Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Goli la kizembe
Yanga wanacheza Dar ambapo ndio makao makuu ya Club yao yalipo

Sasa nashangaa kuona basi la timu limefika uwanjani halafu wachezaji wanashuka wakiwa na mabegi makubwa ya futi 4 hadi 5

Nimebaki najiuliza, kutoka Avic hadi kwa mkapa unabeba mbegi mkubwa kama ule, je siku wakienda Misri hawa itakuwaje?

Au wanabeba tu kama unyamwezi
 
Mzee kuna Shida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…