Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hii match itakuwa ngumu kwa Morocco kutokana na sub alizofanya kocha wao, kiungo chao kimekatika na France wameanza kujitawala.

Naona ana sub mwingine tena[emoji102].
 
Daah, Sisi Waarabu tumekosa nafasi ya wazi kabisa.. Ufaransa maji wangeita mma hapa.
 
Back
Top Bottom