Wao wanajiita Marraque.Halafu kuna kitu ambacho kinanitatiza ta gu mwanzo kwenye hizi mecgi za Morrocco
Hivi kifupi cha Morrocco kwanini ni MAR na sio MOR?
Hapana sijabetUlibet mzee?
Yupo mtu mahali anaondoka na cash matokeo yakibaki kama yalivyo
Chuki zako zitaipunguzia nini timu iliyofika nusu fainali na mkwanja mrefu wamekunja kibindoni.Imepigwa hii mijamaa irudi jangwani ikalime tende sasa [emoji16]
Kivipi yaani!Wasingekua na kauli za kibaguzi sasa hivi Morocco walikua wanajiandaa kucheza fainal kesho
Morocco wamekutesa sana Eeeh! Unahangaika mpaka kuanzisha thd hapa jf kila siku,Imepigwa hii mijamaa irudi jangwani ikalime tende sasa [emoji16]
Wamembagua nani ?Wasingekua na kauli za kibaguzi sasa hivi Morocco walikua wanajiandaa kucheza fainal kesho
Hii mijamaa haijui fair play, ona inamsumbua refa