Vamossssss
Kuanzia leo utashangaa kila unayemgusa anajiita argentina
Kabisa Mchambuzi uchwara toka Kigira gira [emoji38]Labda uchambue mboga sio mpiraView attachment 2445926
Wahaya mna matatizo gani kwani, yani bila ya kuchanganya lugha ya Malkia mnajiona ni mazumbukuku, huu pia ni utaahira mwingine kabisa [emoji2]Naelewa unachopitia. Maumivu yakizidi, rational thinking inapungua.
That is called against the ODDSItatokea Morocco dio bingwa.wale wa betting mtanishukuru.
Sawa, rafu za bahati mbaya huwa tunasamehe, ahsante.Mchongo tuuu,ile si penalty.
Kipa hajacheza rafu kwa makusudi pale,refa kafeli sana
Mbona hamjachoka penalties za mbeleko ninyi mazumbukuku wa Andunje [emoji848][emoji23]Tumechoka!
Mara ngoja wakutane na uholanzi, mara ngoja wakutane na croatia, mara ngoja wakutane na Mbappe!
Tumechoka, kusanyeni wote waliobaki waunde team moja alafu muwalete tumalizane nao. Maana inakoelekea, hata Ufaransa tutampapasa alafu mseme na yeye ni kibonde!
Wale wazee wa kuhamahama. Walikua Brazil, wakahamia uholanzi, wakahamia Engalnd, wakahamia Croatia. Kote huko wamepigwa, na sasa wako France. Napenda kuwaambia kwamba, bado hawako salama, kipigo kiko palepale!Vamossssss
Kuanzia leo utashangaa kila unayemgusa anajiita argentina
ππππππNimechekaπ π
View attachment 2445955
Sasa kama tunachezewa rafu ulitaka tuzikatae penati ili tukufurahishe wewe? Asee jiheshimu!Mbona hamjachoka penalties za mbeleko ninyi mazumbukuku wa Andunje [emoji848][emoji23]
Wait n see, pia jifunze kuweka akiba ya manenoUfaransa ni mtihani mkubwa sana kwa Morocco. Ningetamani iwe ivyo ila sioni likitokea kwa sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππ»mtahama timu mpaka mchanganyikiwe