Kila yule ana mbinu zake,Morocco wamejifunza kwa Argentina, wakienda wameenda. Huenda Croatia akapigwa bila kuelewa kapigwa pigwa vp
Yanga wanacheza Dar ambapo ndio makao makuu ya Club yao yalipoGoli la kizembe
Mzee kuna Shida?Yanga wanacheza Dar ambapo ndio makao makuu ya Club yao yalipo
Sasa nashangaa kuona basi la timu limefika uwanjani halafu wachezaji wanashuka wakiwa na mabegi makubwa ya futi 4 hadi 5
Nimebaki najiuliza, kutoka Avic hadi kwa mkapa unabeba mbegi mkubwa kama ule, je siku wakienda Misri hawa itakuwaje?
Au wanabeba tu kama unyamwezi
Mnaocheki matokeo vipi huko
Croatia 2-1MoroccoMnaocheki matokeo vipi huko
Nyambafu, apigwe tuu, kila nikilazimisha mood nimsupport inagoma
Basi sawaCroatia 2-1Morocco
Croatia wanathibitisha kivipi Argentina alibahatika