Usijipe moyo usiokuwepo.View attachment 2443052
Tumewakomaza hawa,wawe na heshima
we are going home men na Iniesta wetu wa stockportNilipitiwa na usingizi kabla ya mechi haijaanza, walitokaje huko jamani...
It is coming home au we are going home?
Alifungwaje na Tunisia.Ikitokea Morocco akamfunga Mfaransa basi atachukua ubingwa
Ni bora Morocco angeomba kukutana na muingereza
Huyu mfaransa hafai
Ile gem hawakuwa na cha kupotezaAlifungwaje na Tunisia.
Hawa Mungu asaidie wakatolewe na Croatia. Hawana respect kabisa kwa team pinzani.A bunch of weirdos at their epic moment [emoji174] [emoji81] wahuni hawana tabia ya kumuheshimu mpinzaniView attachment 2442987
Ni tofauti,ile mechi ilikuwa haina umuhimu wowote kwa France walikuwa washaqwalifai.Alifungwaje na Tunisia.
Sawa na brazil walivyo shinda dhidi ya korea wakaanza kujichezesha uwanjaniHawa Mungu asaidie wakatolewe na Croatia. Hawana respect kabisa kwa team pinzani.
Uholanzi ndo walianza ukorofi,esp manager wao. Ndo mana messi pia alimjibu kwa hasira after match alivomfataHawa Mungu asaidie wakatolewe na Croatia. Hawana respect kabisa kwa team pinzani.
Uholanzi waliwatupia Argentina maneno mengi ya vijembe kabla ya mechi, hasa Van Gaal. So it was payback time. Nothing personal!Ni tofauti,ile mechi ilikuwa haina umuhimu wowote kwa France walikuwa washaqwalifai.
Kwahiyo ni bora tushakie mabeberu, sio?Morocco out Morocco out Morocco out Morocco out Morocco out Morocco out
Tusishabikie hayo mabaguzi hayatufai
Nasubiri kwa hamu nione hao warabu wanavyo kandwa na beberuChezaji la kiarabu sisi bado tumeshikilia. Ile ile kauli ya kwanza
Tutabaki kuwa upande wa franceView attachment 2443111
Nusu mechi 2Hapa nachek live score naona zimebaki nne
Tarehe 13,14,17 na 18
ShukranNusu mechi 2
Third place 1 match
Final 1 match
Jumla mechi 4
Timu upinde wa mvua hawawezi kufua dafu kwa mabahasha.Nasubiri kwa hamu nione hao warabu wanavyo kandwa na beberu
Kwahiyo ni bora tushakie mabeberu, sio?
Mkuu, wenda umesoma lakini elimu yako haikusaidii kit
Usilinganidhe mzungu na mwarabuTimu upinde wa mvua hawawezi kufua dafu kwa mabahasha.
We huoni midevu ile.
Wazungu hawa hawa wanao kesha kutetea ushoga?Usilinganidhe mzungu na mwarabu
Mzungu ni akili kubwa