Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
HahahahaKitengo cha uminyaji mbona kama kazi yote mmeniachia peke yangu?
Tulikubaliana hivyo?
Tupo pamoja chiefKitengo cha uminyaji mbona kama kazi yote mmeniachia peke yangu?
Tulikubaliana hivyo?
Mim nilizan uzungumzia uhuni wa 98 walikoua wanaufanya kina dider deschamps we unazungumzia 2006 kojoa ukalale kumbe nabishana na kijana mdogo sanaWe bado unaumizwa na game ya Uholanzi? Ndo maana bongo tunazeeka bado vijana. Fuatilia Dutch walifanya nini mechi yao na ureno 2006 utajua mtumiaji wa bangi zaidi ni nani kati ya Argentina na Wadachi
Na ni yutong zile za zamani zenye engine nyumaFrance wanapaki yutong kali golini.
Mgonjwa anatema uji.
Maombi yaongezwe.
Labda ndiyo walivyoamua kucheza.Morocco kwa kifupi wameutawala mchezo, France hapa anategemea kaunta.
Ushakubalia kuwa imepitaHii france kwa huu mpira jumapili tunajipigia mapema. Kumbe wakipapaswa kidogo ndo wanalegea hivi?
Kikubw ushindiMorocco kwa kifupi wameutawala mchezo, France hapa anategemea kaunta.
Wametumwa na ArgentinaMorocc wanacheza rafu sana
Shughuli hamna. Midomo ya mashabiki ndo mipana.Hii france kwa huu mpira jumapili tunajipigia mapema. Kumbe wakipapaswa kidogo ndo wanalegea hivi?
Tatizo magoli yako wapiiMorocco kwa kifupi wameutawala mchezo, France hapa anategemea kaunta.