Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kwahiyo watu wakitamani kitu wanakuwa wamempangia sir god?
 
Sir God hapangiwi ndo maana amevuka kote huko wakati mlikuwa mnamuombea kushindwa...tena amevuka from zero (mechi ya saudia) to hero (anaingia final).
Jiandae kisaikolojia maana fainali anacheza kama utanii
Amini usiamini, leo ndio kiama chao... na lawama zote zitakwenda kwa Messi...
 
Sir God hapangiwi ndo maana amevuka kote huko wakati mlikuwa mnamuombea kushindwa...tena amevuka from zero (mechi ya saudia) to hero (anaingia final).
Jiandae kisaikolojia maana fainali anacheza kama utanii
Hakuna Mungu anafurahishwa na kelele zenu
 
Achana na hao wanaotamani... ! Wengi wanataka(wanalazimisha)! Na watajibiwa tu kwa negative results...😊
Sicho ulicho ongea kwenye comment yako ya awali.. Mnaanza kuzikana comment zenu mapema same na ambavo hamtaamini kitakacho watokea kina Modric
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…