Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Mkuu natumia dstv now nikiwa mbali na nyumbaniMkuu nisaidie na mobile app unayotumia for Livestreaming
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu natumia dstv now nikiwa mbali na nyumbaniMkuu nisaidie na mobile app unayotumia for Livestreaming
Kukataliwa maana yake nini? Sio magoli yale, afu Argentina wanacheza kama KMC tu, hii game iko Open na Saudi Arabia wakitulia wanashinda hapa.Zimeshakataliwa Goal mbili mpaka sasa za Argentina
Download yaccine tv googleMkuu nisaidie na mobile app unayotumia for Livestreaming
La tatu nowZimeshakataliwa Goal mbili mpaka sasa za Argentina
Hawa Wasaudi leo wamejua kufuata maelekezo ya VARSema hii mechii sio kama nyingine ...pira lipo
Namkubali CR7 japo ana nidhamu kama ya MorrisonKwann humkubali?
Mpira unapoteza MvutoLa tatu now
Mvuto gani ww Pimbi na ni Clear offside?Mpira unapoteza Mvuto
Hadi inaboa kutazamaMpira unapoteza Mvuto
Ata unywele Var inasomaMpira unapoteza Mvuto
Udambwi udambwi wa hapa na pale kumbe upo?Sema hii mechii sio kama nyingine ...pira lipo
Mkuu kwani mpaka utumie hizo lughaMvuto gani ww Pimbi na ni Clear offside?
Ndio na Saudi Arabia 🇸🇦 wanafika haswaaUdambwi udambwi wa hapa na pale kumbe upo?
Ingia twitter or hesgoalMkuu nisaidie na mobile app unayotumia for Livestreaming
Unafikiri tumeanza kuangalia mpira leo Mbwa Koko wewe?Mvuto gani ww Pimbi na ni Clear offside?
twitter acc gani mkuu,na mimi nipo away from home.Ingia twitter or hesgoal