuna mda hua anafanya vitu nahisi mwenyewe haelewi.
Nahis kupanic hajawah kua kwny hatua iyo kwny maisha yake kama kocha.. Lkn maamuz yake yalitk kutupeleka Extra time bila ya sbb yoyote ile kbs.
Naamin kajifunza ki2 maana dah alitk kutupa presha ambayo haipo hata.. Zile sub na kumuanzisha Papu aache game ya Saudi pia ilibak fire kwa Papu kuanza alikua na performance average sana weka watu halisi mbn tunao Bench Wakina Dybala kuna Correa.Kabisa mkuu, ngoja tuone next match kama atakuwa amejifunza au laa
Naamin kajifunza ki2 maana dah alitk kutupa presha ambayo haipo hata.. Zile sub na kumuanzisha Papu aache game ya Saudi pia ilibak fire kwa Papu kuanza alikua na performance average sana weka watu halisi mbn tunao Bench Wakina Dybala kuna Correa.
Hao ukiwaweka lzm wata perform maana wanatk kuonesha na wao wanastaili kupata nafas zaid.. Ni kama alivomuamin Alvarez unaona saiv anamweka Lautaro bench.. Na leo Lautaro kaonesha kbs kwnn saiv anaanzia bench amekua hana utulivu kwny goal ivi krbn.
Hakika mkuu tupo Pa1 leo ngj tuendelee kuwashangaza wanaotuchukulia poa.Leo hii 9 Dec, saa Nne kamili za usiku, wazee wa samba, uhuni na udambwi Laa Seleccion...
ARG[emoji1033] Netherland
Kila la heri Laa Seleccion [emoji1033]
Hakika mkuu tupo Pa1 leo ngj tuendelee kuwashangaza wanaotuchukulia poa.
Hii ni comment yanguArgentina
Brazil
Mmoja Ndio atakaebeba huu mzigo mwaka huu