Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Sina wasiwasi wowote au mifadhaiko ya [fainali]. Nadhani unapojiandaa kwa mchezo kama huu, unahitaji kuweka umakini wako, kuwa mtulivu, na kwa fainali ya Kombe la Dunia haswa utakuwa na mechi ya kukata na shoka.
#france#champions#mbappe
 
Katika Fainali tatu zilizopita alizoingia Ufaransa, ameshinda mbili na kupoteza moja.

Alifungwa fainal ya mwaka 2006 na kushinda za mwaka 1998 na 2018
 
Katika Fainal tatu zilizopita alizoingia Argentina, amepoteza mbili na kushinda moja.

Amepoteza fainalibza mwaka 1990 na 2014.

Huku akishinda Fainal ya mwaka 1986 pale Mexico
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…