Hahaha unatuota eehWametumwa na Argentina
Maelekezo ya coach.Morocco kwa kifupi wameutawala mchezo, France hapa anategemea kaunta.
UtazipasuaKitengo cha uminyaji mbona kama kazi yote mmeniachia peke yangu?
Tulikubaliana hivyo?
Inashangaza hadi sasa mechi haina kadiMorocc wanacheza rafu sana