Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kwahiyo watu wakitamani kitu wanakuwa wamempangia sir god?Pamoja na zaidi ya nusu ya washabiki wa soka duniani wakitamani na wengine wakitaka Argentina kushinda kombe la dunia chini ya Messi, wamesahau kuwa Sir God hapangiwi....
Mwisho wao ni leo! Na Messi anakwenda kuweka rekodi mpya ya kukosa Kombe la Dunia kama kawaida yake!
Leo ni zamu ya Messi kulia...pamoja na kuendelea kuweka rekodi binafsi...Nadhani mwenye record mbaya ni yule jamaa wa kulia lia akipigwa benchi maana akijitahidi sana robo
Sasa mbona unampangia Mungu tena
Alishindwa kupangua Van Der Sar, huyu mshamba angewezea wapi?Kipa wa uholanzi kabla ya mechi
"Mashuti yote ya messi yatuzuiwa"
Amini usiamini, leo ndio kiama chao... na lawama zote zitakwenda kwa Messi...Sir God hapangiwi ndo maana amevuka kote huko wakati mlikuwa mnamuombea kushindwa...tena amevuka from zero (mechi ya saudia) to hero (anaingia final).
Jiandae kisaikolojia maana fainali anacheza kama utanii
Yes indeedArgentina anaweza akawa ana vingi vya kushinda ila sio kwenye mechi ya leo
Hakuna Mungu anafurahishwa na kelele zenuSir God hapangiwi ndo maana amevuka kote huko wakati mlikuwa mnamuombea kushindwa...tena amevuka from zero (mechi ya saudia) to hero (anaingia final).
Jiandae kisaikolojia maana fainali anacheza kama utanii
Hapo unafki ulioweka pembeni uko wapi?Binafsi tukiweka ushabiki pembeni naamini Argentina leo anaua mtu. Messi na Di Maria wanaweza kufanya timu ikashinda ndani ya dk 90 ila pia kipa wetu anaweza kutuvusha matuta. Hii game sina wasiwasi kabisa
Kitengo cha uminyaji tumejipanga, tutahakikisha yule bwana mdogo hata on target hapatiYes indeed
Watanzania waliangalie na hilo...
Kuna nilipoongelea unafiki? Tafuta maji ya baridi unywe.Hapo unafki ulioweka pembeni uko wapi?
Achana na hao wanaotamani... ! Wengi wanataka(wanalazimisha)! Na watajibiwa tu kwa negative results...😊Kwahiyo watu wakitamani kitu wanakuwa wamempangia sir god?
Ondoa shaka leo Argentina haipitiYani wakishafunga unashangaa comments za kushangilia kibaoooo wakati kwenye kujibu hoja za scars wala huwaonii...
Pale ulipoandika ushabiki nilisoma kama unafkiKuna nilipoongelea unafiki? Tafuta maji ya baridi unywe.
Sicho ulicho ongea kwenye comment yako ya awali.. Mnaanza kuzikana comment zenu mapema same na ambavo hamtaamini kitakacho watokea kina ModricAchana na hao wanaotamani... ! Wengi wanataka(wanalazimisha)! Na watajibiwa tu kwa negative results...😊
🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna Mungu anafurahishwa na kelele zenu
Wamevurugwaaa hadi hawaoni maandishiiKuna nilipoongelea unafiki? Tafuta maji ya baridi unywe.