Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za refa mbona mnazisahau...anaweza akaongeza dakika 7Zimebaki dakika 10
Bado zile nane za nyongeza usisahauZimebaki dakika 10
tunawapenda hivyohivyo tu hakuna namna. hata wakisema tunajipendekeza fuleshi tu. Morocco piga hao nyauuuuMorocco watake wasitake ni wetu, wanasomeka wako bara la Africa. Na hivi wanashinda tunawaachaje? 🤣🤣🤣🤣🤣
Ni jiniYasin Bono ni kipa au jini!!😳😳😳
Nitakukumbusha baada ya hawa waarabu wa Ulaya kuwapiga hao waanjentina Dec 13Uliza wenzio wameomba watokee weee sasa imebidi wawapende tuu
Kwani we uko wapi?Ronaldo anatakiwa awe anaaza hii inaleta woga kidogo kwa wapinzani hata kama kaisha.
Sasa unamuingiza timu ina hali ngumu kwakweli sijapenda[emoji24]
Kama ushawahi kusikia kidudu mtu, ndo hicho sasa...Yasin Bono ni kipa au jini!!😳😳😳
Hawa jamaa wameweka konteina nyuma maana sio basi81' Bye bye Ureno sio kwa defence hii ya Morocco