Hapa tatizo ya senegal ni kufunga magoli....hapa sasa ni kufa na ecuado na qatarJamani kwani wakfungwa inakuwaje? Hebu nipeni msimamo
Angekuwa Tanzania enzibya Magu angepewa kazi TRAMtu anaitwa Kodi π€£
Bado nafasi ipoJamani kwani wakfungwa inakuwaje? Hebu nipeni msimamo
Holland anaongozaJamani kwani wakfungwa inakuwaje? Hebu nipeni msimamo
Hao weusi wote wanatoka visiwa vya America ya kusini ambavyo viko chini ya uholanzi Kama SurinameHuyu ana damu ya africa. Si mghana kweli huyu ?
Na unavyopenda πππI naingia chini unaisikilizia moyoni
Nimemgoogle ana damu ya Ghana na Togo.Hao weusi wote wanatoka visiwa vya America ya kusini ambavyo viko chini ya uholanzi Kama Suriname
Mbona umenicheka pale halafu hujanijibu?. π π π πHao weusi wote wanatoka visiwa vya America ya kusini ambavyo viko chini ya uholanzi Kama Suriname