Argentina National Football Team (La Selección) Special Thread

Argentina National Football Team (La Selección) Special Thread

Na Pablo Aimar pia,maradona alisema"huyu ndiye atakua mrithi wangu" requelme na Diego Walikua hawaelewani ndo maana hata kwenye world cup hakumuita,
Requelme sitomsahau alikua ni balaa sema kasahaulika



It's true...Requlme was nevertheless, to save the best till lastand his best was arguably the greatest goal in the history of the Copa Libertadores.When the No 10, who was on loan from Villareal,collected the ball on the right corner of the area in the 68th minute, there appeared zero danger. Yet Requelme employed speed and swerve to send a diagonal Thunderbolt beyond the fingertips of Gremio No1 Sebastian Saja and just inside the post.
 
Walikuwepo viungo wakali, Diego Simioni, Redondo, Ariel Ortega na wengine kibao. lakini Juani Requelme ni habari nyingine. Diego maradona alishindwa kumtumia vizuri kwenye fifa world cup akiwa kocha.

Dah Mkuu unanikumbushia mbali mno hao mafundi.....Requlme alikua ni mmoja kati ya greatest players 4 Argentain and the World in his era, very cool and calm player....It's a pity his disputes with Diego Maradona took him away from the national team to which he hasn't returned.....
 
😀😀 Germans will not forget him forever...mshikaji alikua anatabia moja...alikua anawafuata mabeki makusudi ili awaadhibishe..yaani ni player anaejiamini sana na ndio tunayashuhudia kwa King Messi
ila huyu Maradona alikuwa hatariii sana yani enzi zake ni weka mbal na watoto
 
Leo Messi winner takes Albiceleste top of World Cup qualifying group despite Paulo Dybala red card

37D2051A00000578-0-image-m-4_1472798372662.jpg

messi-rt-geniusfootball-paulo-dybala-reveals-what-lionel-messi-told-3601463.png

Kama sikosei kwa mara ya kwanza dybala kupewa redcard, alilia mno baada ya kadi hiyo, nilimuonea huruma sana, hivo atakosa mchezo wake na venezuela
 
  • Thanks
Reactions: PNC
gonzalo-higuain-cropped_1ji3xa7j4mlx81x2ufu3cqdkds.jpg


HIGUAIN UNPERTURBED BY ARGENTINA CRITICS
October 05 2016 / 12:51 pm

Higuain unperturbed by Argentina critics
Argentina international Gonzalo Higuain is adamant the ongoing criticism over his performances for the national side does not affect him.

The Juventus striker sits sixth in Argentina's all-time top scorer list with 30 strikes, but he continues to be criticised for his failure to find the net in three major finals for the Albiceleste, all of which they have lost.

The 28-year-old remains unaffected, though, and has stressed there is more to life than football.

"People criticise me for failing to score from a one-on-one, but I will never doubt myself," Higuain told TyC Sports. "We have to keep going, nothing else.

"But even more than a footballer, I am a human being and I have the same right to live as anyone else. Sometimes we suffer. Football is my life, but there are more important things in life.

"But people are free to say what they want and criticise and insult me if that makes them happy.

"People make up their mind on whether you're a good player over seven games at a World Cup. You're great if you score goals and bad if you don't. I will always believe in myself and those who doubt me will always continue to do so."

Higuain will be looking to add to his Argentina tally in the upcoming World Cup qualifiers against Peru and Paraguay.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
angelcorrea-cropped_1m6eiyccnjhjl1xdt3ekr8ugy7.jpg

CORREA HAPPY TO HELP WITH MESSI MISSING
October 05 2016 / 12:06 pm

Correa happy to help with Messi missing
Atletico Madrid forward Angel Correa hopes to help fill the void left in Argentina's attack by Lionel Messi's absence.

A recurrence of the groin injury that has hindered Messi over recent months means the Barcelona superstar will miss his country's latest round of World Cup qualifiers against Peru and Paraguay.

Two goals in cameo substitute appearances this season resulted in Correa winning a starting berth for LaLiga leaders Atletico in their recent wins over Deportivo and Valencia.

The 21-year-old is now aiming to add to five caps for La Albiceleste over the coming week but knows one particular absentee looms large.

"Everyone knows there is only one Messi and if I have to replace him I hope to do it the best way for the team," Correa told reporters.

Argentina are third in the CONMEBOL standings for Russia 2018 qualification, a point behind leaders Uruguay and below Brazil on goal difference having drawn 2-2 in Venezuela last time out.

They are on the road again against Peru on Thursday and Correa added: "Players need to give 100 per cent for Argentina. With Venezuela we made a great effort to achieve a draw and now we hope to make a great game on Thursday and take three points."
 
  • Thanks
Reactions: PNC
MafanZ wenzangu natumai nyote wazima ' taarifa ilyotufikia " King Messi hatocheza mechi dhidi ya Peru na Paraguay katika mechi ya kufuzu kombe la dunia nchini Russia 2018' hivyo hatutakuwa-naye kutokana na majeruhi aliyoyapata kwenye mechi dhidi ya Atletico Madrid....

Mechi dhidi ya Peru itachezwa Tarehe 7/10/2016 saa 11:15 ya alfajiri.

God Willing....Tutaendelea kuhabarishana ndugu....

Vivaaa Albiceleste.
 
The Sad news 4 king, Mungu amsaidie apone haraka.

Vamos ARG
 
  • Thanks
Reactions: PNC
WACHEZAJI 21 WAMEANDALIWA KUELEKEA LIMA' NCHINI PERU.

GOALKEEPERS:
Nahuel Guzmán (Tigres, Mexico),

Sergio Romero (Manchester United, England)



DEFENDERS:
Facundo Roncaglia (Celta Vigo, Spain),

Mateo Musacchio (Villarreal, Spain),

Ramiro Funes Mori (Everton, England),

Marcos Rojo (Manchester United, England),

Martín Demichelis (Espanyol, Spain),

Gabriel Mercado (Sevilla, Spain),

Nicolás Otamendi (Manchester City, England),

Pablo Zabaleta (Manchester City, England)



MIDFIELDERS:
Matías Kranevitter (Sevilla, Spain)

Javier Mascherano (Barcelona, Spain),

Ever Banega (Inter, Italy),

Erik Lamela (Tottenham, England),

Nicolás Gaitán (Atlético Madrid, Spain),

Ángel Di María (Paris Saint-Germain, France)



FORWARDS:
Ángel Correa (Atlético Madrid, Spain)

Lucas Pratto (Atlético Mineiro, Brazil),

Sergio Agüero (Manchester City, England),

Paulo Dybala (Juventus. Italy),

Gonzalo Higuaín (Juventus, Italy)

Match Info

Venue:Estadio Nacional, Lima

Date: Thursday, Oct. 6

Time: 5.15 p.m. EDT
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hahahaha huyu bauza kafana nini tena? Kamrudisha tena Higuain? Aise hii ni balaa, tumechoka sasa sababu kila final anakosa magoli ya wazi.alaf huko alikotoka madrid,napoli na sasa yupo juve anaingiza magoli ka njugu,kwenye tim y taifa anaboa.
 
Hahahaha huyu bauza kafana nini tena? Kamrudisha tena Higuain? Aise hii ni balaa, tumechoka sasa sababu kila final anakosa magoli ya wazi.alaf huko alikotoka madrid,napoli na sasa yupo juve anaingiza magoli ka njugu,kwenye tim y taifa anaboa.


Huyu higuain hata mimi ananiudhi kwakeli.,sijui waga anafanya makusudi?
 
WACHEZAJI 21 WAMEANDALIWA KUELEKEA LIMA' NCHINI PERU.

GOALKEEPERS:
Nahuel Guzmán (Tigres, Mexico),

Sergio Romero (Manchester United, England)



DEFENDERS:
Facundo Roncaglia (Celta Vigo, Spain),

Mateo Musacchio (Villarreal, Spain),

Ramiro Funes Mori (Everton, England),

Marcos Rojo (Manchester United, England),

Martín Demichelis (Espanyol, Spain),

Gabriel Mercado (Sevilla, Spain),

Nicolás Otamendi (Manchester City, England),

Pablo Zabaleta (Manchester City, England)



MIDFIELDERS:
Matías Kranevitter (Sevilla, Spain)

Javier Mascherano (Barcelona, Spain),

Ever Banega (Inter, Italy),

Erik Lamela (Tottenham, England),

Nicolás Gaitán (Atlético Madrid, Spain),

Ángel Di María (Paris Saint-Germain, France)



FORWARDS:
Ángel Correa (Atlético Madrid, Spain)

Lucas Pratto (Atlético Mineiro, Brazil),

Sergio Agüero (Manchester City, England),

Paulo Dybala (Juventus. Italy),

Gonzalo Higuaín (Juventus, Italy)

Match Info

Venue:Estadio Nacional, Lima

Date: Thursday, Oct. 6

Time: 5.15 p.m. EDT


Angel correa sio mtu mzur kwa game alizocheza pale atletico madrid ni balaa argentina wana watu hata kocha diego semion ni balaa
 
Angel correa sio mtu mzur kwa game alizocheza pale atletico madrid ni balaa argentina wana watu hata kocha diego semion ni balaa

Espeacially mkuu. Angel Correa shows a skillful attacking midfielder with the potential to be incredibly dangerous on the ball, He has one of the highest ball-control ratings in the game, meaning he'll quickly settle nearly every pass played within his reach. With the ball at his feet, he's a skilled and threatening attacker who can confidently beat defenders off the dribble.yani huyu dogo anajua kuuchezea mpira ni balaa,ukija kwa dybala nako hatari. Mchezaji mmoja tu huwa anatuharibia,, Gonzalo.
 
Back
Top Bottom